Thursday, June 28, 2012

pinda akwepa kujiuzulu

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema hawezi kujiuzulu kwa madai kuwa ameshindwa kutatua matatizo ya madaktari. Pinda amelieleza Bunge kuwa, hadhani kama ni busara kujiuzulu kwa sababu ya matatizo ya madaktari na kwamba suala hilo ni la muda mrefu na ni changamoto. Waziri Mkuu ametoa msimamo huo wakati anajibu swali la Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) ambaye alisema, kwa kuwa matatizo ya madaktari ni ya muda mrefu, na Pinda ameshindwa kuyamaliza, kwa nini asijiuzulu. Waziri Mkuu amelieleza Bunge kuwa, amefanya kila aliloweza kumaliza mgogoro kati ya Serikali na madaktari. Lissu alimuuliza Pinda kuwa, kama amefanya kila aliloweza kumaliza tatizo hilo na ameshindwa kwa nini asijiuzulu. Waziri Mkuu amemjibu kwamba, anamuheshimu sana, na hadhani kama hiyo ni namna nzuri ya kumuuliza. Spika wa Bunge, Anne Makinda, amefunga mjadala kuhusu mgogoro wa Serikali na madaktari kwa kuwa Mahakama imelalamika kwa kuwa, suala hilo lipo mahakamani lakini wabunge wameendelea kuuliza, kudadisi na kutoa taarifa. Kutokana na msimamo huo wa Bunge, Serikali leo haitatoa msimamo wake kuhusu mgomo wa madaktari unaoendelea katika hospitali nyijngi nchini zikiwemo hospitali za rufaa. Makinda ametoa msimamo huo wakati anatoa mwongozo alioomba Mbunge wa Ubungo, John Mnyika ambaye alimuomba aagize Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii itoe taarifa bungeni kuhusu waliyoyaona walipotembelea hospitali na kuzungumza Serikali, madaktari, na wadau wakati wa mgomo uliopita wa madaktari. Makinda amewaeleza wabunge kuwa, yeye ndiye aliyeituma kamati kufanya kazi hiyo, na ilitoa taarifa kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi hivyo taarifa hiyo haitawasilishwa bungeni. “Sasa suala hili lipo mahakamani na huo mjadala umefungwa”amesema Makinda.

Silencing the Trolls: Twitterconsiders ‘hate speech’censorship

Is Twitter allowing too much freedom? What helped move revolutions along in the Middle East, has a flip side of cyberbullying and abuse, especially of those in the spotlight. Now Twitter is taking its first step towards censorship. The news was broken by Twitter’s Dick Costolo who was speaking to the Financial Times. As the FT put it, the site’s chief executive “became visibly emotional” as he described his frustration in tackling the problem of ‘horrifying’ abuse, while maintaining the company’s mantra that ‘tweets must flow’. Anonymous and unpunished, irresponsible twitter-users find the site ideal for expressing all kinds of extremist, racist and sexistopinions. Celebrities are among those most vulnerable, with curses and bullying clogging up their ‘@connect’ section, offending many and disrupting conversations, often turning them into hate-fights. To stop the ‘hate speech’ anarchy, Twitter is considering starting off by blocking the very possibility of replies from so-called ‘non- authoritative’ users, marked out by the absence of a profile picture, followers or bio information, as FT.com reports. This is the first step, but there might be more to come. However, the company’s management is concerned that by installing any kinds of ‘selective’ measures, they may put an end to the unique Twitter-style ‘freedom of tweets’ that has helped Arab revolutions. Anonymity was the key factor that allowed so many users there to join and have their say. “The reason we want to allow pseudonyms is there are lots of places in the world where it's the only way you'd be able to speak freely," FT quotes Dick Costolo as saying. Twitter is basically the ‘last harbor’ of anonymity, as it does not have to be linked with such powerful database platforms as Facebook and Google. Silencing trolls may hit those ‘revolutionary’ users as well. The reality is that Twitter’s move may be coming at the right time, as websites that allow comments and replies may soon be forced to identify online bullies, or ‘trolls’, under different legislative moves. In the UK, for example, the Defamation Bill is now passing through the House of Commons, which will allow direct legal action against online offenders. Justified or not, ‘troll’ censorship will surely open a new page in Twitter history.

Dr.Shein kutetea muungano kinyume namatakwa ya wananchi ?

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amesema ataendelea kuutetea Muungano na hakuna atakaemlaghai wala kumchezea katika uongozi wake. Kauli hiyo ameitowa jana katika mkutano wa Jumuiya ya Wastaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika Bwawani mjini Unguja. Dk Shein amesema kwamba yeye ndie rais wa Zanzibar na ndie mwenye mamlaka na hatomuogopa mtu wala kusita kuwachukulia hatua kwa wale wote ambao watakwenda kinyume na matakwa ya kikatiba. Alisema kuwa dhamana ya nchi hii pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano imo mikononi mwao kati yake na Rais Jakaya Kikwete na ndio maana wakawa wanashirikiana na kushauriana kwa yale yote ambayo yana maslahi na nchi. “katika kuiongoza Zanzibar mimi ndie rais simuogopi mtu yeyote”, alisema kwa kujiamini Dk Shein. Dk Shein alisema Zanzibar ni nchi ya kidemokrasia inayotoa uhuru wa maoni kwa kila mtu, lakini kwa upande wake pia yeyé ndio mwenye dhamana kubwa ya kuendesha nchi kwa mujibu wa katiba iliyopo. “Mimi ndio rais siogopi mtu katika kuendesha nchi, siko tayari kuirudisha nchi katika misukosuko na kuirejesha Zanzibar kule ilipotoka wakati iko katika hali ya amani hivi sasa,” alisema katika mkutano huo. Hata hivyo alisema kuwa Muungano upo na utaendelea kuwepo na kwani yeye ndiye rais ambaye anatokana na chama cha mapinduzi na pia ameingia madarakani chini ya ilani ya chama chake hivyo lazima afuate ilani ya chama chake ambapo alisema changamoto zilizomo zinahitaji kujadiliwa ili kuweza kuziondoa na sio kuvunja muungano. “Hakuna mtu asiyejua kuwa kuna kero za Muungano hivyo ni vizuri tukajitokeza kwa wingi katika kutoa maoni yetu juu ya katiba na sio kukaa pembeni yanazungumzwa mengi kuhusu mimi lakini yote nimeyapokea kwa kuwa ukubwa ni jaa”, alisema Dk Shein bila ya kutaja jina lakini alikuwa akijibu hoja zilizokuwa zimeibuka kuwa hana uwezo wa kuchukua maamuzi magumu katika suala la uongozi. Aliwaeleza wastaafu hao kwamba Muungano una kero, zinazojadiliwa na ndio maana njia nyingi, ikiwemo ya mawasiliano baina ya Rais wa Zanzibar na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zimeanzishwa ili kuzitafutia ufumbuzi ambapo alisema njia hizo zitaendelea kutatua mambo ya muungano. Aidha Dk Shein alisema kazi hiyo anaifanya kwa umakini ili kuhakikisha kuwa Muungano upo na unazidi kuwepo na kwamba wasioutaka wasubiri tume ikija ndio watoe maoni yao na sio kuanza kutoa maoni hivi sasa kabla ya wakati hufika. “Hakuna asiyejua katika Muungano kuna kero,… wananchi wazijadili kupitia tume ya mabadiliko ya katiba, na kwa nini tunaanza kusema sema… subirini tume mkatoe maoni yenu” alisema. Katika hatua nyengine Dk Shein alisema kwa sababu hiyo anaagiza kutokufanyika kwa maandamano ya aina yoyote kuhusiana na suala hilo na kuwataka wazanzibari kutoshiriki hadi pale wanaotaka kufanya hivyo wanaporuhusiwa kuandamana na jeshi la polisi kwa kufuata taratibu za kisheria. “Naagiza maandamano yasifanyike,… wakiruhusiwa kufanya basi msiende kushiriki,” alisisitiza Dk Dk Shein alikuwa akizungumza na zaidi ya watu 500, waliohudhuria katika mkutano huo, ambao ni wastaafu wa taasisi za Muungano waliopo Zanzibar. Katika waliohudhuria katika mkutano huo ni taasisi mbali mbali pamoja na Bunge, Ulinzi na Uslama, Mambo ya Nje, Mamlaka ya hali ya hewa (TMA), Mamlaka ya Kodi na mapato (TRA), Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Idara ya Uhamiaji, Shirika la Posta na Simu, na taasisi za masuala ya elimu na ufundi. Sambamba na hayo aliwataka vijana kuthami ni jitihada, michango na maelekezo ya wastaafu kwa kutambua kuwa uzoefu wao katika maisha ni sehemu muhimu kwa maendeleo yao. “Sote hatuna budi kuelewa kuwa iko siku tutakuwa wastaafu hivyo ni muhimu kujitayarisha hasa kwa kujenga tabia ya kujiwekea akiba na matayarisho mengine ya lazima kwa maisha ya wastaafu”, alisema. Akizungumza katika mkutano huo Mwenyekiti wa jumuiya hiyo , Mohamed Ali Maalim, alisema miongoni mwa majukumu ya jumuiya hiyo ni kudumisha Muungano kwa sababhu unalinda maslahi ya wastaafu wote nchini. Katika risala yao wastaafu hao wamesema kwamba wanakabiliwa na changamoto mbali mbali ndani ya Jumuiya yao ikiwemo uwezo mdogo wa uendeshaji na usimamizi wa ofisi ikiwemo ukosefu wa ofisi ya kutosheleza mahitaji. Katibu mkuu wa Jumuiya hiyo Rashid Ali alitaja changamoto nyengine ni kukosekana kwa wataalamu na waratibu wa kusimamia utekelezaji wa mipango ya Jumuiya, ukosefu wa vitendea kazi, ukkatika kutekeleza malengo yao. Jumuiya ya wastaafu Zanzibar imeanzishwa mwaka 2009 ina wanachama 537 ambapo 486 kati ya hao ni wastaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Source mzalendo.net

Ni ipi siri ya Muungano,Watanganyikawanaogopa nini ?

Leo ni takriban miaka 48 ya Muungano kati ya Jamhuri ya watu wa Zanzibar na Tanganyika tokea kuasisiwa kwake baada ya Mapinduzi,lakini kwa walio wengi hususani Wazanzibar wameshindwa hasa kujua ni ipi hasa siri ya Muungano huu.Kumekuwa na madai mengi na fikra tofauti kuhusu Muungano huu kutoka kwa watu na taasisi mbali mbali ndani na nje ya nchi. Ni dhahiri kwamba mwisho wa yote Muungano huu utamalizika au utaendelea mbele ukiwa na uhasama mkubwa kuliko udugu,upendo,maelewano na maendeleo kama wanavyodai wale wote wenye hoja ambazo wanautetea Muungano huu wenye hila na siri nzito, hususani Viongozi wa Serikali walioko madarakani wale wa Bara na baadhi ya wale Wahafidhina wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,ambao hutumiwa kama chambo zidi ya Wazanzibar wenzao. Katika Muungano huu tokea siku ya mwanzo , kumekuwa na tuhuma nyingi kiasi ambacho kwa mwenye akili timamu hatosita kuelewa kwamba ndani yake kuna siri nzito zidi ya Taifa moja. Kwa walio wengi wanakumbuka kwamba unapolitaja neno Muungano hapo zamani ilikuwa ni kosa la jinai na adhabu yake kwa wakati huo ilikuwa kifo.Wako Wazanzibar wengi ambao walikuwa Wasomi,wanafalsafa,wanasiasa,madokta pamoja na Wananchi wa kawaida walipoteza maisha yao kwa kupinga au kuhoji Muungano huu,lakini kama haya hayatoshi hadi hii leo bado Wazanzibar wanaonekana kama ni maadui pale tu wanapoligusia suala zima la kudai haki yao ndani ya Muungano. Tuangalie kama vile jumuia ya Uamsho ambayo imejitolea kwa ridhaa yao kuwaelimisha Wananchi juu ya haki zao za msingi kudai Nchi yao huku wakifuata sheria za Nchi,hapa pana kuna kosa gani kwa Mwananchi kujielewa na kujua haki zake za msingi? Nilifikiria ya kwamba Serikali zote mbili zitawapongeza kwa vile Jumuiya hiyo imejitolea kihali na mali kutoa elimu kwa Wazanzibar, jambo ambalo Serikali zote mbili zimeshindwa kulifanya kwa Wananchi wake. Kichekesho ni kuona Muungano huu wa Nchi mbili huru, mara zote wanaolalamika kuonewa ni upande mmoja wa Muunganoyaani Zanzibar, lakini zaidi wanaopiga kelele kwa kuumia ni wananchi wanyonge walio wengi na si Viongozi wa Serikali zote mbili.Pia la ajabu ni kwamba Watanganyika wamerizika na wala Wananchi wake hawana madai kwamba wanaonewa na zaidi wanapendelea Muungano huu uzidi kuimarika. Hapa tutapata picha halisi kwamba ni dhahiri Watanganyika wanafaidika sana na hali hii iliopo hivi sasa.Isitoshe Watanganyika mara zote hutoa vitisho kwamba pindipo Muungano ukivunjika basi Zanzibar na hasa Wapemba ndio watakaoumia kwa vile wamejiimarisha sana huko wamejenga magorofa, hii inaonesha kwamba kuna lengo la kuwafukuza Wazanzibar Tanganyika kama kuwapa adhabu, watu wanasahau historia kwani Zanzibar baada ya Mapinduzi baadhi ya watu walinyang’anywa majumba yao, mashamba na vyenginevyo na hadi sasa watu wanaishi. Sasa huo udugu unaozungumziwa na Watanganyika ndio huo ? Jee wale Wazanzibar au Watanganyika wanaoishi United kingdom,Canada,Marekani,Falme za kiarabu nao pia warejeshwe maanake hawa wote hawakuungana na Nchi hizo, nako huko pia wamejiimarisha hizo ni propaganda za kijinga na ulimbukeni. Nashindwa kuelewa kuona Watu ambao wanajiita Wasomi wa Watanzania wakiwemo , Marais,Mawaziri,Wabunge,Wawakilishi na Waandishi wa habari wanashindwa kufahamu maana ya Nchi kuwa huru,haki za binaadamu,uhuru wa kuabudu,demokrasia ya kweli,usawa kwa wote, lakini pia dhana ya Muuungano kwa Nchi husika ni nini. Naamini wangalifahamu dhana hizi basi wangeliondokana na zile kasumba na fikra za ukandamizaji zilizoletwa na Wakoloni weupe na baadae kurithishwa kwa Wakoloni weusi kama vile Mwalimu Nyerere na baadhi ya Viongozi wa Afrika ambao kwao wao mabadiliko ya kidemokrasia ni mwiko. Sisi kama kizazi kipya tunaenda kwa misingi ya mabadiliko ya ulimwengu na teknolojia,sasa yale mawazo ya vijiji vya ujamaa watu kuishi maporini na Azimio la Arusha yamepitiwa na wakati lazima Serikali walielewe hilo. Nimekuwa nikishangaa sana kuona Serikali ya Tanganyika inajaribu kufanya kila inavyowezekana kujaribu kuzuia na kuzima wimbi la Wazanzibar kupasua bahari na kuelekea Nchi kavu,kuna haja ya kujiuliza kulikoni ? Jee hii ni haki kwa nchi mbili zenye haki sawa na zilizoungana kwa hiari ?Mbona inaonekana zaidi kwamba Taifa moja linalitawala jengine. Muungano huu umekuwa ni ndoana kwa Wazanzibar na tusifikirie kwamba ndoana hii kwa vile tumeshaimeza tutakuwa salama hata tukiitoa basi lazima tushikamane. Watanzania lazima tukubali kwamba mabadiliko katika Muungano huu ni jambo la lazima kama kufa na mwanaadamu,tukidharau basi tukubali kwamba madhara yake yatakuwa makubwa kuliko faida yake. Wazanzibar wamechoka na utashi wa watu binafsi kujiona kwamba Zanzibar ni miliki ya kikundi fulani,watu fulani, chama fulani,fikra kama hizo zitatufikisha pabaya. Leo hii imekuwa ni mazoea kwa Serikali ya Tanganyika kuwanyanyasa Wazanzibar kwa kutumia vitimba kwiri na Wahafidhina wa Kizanzibar waliopandikizwa kuzima madai ya Wazanzibar kuhoji uhalali wa Muungano.Imekuwa kama desturi kwa Viongozi wa bara hasa wastaafu akina, Ali Hassan Mwinyi,Benjamini mkapa kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar lakini pia kuzidisha hasama miongoni mwa Wazanzibar, hali hii tutaenda nayo mpaka lini.Sio kweli kwamba wanawapenda Wazanzibar bali wanayafanya hayo kulinda maslahi yao binafsi.Wakati umefika kuachiwa Wazanzibar wajiamulie mambo yao wenyewe, na kuwa Taifa huru,hivi Watanganyika wanaogopa nini ? Muungano huu umekuwa kama ni chaka ambalo limeficha siri nzito,linalindwa kwa nguvu zote za dola lakini kubwa zaidi ni kuona hata waandishi wa habari kule bara wanashirikiana vizuri na Serikali yao ili kuisadia kuwakandamiza Wazanzibar kudai haki yao. Nimekuwepo Zanzibar kwa muda mrefu sasa, nimeona na kushuhudia mengi yanayotokea hapa Zanzibar lakini takribani waandishi wote wa habari wanashirikiana na vyombo vya dola kuficha ukweli na kuzidi kuwaona Wazanzibar kama vile ni maadui pale wanapodai haki yao ya msingi ndani ya Muungano.Nilifikiria kuona kama vyombo vya habari vitakuwa mstari wa mbele kufichua uovu katika jamii yetu kinyume chake ndio wao wanaoikandamiza Jamii yetu kwa fitna,uongo na ubabaishaji wa habari na matukio ya kweli.Fahari ya vyombo vya habari pamoja na waandishi waTanzania ni kutangaza propaganda za Serikali na jinsi ya kuwadhibiti Wananchi ili waone kwamba umaskini tulionao ndio maumbile yetu ,sasa hio demokrasi inayozungumziwa na katiba mpya inayotegemewa ipo wapi. Ukweli unafichwa na propaganda ndizo nyimbo za Waandishi wa habari na baadhi yao tayari wanafanya kazi ya serikali ya Tanganyika kupotosha wananchi na ulimwengu kwa jumla ukweli na uhalisia wake.Sasa taaluma hii ya uandishi ina maana gani kwa Watanzania,ikiwa yale maovu yaliotawala kwenye jamii yanashindwa kufichuliwa.Hii ni kutokana na serikali ya Tanganyika kuwarubuni kwa nia ya kuendeleza sera ambazo kwa ulimwengu huu tunaokwenda nao hazikubaliki tena. Ingawaje Serikali ya Tanganyika imejipanga vizuri kwa kupenyeza vibaraka wake ndani ya Zanzibar ambao huwalai kwa madaraka baadhi ya Viongozi ili iwe rahisi kwao kuwathibiti Wazanzibar ni vyema baadhi viongozi hawa wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakaelewa kwamba hivi sasa maji yameshamwagika,Wazanzibar wameshikamana kudai haki yao na hapana budi kuungana nao ili malengo ya Wazanzibar yafanikiwe kwa usalama na amani bila ya kumwaga damu.Ule wakati wa kugombea vyeo umeshapitiwa na wakati,huu nu wakati wakuona Kwamba Jamhuri ya watu Wazanzibar kwanza,baadae ndio tuangalie utawala na mstakabali wetu kwa pamoja. ZANZIBA KWANZA: source mzalendo.net

Tuesday, June 26, 2012

Mbunge ataka vigogo wauziwemashangingi

MBUNGE wa Viti Maalum, Martha Mlata (CCM) amesema, magari ya Serikali yanatumiwa vibaya hivyo yauzwe kwa watumishi wa umma ili kupunguza matumizi yasiyo na tija. Mbunge huyo amesema, Serikali itumie waraka uliotolewa wakati wa Serikali ya Awamu ya Pili kuyauza magari hayo kwa watumishi, na kwamba, kila anayestahili apewe gari kulingana na kazi anazofanya na wadhifa wake. “Nilikuwa najiuliza, waraka ule ulifutwa au umepitwa na wakati? “ ameuliza Mbunge huyo bungeni mjini Dodoma wakati anachangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Kwa mujibu wa Mbunge huyo, licha ya Serikali kutoa waraka huo, magari ya Serikali yalitumika kufanya kazi binafsi za watumishi wa umma, na zikaandaliwa bajeti za kununua magari mengine ya Serikali. Mlata amesema, itakuwa busara kama Serikali itayauza magari hayo kupunguza matumizi ya Serikali na amedai kuwa Tanzania ni nchi pekee Afrika Mashariki inayotumia magari isivyostahili. Mbunge huyo ameliembia Bunge kuwa, huwa anasikia aibu wakati wa sherehe za kitaifa, kwa kuwa mabalozi wa nchi wahisani huwa wanakwenda uwanjani wakiwa kwenye gari la pamoja lakini viongozi Watanzania huwa wanashindana kwa magari. Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (Chadema) amesema, uamuzi wa Serikali, kuweka ukomo wa ukubwa wa injini za magari yanayoweza kununuliwa na Serikali Kuu, taasisi zake na mamlaka za Serikali za Mitaa hautakuwa na tija kama magari ya kifahari yaliyopo sasa hayatauzwa. “Haya yangeuzwa halafu tukanunua mengine” amesema Nyerere bungeni mjini Dodoma wakati anachangia bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametangaza bungeni uamuzi wa Serikali kuweka ukomo huo ili kupunguza matumizi yasiyo na tija. Pinda, amelieleza Bunge kuwa, Serikali inaendelea kupunguza matumizi hayo hasa ununuzi wa magari makubwa na ya kifahari ambayo gharama za ununuzi na uendeshaji ni kubwa sana. Waziri Mkuu amewaeleza wabunge kuwa, kuanzia sasa magari yatakayonunuliwa ni yale yasiyozidi ukubwa wa injini wa CC 3,000 kwa viongozi na watendaji wakuu na yasiyozidi CC 2,000 kwa watumishi wengine wanaostahili kutumia magari ya serikali. Kwa mujibu wa Pinda, ili kupunguza matumizi ya magari kwa viongozi na watendaji wakuu kwa safari za mikoani, Serikali itaanzisha vituo vya kanda vya magari ya serikali yatakayotumika mikoani kwa shughuli za kikazi. “Mwongozo wa utekelezaji utatolewa. Inategemewa kuwa utaratibu huu utapunguza matumizi ya fedha za Serikali kwa kiwango kikubwa” amesema Pinda bungeni mjini Dodoma wakati anasoma mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2012/2013. Mbunge wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (Chadema), amesema, kuna watanzania wanaishi kama wafalme na kuna matumizi yasiyo ya kawaida serikalini. Wenje amehoji, wakuu wa mikoa yote nchini wamekwenda Dodoma kufanya nini? Zimetumika fedha nyingi kuwasafirisha, wanalipwa fedha za safari na wanakaa bungeni ‘kula kiyoyozi’ bila sababu za msingi. Kwa mujibu wa Wenje, wakuu wa mikoa wapo Dodoma tangu Jumamosi iliyopita, na wameacha kazi walipotoka. “Wakuu wa mikoa wamekuja kufanya nini? Wamekuja kutafuta nini, wamekuja kutafuta nini?” amehoji Wenje na kusema, Serikali inapaswa kubadili mbinu za kiutendaji.

Mbunge ataja majina ya 'wezi' bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Riziki Lulida (CCM) leo ametaja bungeni majina ya watendaji wa Halmashauri nchini wanaodaiwa kuiba mamilioni ya fedha za Serikali. Mbunge huyo amepinga kitendo cha mmoja wa watendaji hao kuhamishiwa mkoani Lindi na amesema, mkoa huo si kichaka cha wezi. Ametaja jina la Joachim Materu, na kudai kuwa, mtumishi huyo wa umma aliiba shilingi milioni 557 za umma na amehamishiwa mkoani Lindi. Amewaeleza wabunge kuwa, kitendo cha kuwahamisha wanaodaiwa kuwa ni wezi kutoka Halmashauri moja kwenda halmashauri nyingine ni njama za kudhoofisha maendeleo ya maeneo wanapopelekwa. Lulida amekataa kuunga mkono bejeti ya Waziri Mkuu hadi Materu ahamishwe Lindi. Mbunge huyo amesema kuwa, kuna maofisa mipango Ofisi ya Waziri Mkuu wanaouhujumu Mkoa wa Lindi. Lulida amedai kuwa maofisa hao ni wachaga, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), akaomba Kiti cha Spika kimuamuru afute kauli yake ya kutaja kabila la wahusika kwa kuwa Kanuni za Bunge haziruhusu, amefuta. “Suala la uchaga halimo lakini nimetaja majina ili uonekane mtandao”amesema Mbunge huyo wakati anachangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Mbunge huyo amemtaja mtendaji mwingine kwa jina la Yunus Maro, na kudai kuwa, ameiba shilingi milioni 262 za umma, na kutaja akaunti yake ni namba 20660017 iliyopo katika benki ya NMB. Ametaja jina lingine moja la Ndaskoi na kudai kuwa mtumishi huyo ameiba fedha za umma wilayani kilosa mkoani Morogoro na amehamishiwa Ngorongoro. Amemtaja mwingine kwa jina la Macha na kudai kuwa, ameiba mamilioni wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, na ametoa vielelezo kwenye kiti cha Spika wa Bunge kuthibitisha anayoyasema. Lulida amedai kuwa kuna mtandao wa wezi katika Halmashauri nchi wanaoihujumu Serikali. Mbunge wa Mchinga, Said Mtanda (CCM) ameunga mkono kauli ya Lulida kwamba kuna mtandao wa wezi katika Halmashauri nchini. “Huu mtandao ndiyo unaodhoofisha Mkoa wa Lindi” amesema Mtanda wakati anachangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Hata hivyo Mtanda amepinga suala la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuonesha kinawajali sana wananchi wa mikoa ya kusini ukiwemo Mkoa wa Lindi. Amesema, ameisoma Ilani ya Uchaguzi ya Chadema, imeutaja mkoa huo mara moja tu, lakini katika Ilani ya CCM mkoa huo umetajwa mara nane. “Hatutaki ndoa za usiku, asubuhi talaka” amesema Mtanda na kuhoji, Chadema walikuwa wapi miaka iliyopita? “Mheshimiwa unapolia hushiki kichwa cha mwenzio, sisi Lindi matatizo yetu tutayamaliza sisi kwa kushirikiana na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi” amesema Mtanda. .... Source Habari leo

Muslim woman barred from school parents' event for wearing veil

A British Muslim woman was asked to leave a school's parents' night in Manchester for wearing the veil. The college cited "safety" and "security" reasons. Maroon Rafique was stopped from entering Manchester College by security staff, who told her that for the security of teachers and pupils, there was a ban on any kind of face covering. Although she offered to sit anywhere in the room where as few people as possible would see her, she was not allowed onto the campus. “I’m born in this country and British. Why should what I wear offend anyone?” she told the British newspaper the Daily Mail. “I didn’t want to make any fuss. All I wanted was to find out the information to help my son go to university.” The 40 year-old has worn the face veil, or niqab, for the last seven years. Rafique eventually had to phone her husband to take her place. A college spokesman defended the policy. “At all times we need to be able to identify all individuals easily in order to maintain safety and security and therefore we ask that faces are clearly visible while indoors. Our dress code is reviewed through our quality improvement group and we will take this situation into account at the next review.” He added that the school took Rafique's concerns “very seriously.” A spokesman for the Muslim Council of Britain told RT that it considers the decision to be authoritarian. “Wearing the face veil is not obligatory, and is a freedom of choice issue. We understand if teachers are forbidden from wearing it as it can sometimes interfere with communication during the lesson. Children may also have to follow a particular dress code, but for a parent to be stopped doesn’t make sense.” In March of this year, a Muslim woman was stopped from sitting on a UK jury in a murder trial because the judge ruled her facial expressions could not be seen. Britain, unlike France, has not yet introduced a nationwide ban on face veils. ... source RT

'Islamic Awakening': Morsi’sEgypt turns to Iran - report

Newly-elected Egyptian President Mohammed Morsi will rekindle dormant ties between Egypt and Iran and re-consider his country’s peace accord with Israel, according to a controversial interview with an Iranian news agency. Tehran’s Fars news agency distributed a set of quotes from an interview taken hours before Morsi was proclaimed victor in the presidential poll after a prolonged vote count. The views expressed by Morsi contradict his official stance that he will adhere to Egypt’s international obligations. Instead, he reportedly promises to radically adjust the country’s international role. A day after the interview was published, Morsi’s spokesman denied that it ever took place. “We must restore normal relations with Iran based on shared interests, and expand areas of political coordination and economic cooperation because this will create a balance of pressure in the region,” Morsi allegedly told Fars. The two countries broke their diplomatic ties in 1980, following the Islamic Revolution in Iran, and Egypt’s recognition of Israel. Whether or not the interview took place, Iran has welcomed the outcome of Egypt's election. The country’s Foreign Ministry called Morsi’s victory over his secularist rival Ahmed Shafik “an Islamic Awakening” and said the country was entering a “new era.” “The historic Egyptian nation, with their responsible participation in the momentous election, have again proved their determination to realize the noble and justice-seeking ideals of the great revolution of Egypt with a splendid vision of democracy,” read an official statement. Shiite Iran and Sunni Egypt are not historic allies, but Iran’s spiritual leaders and Egypt’s Muslim Brotherhood, to which Morsi belongs, are united by their belief that Islam should play a key role in governance, not to mention a common adversary – Israel. Israel alarmed Several news agencies also reported that Mohammed Morsi intends to review the Camp David accords. Camp David was the site for key meetings between Israeli and Egyptian leaders that climaxed in Egypt becoming the first Arab state to recognize Israel’s right to exist in 1979. The Israeli media struck a uniformly funereal tone in response to Egypt’s choice of leader. “From our standpoint, when the presidential palace in Cairo is painted for the first time in Islamic colors, this is a black and dark day,” wrote commentator Smadar Peri in the popular daily Yediot Aharonot. “Israel should be prepared for every eventuality,” wrote analyst Alex Fishman, conjuring the possibility of “an Islamist intelligence minister, a re- examination of the peace accords, a collapse of the economic agreements and lack of security coordination.” Several other commentators in Israel and in Europe sounded more sanguine, however, noting that while Morsi may wish to change his country’s foreign policy vector, he will have to establish legitimacy in his divided and economically-troubled country before asserting himself internationally. "What he wants tio do is one thing, what he is able to do is another" Professor Daoud Khairallah of Georgetown University told YOU And I blogspot

Monday, June 25, 2012

Former US president Jimmy Carter has criticized America’s actions against terrorism, saying that drones attacks and targeted assassination of suspicious people are undermining America’s “role as the global champion of human rights.” In his critical article "A Cruel and Unusual Record" published in the New York Times, Jimmy Carter said that with all the revolutions sweeping around the world, America should “make the world safer.” Instead, however, “America’s violation of international human rights abets our enemies and alienates our friends,” he argues. US’s government counterterrorism policies, Carter says, are now clearly violating at least 10 of the 30 articles written in the Universal Declaration of Human Rights. “Revelations that top officials are targeting people to be assassinated abroad, including American citizens, are only the most recent, disturbing proof of how far our nation’s violation of human rights has extended,” Carter writes. These violations of human rights began after the terrorist attack of 9/11. Having been "sanctioned and escalated by bipartisan executive and legislative actions,” Carter bemoaned a “lack of dissent from the general public". "As a result, our country can no longer speak with moral authority on these critical issues," the 39th president wrote. Carter says that “death of innocent women and children” within drone attacks on those who are said to be “enemy terrorists” are accepted “as inevitable”. However, that is something that “would have been unthinkable in previous times”. “After more than 30 airstrikes on civilian homes in Afghanistan this year, President Hamid Karzai has demanded that such attacks end, but the practice continues in areas of Pakistan, Somalia and Yemen that are not in any war zone,” writes Carter. He adds that it is unknown “how many hundreds of innocent civilians have been killed” in attacks that have all been “approved by the highest authorities in Washington.” “Top intelligence and military officials, as well as rights defenders in targeted areas, affirm that the great escalation in drone attacks has turned aggrieved families toward terrorist organizations, aroused civilian populations against us and permitted repressive governments to cite such actions to justify their own despotic behavior,” writes Carter. Carter’s critical article comes less than a week after the UN’s report on the use of drone strikes by the US to combat terrorism. On June, 21, UN rapporteur, Christof Heyns, said that the US needs to be held legally accountable for the use of armed drones. He requested that the Obama administration publish statistics on the number of civilian deaths caused by strikes on suspected terror leaders in Afghanistan, Pakistan and Yemen. Heyns underlined the fact that recent US drone strikes threatened the rule of international law in that many “targeted killings take place far from areas where it's recognized as being an armed conflict." Speaking about human rights, Carter also mentioned that recent laws allow “unprecedented violations of our rights to privacy through warrantless wiretapping and government mining of our electronic communications”. Jimmy Carter has called for Washington to “reverse course and regain moral leadership".

we will be back very soon

blog yenu ya ukweli ipo karibuni kurudi tena hewani..... Ushirikiano wenu ni muhimu sana kwetu

Saturday, August 27, 2011

THE MUAMMAR GADDAFI STORY

His rule saw him go from
revolutionary hero to
international pariah, to valued
strategic partner and back to
pariah again.
He has developed his own
political philosophy, writing a
book that is - in the eyes of its
author, at least - so influential
that it eclipses anything dreamt
up by Plato, Locke or Marx.
He has made countless show-
stopping appearances at Arab
and international gatherings,
standing out not just with his
outlandish clothing, but also his
blunt speeches and
unconventional behaviour.
One Arab commentator recently
called him the "Picasso of Middle
East politics", although instead of
Blue, Rose or Cubist periods, he
has had his pan-Arab period, his
Islamist period, his pan-African
period, and so on.
Early promise
In the heady days of 1969 -
when he seized power in a
bloodless military coup - and the
early 1970s, Muammar Gaddafi
was a handsome and charismatic
young army officer.
An eager disciple of President
Gamal Abdel Nasser of Egypt (he
even adopted the same military
rank, promoting himself from
captain to colonel after the coup),
Gaddafi first set about tackling
the unfair economic legacy of
foreign domination.
For Nasser, it was the Suez Canal.
For Gaddafi, it was oil.
Significant reserves had been
discovered in Libya in the late
1950s, but the extraction was
controlled by foreign petroleum
companies, which set prices to
the advantage of their own
domestic consumers and
benefited from a half share in the
revenue.
Col Gaddafi demanded
renegotiation of the contracts,
threatening to shut off
production if the oil companies
refused.
He memorably challenged foreign
oil executives by telling them
"people who have lived without
oil for 5,000 years can live
without it again for a few years
in order to attain their legitimate
rights".
The gambit succeeded and Libya
became the first developing
country to secure a majority
share of the revenues from its
own oil production. Other
nations soon followed this
precedent and the 1970s Arab
petro-boom began.
Libya was in a prime position to
reap the benefits. With
production levels matching the
Gulf states, and one of the
smallest populations in Africa
(less than 3m at the time), the
black gold made it rich quickly.
Political theorist
Rather than persevering with the
doctrines of Arab Nationalism, or
following the glittering excesses
of Gulf consumerism, Col
Gaddafi's innately mercurial
character led him and Libya on a
new path.
Born to nomadic Bedouin
parents in 1942, Muammar
Gaddafi was certainly an
intelligent, resourceful man, but
he did not receive a thorough
education, apart from learning to
read the Koran and his military
training.
Nevertheless, in the early 1970s
he set out to prove himself a
leading political philosopher,
developing something called the
third universal theory, outlined in
his famous Green Book.
The theory claims to solve the
contradictions inherent in
capitalism and communism (the
first and second theories), in
order to put the world on a path
of political, economic and social
revolution and set oppressed
peoples free everywhere.
In fact, it is little more than a
series of fatuous diatribes, and it
is bitterly ironic that a text whose
professed objective is to break
the shackles imposed by the
vested interests dominating
political systems has been used
instead to subjugate an entire
population.
The result of Col Gaddafi's theory,
underlined with absolute
intolerance of dissent or
alternative voices, was the
hollowing out of Libyan society,
with all vestiges of
constitutionality, civil society and
authentic political participation
eradicated.
The solution to society's woes,
the book maintains, is not
electoral representation -
described by Gaddafi as
"dictatorship" by the biggest
party - or any other existing
political system, but the
establishment of people's
committees to run all aspects of
existence.
This new system is presented
diagrammatically in the Green
Book as an elegant wagon
wheel, with basic popular
congresses around the rim
electing people's committees that
send influence along the spokes
to a responsive and truly
democratic people's general
secretariat at the centre.
The model that was created in
reality was an ultra-hierarchical
pyramid - with the Gaddafi family
and close allies at the top
wielding power unchecked,
protected by a brutal security
apparatus.
In the parallel world of the Green
Book, the system is called a
Jamahiriyya - a neologism that
plays on the Arabic word for a
republic, Jumhuriyya, implying
"rule by the masses".
So the long-suffering Libyan
masses were dragooned into
attending popular congresses
vested with no power, authority
or budgets, with the knowledge
that anyone who spoke out of
turn and criticised the regime
could be carted off to prison.
A set of draconian laws was
enacted in the name of
upholding security, further
undermining the colonel's claim
to a champion of freedom from
oppression and dictatorship.
Legal penalties included collective
punishment, death for anyone
who spread theories aiming to
change the constitution and life
imprisonment for disseminating
information that tarnished the
country's reputation.
Tales abounded of torture,
lengthy jail terms without a fair
trial, executions and
disappearances.
Many of Libya's most educated
and qualified citizens chose exile,
rather than pay lip service to the
lunacy.
Adventures abroad
Unchecked by any of the normal
restraints of governance, Col
Gaddafi was able to take his anti-
imperialist campaign around the
world, funding and supporting
militant groups and resistance
movements wherever he found
them.
He also targeted Libyan exiles,
dozens of whom were killed by
assassins believed to belong to a
global Libyan intelligence
network.
If governments were prepared to
shrug off Gaddafi's human rights
violations in Libya, and
persecution of dissidents abroad,
it was a different matter when it
came to him supporting groups
that used terrorism on their own
patches.
A bombing of a nightclub used
by US soldiers in Berlin in 1986,
blamed on Libyan agents, proved
a decisive moment.
US President Ronald Reagan
ordered air strikes against Tripoli
and Benghazi in retaliation for
the two soldiers and one civilian
killed and the dozens of
wounded, although there was no
conclusive proof beyond
intelligence "chatter" that Libya
had ordered the attack.
The US retaliation was intended
to kill the "mad dog of the Middle
East", as Mr Reagan branded him,
but although there was extensive
damage and an unknown
number of Libyan fatalities -
including, it was claimed,
Gaddafi's adopted daughter - the
colonel emerged unscathed.
His reputation may even have
been enhanced among
opponents of Washington's
heavy-handed foreign policy.
The bombing of Pan-Am flight
103 over the Scottish town of
Lockerbie in 1988 was the next
significant escalation, causing
the deaths of 270 people in the
air and on the ground, the worst
single act of terrorism ever
witnessed in the UK.
Gaddafi's initial refusal to hand
over the two Libyan suspects to
Scottish jurisdiction resulted in a
protracted period of
negotiations and UN sanctions,
finally ending in 1999 with their
surrender and trial. One of the
men, Abdelbaset Ali al-Megrahi,
was jailed for life, but the other
was found not guilty.
A new detente
The resolution of the Lockerbie
case, along with Col Gaddafi's
subsequent admission and
renunciation of a covert nuclear
and chemical weapons
programme, paved the way for a
significant warming of relations
between Tripoli and western
powers in the 21st century.
The domestication of the
erstwhile "mad dog" was held up
as one of the few positive results
of US President George W Bush's
military invasion of Iraq in 2003.
The argument went that Col
Gaddafi had watched the fate of
fellow miscreant Saddam
Hussein, hanged by Iraqis after a
US-instigated legal process, and
had learnt a sobering lesson.
It is perhaps more plausible to
argue that the Libyan leader
played his WMD card when he
saw the benefits of forging
strategic partnerships with the
US and European powers.
He certainly paid little heed to Mr
Bush's so-called "freedom
agenda", which held that the US
no longer held common cause
with dictators and despots and
that democracy and human
rights were just around the
corner.
It was after all more or less
business as usual between
Washington and the other
authoritarian Arab rulers whom
the US called friends and allies.
With international sanctions
lifted, Tripoli was back on the
international political itinerary,
allowingBritish Prime Minister
Tony Blair, among other
luminaries, to drop in at Col
Gaddafi's famously luxurious
Bedouin tent erected in his
palace grounds.
In true nomadic style, the tent
also went with the colonel on
trips to Europe and the US,
although in New York state it fell
foul of stringent zoning
regulations on the estate of
tycoon Donald Trump and had to
be hastily dismantled.
Distaste about the alleged
architect of Lockerbie's
readmission into the world
leaders' club lingered in many
circles, not least among the US
victims' families and their
supporters.
But that did not stop business
deals being struck with a
succession of western defence
manufacturers and oil firms.
Ironically, it was on the Arab
front that Col Gaddafi kept his
black sheep status alive.
Throughout the 2000s, the
normally staid proceedings of
annual summits of the Arab
League were almost guaranteed
to be disrupted by the Libyan
leader's antics, whether it was
lighting up a cigarette and
blowing smoke into the face of
his neighbour, or tossing insults
at Gulf rulers and the
Palestinians, or declaring himself
"king of kings of Africa".
The UN has also witnessed the
colonel's eccentricity. At the 2009
General Assembly, he gave a
rambling speech more than an
hour-and-a-quarter longer than
his allocated 10-minute time slot,
tearing out and screwing up
pages from the UN Charter as he
spoke.
Rebellion
When the winds of revolt started
to blow through the Arab world
from Tunisia in December 2010,
Libya was not at the top of most
people's list of "who's next".
Colonel Gaddafi fitted the bill as
an authoritarian ruler who had
endured for more years than the
vast majority of his citizens could
remember. But he was not so
widely perceived as a western
lackey as other Arab leaders,
accused of putting outside
interests before the interests of
their own people.
He had redistributed wealth -
although the enrichment of his
own family from oil revenues and
other deals was hard to ignore
and redistribution was
undertaken more in the spirit of
buying loyalty than promoting
equality.
He sponsored grand public
works, such as the improbable
Great Man-Made River project, a
massive endeavour inspired,
perhaps, by ancient Bedouin
water procurement techniques,
that brought sweet, fresh water
from aquifers in the south to the
arid north of his country.
There was even something of a
Tripoli Spring, with long-term
exiles given to understand that
they could return without facing
persecution or jail.
When the first calls for a Libyan
"day of rage" were circulated, Col
Gaddafi pledged - apparently in
all seriousness - to protest with
the people, in keeping with his
myth of being the "brother
leader of the revolution" who
had long ago relinquished power
to the people.
As it turned out, the scent of
freedom and the draw of
possibly toppling the colonel, just
as Egypt's Mubarak and Tunisia's
Ben Ali had been toppled, was
too strong to resist among parts
of the Libyan population,
especially in the east.
Some of the first footage of
rebellion to come out of
Benghazi showed incensed
young Libyans outside an official
building smashing up a green
monolith representing the
spurious liberation doctrine that
had kept them enslaved since the
1970s - the Green Book.
As the uprising spread, and the
seriousness of the threat to his
rule became apparent, Gaddafi
showed he had lost none of the
ruthlessness that had been
directed against dissidents and
exiles in the 1970s and 1980s.
But this time it was turned on
whole towns and cities where
people had dared to tear down
his posters and call for his
downfall. His regular forces
backed by mercenaries nearly
overwhelmed the rag-tag rebel
groups, consisting of military
deserters and ill-trained
militiamen, whom he dismissed
as wayward 17-year-olds, "given
pills at night, hallucinatory pills in
their drinks, their milk, their
coffee, their Nescafe".
It was only the intervention of
Nato in March, authorised by a
UN resolution calling for the
protection of Libyan civilians, that
prevented their annihilation - but
it was months before the rebels
could turn the situation to their
advantage.
At the time of writing, with rebel
flags flying in the heart of the
capital and Gaddafi's regime
appearing to disintegrate, it
seems the game is up. But we
await the last chapter of this
most erratic political career - and
given what we've seen in the last
40 years, it could be every bit as
unpredictable.
The Muammar
Gaddafi story
By Martin Asser
BBC News
Gaddafi on women - and
'insanity'
"Freedom of expression is the
right of every natural person,
even if a person chooses to
behave irrationally, to express his
or her insanity"
"Women, like men, are human
beings. This is an incontestable
truth... Women are different from
men in form because they are
females, just as all females in the
kingdom of plants and animals
differ from the male of their
species... According to
gynaecologists women, unlike
men, menstruate each month...
Since men cannot be
impregnated they do not
experience the ailments that
women do"
Both excerpts from the Green
Book
Gaddafi was a huge admirer of
Egypt's Gamal Abdel Nasser, who
led the Egyptian Revolution of
1952
On the Arab world and Africa
"Libya is an African country. May
Allah help the Arabs and keep
them away from us. We don't
want anything to do with them"
Libyan TV, March 2007
"I am an international leader, the
dean of the Arab rulers, the king
of kings of Africa and the imam
of Muslims, and my international
status does not allow me to
descend to a lower level"Arab
League summit, March 2009
Gaddafi's 'system' as envisaged
in the Green Book
On democracy and opposition
"There is no state with a
democracy except Libya on the
whole planet"
"In the Middle East, the
opposition is quite different than
the opposition in advanced
countries. In our countries, the
opposition takes the form of
explosions, assassinations,
killings "
Address to US Academics, March
2006
Tony Blair visited Gaddafi at his
luxurious Bedouin tent after
sanctions were lifted
Col Muammar Gaddafi
Born in Sirte, Libya 7 June 1942
Attended military academy in
Libya, Greece and the UK
Seized power on 1 September
1969
The Green Book published in
1975
Married twice, with seven sons
and one daughter
The combination of water and oil
gave Libya a sound economic
platform

Wednesday, August 24, 2011

JAIRO Vs BUNGE

BUNGE jana lilisitisha kwa muda
shughuli zake za kawaida kujadili
hatua ya Katibu Mkuu Kiongozi,
Philemon Luhanjo kumrejesha
kazini Katibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini, David Jairo
kabla ya Bunge kujadili Ripoti ya
uchunguzi ya Mkaguzi na
Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za
Serikali (CAG).
Hatua hiyo imekuja siku moja
baada ya Luhanjo kukutana na
waandishi wa habari Dar es
Salaam juzi na kuutangazia
umma kwamba kutokana na
matokeo ya uchunguzi huo
kutomtia hatiani anaamuru Jairo
arejee ofisini mara moja.
“Kutokana na matokeo haya ya
uchunguzi wa awali, mimi kama
Mamlaka ya Nidhamu ya Katibu
Mkuu Nishati na Madini, sitaweza
kuendelea na hatua ya pili ya
kumpa taarifa ya tuhuma.
Ninaamuru David Jairo arejee
kazini kuanzia siku ya Jumatano.”
Hata hivyo, uamuzi huo wa
Luhanjo jana uliamsha hasira za
wabunge bila kujali itikadi zao za
kisiasa ambao ambao walitaka
Bunge lisitishe kujadili shughuli
zozote kutokana na hatua hiyo
ya Katibu Mkuu Kiongozi
wakisema ni kudharau Haki,
Kinga na Madaraka ya Bunge.
Hoja ya Zitto
Hoja hiyo iliwasilishwa na
Mbunge wa Kigoma Kaskazini
(Chadema) muda mfupi kabla ya
kuanza kwa kipindi cha maswali
na majibu. Zitto ambaye pia ni
Naibu Kiongozi wa Upinzani
Bungeni alitoa hoja kutaka
Bunge lisitishe kujadili hoja zote
za Serikali hadi hapo ripoti ya
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa
Hesabu za Serikali iliyomsafisha
Jairo itakapofikishwa bungeni na
kujadiliwa.
Zitto alianzisha moto huo mnamo
saa 3:17 asubuhi ikiwa ni dakika
moja tu baada ya Naibu Spika,
Job Ndugai kutangaza taratibu za
safari ya wabunge kwenda
Zanzibar kwa ajili ya mazishi ya
Mbunge Mussa Khamis Silima
aliyefariki juzi.
Alitumia kanuni ya 51 kulieleza
Bunge kuwa kitendo
kilichofanywa na Luhanjo
kilikiuka haki, maadili na
madaraka ya Bunge na hivyo
akataka wabunge wenzake
wamuunge mkono ili wagome
kufanya shughuli zozote za
Serikali hadi hapo ripoti ya CAG
kuhusu tuhuma dhidi ya Jairo
itakapowasilishwa rasmi
bungeni.
“Mheshimiwa Naibu Spika, jana
kupitia vyombo vya habari
tulimsikia Katibu Mkuu Kiongozi
kupitia vyombo vya habari
akieleza kuwa tuhuma
zilizokuwa zikimkabili Jairo si za
kweli na kwamba anatakiwa
kurudi kazini kuanzia leo (jana),’’
alisema Zitto na kuongeza:
“Mheshimiwa Naibu Spika
unafahamu ya kwamba, Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania alizungumza ndani
ya Bunge hili ya kwamba
angekuwa ni yeye
angeshamchukulia hatua Ndugu
Jairo kuhusu vitendo alivyofanya,
hivyo basi naomba nitoe hoja
kwamba Bunge lisitishe hoja
yoyote ya Serikali mpaka
itakapoleta bungeni taarifa ya
CAG kuhusiana na uchunguzi
huo.”
Baada ya kutoa hoja hiyo, Zitto
aliungwa mkono na wabunge
zaidi ya nusu waliokuwamo
ndani ya ukumbi, hali ambayo
ilimlazimisha Naibu Spika wa
Bunge, Ndugai, kuitisha Kamati
ya Uongozi kwa dharura kujadili
suala hilo.
Hoja ya Lukuvi
Baada ya hoja ya Zitto, Waziri wa
Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,
Uratibu na Bunge), William Lukuvi
alisimama kupinga hoja hiyo
akisema Mbunge huyo hakufuata
taratibu zilizotakiwa ambazo ni
kuwasilisha kusudio kabla ya
kutoa hoja rasmi.
“Mheshimiwa Naibu Spika, najua
jambo hili lina public interest
(masilahi ya umma), lakini kanuni
zinasema kuwa mbunge
anayetaka kuwasilisha jambo
lolote linalohusiana na shughuli
za Bunge atafanya hivyo wakati
unaofaa na uliowekwa na kanuni
na atakuwa amemwarifu Spika
mapema kuhusu kusudio lake,
hivyo ulitakiwa kuwasilishiwa
mapema ili uweze kuamua,’’
alisema Lukuvi.
Akijibu hoja hiyo, Ndugai
alisema: “Wakati nasoma
matangazo mbalimbali
kuhusiana na kifo cha Mbunge,
nilipata taarifa kutoka kwa Zitto
kuhusu kunitaarifu juu ya jambo
hilo, hivyo basi, hoja iliyotolewa
na Zitto imetolewa kwa wakati
na ilifuata utaratibu unaotakiwa.’’
Uamuzi wa Kamati ya Uongozi
Baada ya kikao cha dharura cha
Kamati ya Uongozi ya Bunge,
ilipotimu saa 3:58, kabla ya
kumalizika kwa maswali na
majibu, Ndugai alirejea ukumbini
na kutoa taarifa kuwa kikao
hicho kiliongozwa Spika wa
Bunge, Anne Makinda na
kukubaliana na hoja ya Zitto.
“Kikao kilihudhuriwa na Spika
wa Bunge, Anne Makinda na
alikiendesha yeye mwenyewe.
Kamati imepima hoja iliyotolewa
na Zitto na kuona ni hoja
inayohitaji kusikilizwa na Bunge
na hakuna kipingamizi
chochote,” alisema Ndugai na
kushangiliwa kwa nguvu na
wabunge.
Baada ya hapo Naibu Spika
alimpa nafasi mtoa hoja, Zitto
kuanza kujadili hoja hiyo na
Mbunge huyo alisema jambo hilo
lilikuwa ni la aibu kubwa mbele
ya wabunge na taifa kwa ujumla.
“Jambo hili lilianzia bungeni na
hivyo ripoti hiyo ilipaswa kuanzia
humu bungeni. Kitendo cha
Katibu Mkuu Kiongozi ni dharau
kwa Bunge na kwa kuwa Waziri
Mkuu alisema anamsubiri Rais,
amemdharau na ninasema kama
ningekuwa mimi ni Waziri Mkuu
ningejiuzulu nafasi yangu mara
moja,’ ’alisema Zitto.
Zainabu Vullu
Mbunge wa pili kuchangia hoja
hiyo alikuwa Zainabu Vullu (Viti
Maalumu - CCM), alisema kitendo
hicho kinaudhi na kuwataka
wabunge kuungana akisema
madaraka yao yalikuwa
yameingiliwa.
“Nianze kwa kuangalia Katiba
kifungu namba 63 cha katiba
Ibara ya Pili ambayo inasema
sehemu ya pili ya Bunge itakuwa
ndiyo chombo kikuu cha Jamhuri
ya Muungano ambacho kitakuwa
na madaraka kwa niaba ya
wananchi kusimamia na
kuishauri Serikali ya Jamhuri ya
Muungano na vyombo vyake
vyote katika utekelezaji wa
majukumu yake kwa mujibu wa
katiba,” alisema Vullu na
kuongeza:
“Suala lile liliibuliwa ndani ya
Bunge hili na baada ya kuibuliwa,
Mheshimiwa Waziri Mkuu
ambaye naye ni mbunge
mwenzetu lilimgusa. Ni matarajio
yetu baada ya utafiti na
uchunguzi uliofanyika suala hili
lingerudi kwetu tukalijadili na
kuona nini kilichotokea na
kuhabarisha wananchi wetu ni
jinsi gani ya matumizi ya fedha
za nchi hii ambazo jasho la
wananchi zilivyotumika.”
Alisema kutokana na taarifa ya
Luhanjo, bunge ni kama
limedhalilishwa na kwamba
halikupewa haki yake kwani
wabunge wote wameonekana
kama watu wasiojua wajibu
wao.
Sendeka
Mjadala wa hoja hiyo
ulihitimishwa na mchangiaji wa
tatu, Mbunge wa Simanjiro (CCM),
Christopher Ole Sendeka ambaye
alikuja na hoja jingine ya
kuomba Bunge lipitishe azimio la
kuunda Kamati Teule
kuchunguza suala hilo. Hoja hiyo,
kama ilivyokuwa ile ya Zitto pia
iliungwa mkono na wabunge
karibu wote.
Sendeka alisema kitendo cha
Luhanjo kutangaza ripoti hiyo ni
kupoka nafasi ya Bunge na
kwamba Waziri Mkuu
amedharauliwa kwa kiasi
kikubwa.
“Ninaomba kutumia kanuni ya
117 kuliomba Bunge lako tukufu
sasa liamue kuunda kamati teule
itakayoangalia pamoja na
mambo mengine, kuingiliwa kwa
uhuru wa Bunge, lakini
mchakato mzima uliosababisha
fedha zote zile zikusanywe na
kugawanywa na kuitishwa kama
fedha za harusi wakati tunajua
kwamba kila waziri anapewa
kasma ya maandalizi ya bajeti
inayokuja,” alisema Sendeka na
kuongeza:
“Wote (watumishi) waliokuja
waliweza kuja na mafuta kutoka
katika ofisi zao naomba Bunge
hili, Mheshimiwa Naibu Spika
liniunge mkono kwa kutoa hoja
kwa mujibu wa kanuni ya 117,
fasili ya kwanza ya pili mpaka ya
nne ambayo inaweka masharti
ya kuundwa kwa kamati teule na
hii itasaidia sana kuitendea haki
hoja hii na kulinda hadhi ya
Bunge lako tukufu.”
Msimamo wa Bunge
Baada ya Sendeka kutoa hoja
hiyo, Ndugai alisimama na
kusema: “Sasa hoja hiyo
Mheshimiwa Ole - Sendeka
ameiboresha kwa kutoa hoja ya
kuunda tume teule ambayo
waheshimiwa wabunge
mmeiunga mkono kwa wingi
sana kwa kutumia kanuni ya 117
ambayo inasema kamati teule
inaweza kuundwa na Bunge kwa
madhumuni maalumu kwa hoja
mahsusi itakayotolewa na
kuafikiwa.”
“Mimi ninakubaliana na jambo
hili na kwa jinsi hiyo, kufuatana
na kanuni hiyo ya 117 Bunge hili
litaunda tume teule kwa ajili ya
kulichunguza jambo hili kwa
sababu Bunge ni mhimili,
haliwezi kudharaulika kiraisi na
tunaiheshimu na kuipenda sana
Serikali yetu inayoongozwa na
Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete
na Waziri mkuu wake Mizengo
Pinda.”
“Si rahisi kwa Bunge kuonekana
Waziri Mkuu akidharaulika
likanyamaza! Haiwezekani, kama
dharau inaweza kutokea
hukohuko si ndani ya Bunge
hili.”
Baada ya uamuzi huo, Mbunge
wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod
Mkono alijaribu kupinga uamuzi
huo akitaka jambo hilo liende
kwa utaratibu ili Bunge lisije
likaingilia taratibu za mihimili
mingine. Alihoji kwa kitendo cha
kutompatia nafasi Jairo ili ajieleze
lakini Ndugai alisema jambo hilo
alishalifunga lakini akamtoa
shaka mbunge kuhusu haki:
“Kama ni kuhojiwa basi ataitwa
akahojiwe huko asipotendewa
haki hiyo utaleta hoja yako.’.
Jairo apokewa kishujaa
Wakati wabunge
wakimng'ang'ania, Jairo
alipokewa kwa mbwembwe
aliporipoti ofisini kwake Dar es
Salaam huku baadhi ya
wafanyakazi wakisukuma gari
lake na kuimba: “Baba, baba
baba huyooo, karibu baba,
karibu baba, umeshinda vita
karibu nyumbani.’
Akizungumza baada ya kuingia
ofisini, Jairo alisema:
“Nimesamehe kwa upendo
mkubwa. Siwezi kulipiza kisasi,
wala sitachukua hatua zozote
kwa kuwa mimi ni Mkristo
nimerudi kwa amani, tuchape
kazi tujenge nidhamu,” alisema.
Mara baada ya kufika ofisini
kwake, Jairo akionekana
mwenye uso uliojaa furaha huku
akilengwa na machozi alisimama
mbele ya kiti chake akiwa kimya
akitazama chini na kisha alitoka
na kuelekea ofisini kwa Waziri
wake, William Ngeleja.
“Nimejipanga kuchapa kazi kwa
bidii na kudumisha ushirikiano
uliokuwapo tangu awali,
nashukuru haki imetendeka na
sitawashtaki wale
walionituhumu,’’ alisema Jairo na
kuongeza kwamba watu
wajielekeze kwenye mambo ya
maendeleo kuliko kufuatilia mtu
mmojammoja, kwa kuingiza
maslahi binafsi.
Waziri Ngeleja alisema
ameshukuru kwamba Jairo
amerudi baada ya misukosuko ya
hapa na pale.
LHRC wapinga
Kituo cha Sheria na Haki za
Binadamu (LHRC) kimepinga
hatua ya Serikali kumsafisha Jairo
na kisha kumtaka arejee kazini,
kikisema hatua hiyo
imedhalilisha Bunge.
“Taarifa ya kusafishwa kwa Jairo
inaashiria mambo matatu,
kwanza inaonyesha kuna
mkakati wa kuwalinda viongozi
pale wanapofanya makosa. Pili,
taarifa hiyo imelidhalilisha Bunge
ambalo ndilo lilifichua kashfa
hiyo, Beatrice Shelukindo ndiye
aliyefichua hayo. Tatu, taarifa
hiyo imemdhalilisha Waziri Mkuu
na kumfanya aonekane
kutokuwa makini na kauli zake
hasa pale aliposema kuwa
angeweza kumchukulia hatua
Jairo lakini anasubiri taarifa ya
Rais.”
Policy Forum yakosoa
Mratibu asasi ya kiraia ya Policy
Forum, Semkae Kilonzo alisema
Serikali imechukua uamuzi huo
bila ya kuzingatia uzito wa jambo
husika. Alisema umefika wakati
iache kufanya kazi kwa mazoea
na iheshimu mamlaka ya mihimili
mingine.
Alisema Katiba ya sasa katika
Ibara ya 63, kifungu kidogo cha
1 hadi 3 inaeleza bayana,
mamlaka ya Bunge na kusisitiza
kuna haja ya mhimili huo
kupewa meno zaidi kwa mujibu
wa sheria ili ushauri na maoni
yake yaweze kutekelezeka.
“Wabunge walishaeleza maoni
yao kuhusu sakata hilo lakini
serikali imechukua hatua bila ya
kuzingatia uzito wa jambo
lenyewe, cha msingi hapa ni
bunge liongezewe meno zaidi ili
kazi zake ziweze kuheshimika na
kutekelezeka,” alisema Kilonzo.

DC QUAKE TURNS OFF TWO NUCLEAR REACTORS

Tuesday afternoon’s 5.8
earthquake caused two nuclear
reactors at a power plant outside
of Washington DC to go offline.
The facilities at Lake Anna,
roughly a dozen miles away from
the epicenter of today’s quake in
Virginia , was rated by the United
States Nuclear Regulatory
Commission as the seventh most
“at risk” plant of its type for
earthquake damage according to
a report released this March. That
analysis took into account the
100-plus power plants from
coast-to-coast and rated the
Virginia site’s odds of
experiencing a quake around 1
in 22,727.
Jim Norvelle of Dominion Power
added to the report, published by
NBC, that the plant was built to
withstand a magnitude of 5.9 to
6.1. Today’s quake was originally
rated a 5.9 before being
downgraded to 5.8.
Meanwhile, in the Washington DC
area, cell phone networks went
dark in the immediate aftermath
of the earthquake, which also
saw mass evacuations across the
greater DC area. Washingtonians
have been warned of aftershocks
and damage has been reported
in the Capitol Building and DC’s
Union Station. Federal buildings
in DC were evacuated and
employees were told not to come
back today.
The quake, whose epicenter is
placed at Mineral, Virginia, was
felt across the east coast, with
reports of tremors stretching
from North Carolina to Rhode
Island, New York City to Cleveland
and even in Toronto, Ontario,
Canada

Tuesday, August 23, 2011

LAYLATUL QADRI-THE NIGHT OF POWER

Qadr means honour and dignity.
Lailatul Qadr means the night of
honour and dignity. It is this
night in which the first Divine
Revelation came to the Prophet
sallalahu alayhi wasallam, when
he was in prayer in the cave of
Hira. Since this night enjoys the
honour of having the first
revelation brought to the
Prophet sallalahu alayhi
wasallam, it has been named
Lailatul Qadr.
This is one of the holiest and
most blessed nights, which is
likely to occur on one of the odd
nights on the last ten days of
Ramadhan and most likely to be
the 27th. The reward of worship
on this night is better than the
worship of a thousand months
of worship, equivalent to a
person's lifetime. So, on this
night one should pray nafil
namaz, recite the Quran, do
Tasbih, Zikr, Duas, etc as much as
possible.
This night had already opened
its gates of treasures when the
angel for the first time had come
with the Divine Message in the
cave of Hira, but its
auspiciousness has continued to
be with us permanently. Every
year in the month of Ramadhan,
this night is given to the
Ummah. Muslims engage in
prayers, recitation of Quran and
praying to Allah, as the Prophet
sallalahu alayhi wasallam said:
"The person who offered
prayers to Allah in the night of
Dignity with faith and with hope
of reward from Allah, all his past
sins have been
forgiven." (Bukhaari)
As the rainy season is suitable
for farming, similarly for the
attainment of nearness to Allah,
specific times , specific days and
specific nights are most suitable,
e.g. the time of Tahajjud prayers,
Friday prayers, month of
Ramadhan, the Day of Arafah,
etc. So also the Night of Power is
the most suitable night for
attaining nearness to Allah.
In the Hadeeth, we have been
asked to seek it in the last ten
nights of the month of
Ramadhan. Hazrat Aa'ishah
radhiyallahu anhaa narrates that
the Messenger of Allah sallalahu
alayhi wasallam has said, 'Seek
the night of Dignity in the odd
nights of the last ten days of
Ramadhan'.(Bukhaari).
By odd nights, the reference is
made to the 21st, 23rd, 25th,
27th, 29th night of the month of
Ramadhan. No one night has
been fixed so that the yearning
to find it may increase and
people may spend more nights
in worshipping Allah. From this
aspect, the importance of
`Itikaaf (seclusion) during the
last ten days of Ramadhan is
clear.
Some special prayers and Zikr
for Laitul Qadrtop
1. Seeking Forgiveness.
Hazrat Aa'ishah radhiyallahu
anhaa asked the Prophet
sallalahu alayhi wasallam that
if she happened to get the
night sublime what prayer
should she say. The Prophet
sallalahu alayhi wasallam
replied that she should say the
following prayer :
"Allahumma innaka
afuwwun kareemun tuhib-
bul af-wa fa-afo anni"
(O Allah, You are the One who
grants pardon for sins, loves
forgiving, so forgive me.)
2. Reciting Astaghfar. The
following should be recited as
much as possible:
"Astaghfirullah hallazi la-ila-
ha illa huwal Hayyul
Qayyumo wa atu-bu ilaihe"
(I seek forgiveness from Allah,
the Almighty, there is no God
but He. He is self-Existent, the
Eternal and I return to Him)
3. Reciting Surah `Inna
anzalnahu...'
"Inna anzalnahu fee lailathil
Qadr, Wa maa adraka maa
lailatul Qadr.
Lailatul Qadri khairum min
alfi shahr. Tanazzalul malai-
katu var-roohu
fee ha bi izni Rabbihim min
kulle amr. Salaamun heya
hatta matla-il fajr."
4. Do Salatul Tasbih.
5. Do Afzul Zikr i.e. La ilaha
illallah

Monday, August 22, 2011

israeli palestine conflict

Palestinian militants fired at least
17 more rockets into Israel
Sunday and the Israeli military
launched an air strike in the
Gaza Strip during the region's
fourth straight day of violence.
Overall, the violence has claimed
the lives of 15 Palestinians, nine
Israelis and five Egyptians.
Palestinian police say Israeli
troops arrested scores of Hamas
members Sunday in the
southern West Bank, just hours
after the most recent rocket
attacks from Gaza on Israel's
south.
The Israeli military and
Palestinian militants have carried
out back-and-forth attacks since
Palestinian ambushes inside
Israel near the Egyptian border
killed eight Israelis on Thursday.
Israel says militants in the
Hamas-ruled Gaza Strip have
fired more than 100 rockets into
southern Israel in the past days.
One rocket attack killed an
Israeli man. The Israeli air
strikes have killed mostly
Palestinian militants. Civilians on
both sides have been wounded.
Five Egyptian police officers
were killed on the Israel-Egypt
border as Israeli troops pursued
the initial Palestinian attackers.
The deaths sparked outrage in
Egypt.
The Arab League has
condemned the Israeli air
assaults. In a statement Sunday,
the group called on the U.N.
Security Council to take
necessary procedures to end the
attacks.
Israeli Defense Minister Ehud
Barak on Saturday expressed
regret for the deaths of the
Egyptian officers and said Israel
will conduct a full investigation
with the Egyptian military.
Egypt's government said the
response was "not enough."
Protesters outside the Israeli
embassy in Cairo cheered when
a man climbed atop the building
and removed the Israeli flag,
replacing it with an Egyptian
flag.
Egypt's military-backed
government said it would recall
its ambassador to Israel to
protest the killing of the
Egyptian officers.
Some information for this report
was provided by AP, AFP and
Reuters.

Thursday, August 18, 2011

Two men in Britain have been sentenced to four years in jail for trying to stir up last week's riots using facebook...

Two men in Britain have been
sentenced to four years in jail for
trying to stir up last week's riots
using Facebook. They both
posted messages on the social
networking site calling for their
friends to join in the unrest.
The two men, Jordan Blackshore
and Perry Sutcliffe-Keenan, later
said it was just a joke and no
rioting broke out as a result of
their posts. Investigative
journalist Tony Gosling, however,
says that what they say is a joke
is nothing less than a serious
offense.
“I think it’s a little bit rich of
Jordan Blackshore and Perry
Keenan to say that this is a joke,
because clearly in the sort of
situation that we had here in
Britain a week ago, that the
people who were really afraid to
go out because of robbers
rampaging around the streets as
they were in some of our cities –
this was not a joke at all,” Gosling
said. “I think, actually, it’s quite
right for the courts to take this
very seriously. This is incitement
to criminal behavior, and of
course these people should go
through the normal channels and
possibly go to jail for what
they’ve done, which is inciting
rioting – [a] very serious
offense.”
With all that, the journalist went
on to explain, the way people are
sentenced in the UK is itself quite
controversial, and a certain
backlash against the recent stiff
sentences can be expected.
“I think what will happen is, for
certain with the more extreme
cases with this rioting, is that
people will actually get much
lower sentences, possibly even
be released because they’ve been
in jail for a certain amount of
time – after they’ve gone to
appeal,” he said. “And I know at
least one of these two Facebook
people, actually, is going to be
definitely appealing against this
four-year sentence.”
British Prime Minister David
Cameron said the free flow of
information can be used for
criminal purposes, and Gosling
believes that the UK government
may already be controlling it to a
certain extent. He agrees that
making sure that social networks
are used properly is a sensible
issue, but the government’s
reaction should not affect
people’s ability to communicate.
“We have to separate the
difference between ordinary
communications and those kinds
of communications which involve
incitement to riot, incitement to
other kinds of criminal behavior,”
he said. “So, I think we’ve got to
separate the two. Let everybody
communicate freely, but if people
are actually inciting criminal
offenses and making things
worse, generally they are
criminals and should be arrested
as such.”
David Bowden, a commentator
for InstituteOfIdeas.com, a social
issues website, says the
authorities' attempts to regain
credibility have gone too far.
“Having had their authority
visibly shaken last week, with
being unable to keep the streets
safe, I think that we are seeing
quite a superficial and
dangerous knee-jerk reaction
now from the police and the
authorities as they try to regain
that authority,” he said. “It’s
superficial, because we’ve seen
people being handed quite
severe sentences for often
playing quite a minor role in the
riots and often for crimes such
as stealing a bottle of water or
some ice cream.”
“It’s dangerous because we are
now seeing a knee-jerk reaction
to people using social networks
to say they want to have a riot,
even if they haven’t followed that
up with organizing the riot
itself,” Bowden added.

Gaddafi reportedly “gravely ill” and ready to leave Libya

As Libyan rebels continue
advancing on the capital Tripoli,
Libyan leader Muammar Gaddafi,
who has been struggling to stay
in power since March, is reported
to be "gravely ill."
The news comes from unnamed
sources quoted by the Asharq al-
Awasat newspaper. No further
details on the colonel’s medical
condition is said to be available,
though the rebel Transitional
National Council does refer to
medical reports allegedly
confirming that Gaddafi has had
a serious illness.
The strongman’s worsening
health reportedly prompted him
to send the head of his office to
Mali and Tunisia to meet with
French and British
representatives in a bid to secure
his family's and his own safety.
According to reports, Gaddafi
was likely to step down and
delegate his powers to
Muhammad Alqamoda, the
Libyan regime’s justice minister.
"Colonel Gaddafi's conditions are
an immediate cease-fire and the
withdrawal of NATO forces," the
Itar-Tass news agency quoted an
unnamed source in Libya’s
military as saying. "Two Airbus
aircraft from South Africa landed
at Tripoli International Airport.
One of them included a
delegation, while the second was
empty of passengers."
The same source reportedly
added that the planes may be
ready to transfer Gaddafi, his
family members and some
members of his government to
Venezuela. It is also reported that
an envoy of Venezuelan
President Hugo Chavez arrived on
the Tunisian island of Djerba,
where he allegedly met Gaddafi’s
representatives.
Meanwhile, the rebels claim to be
advancing on the Libyan capital
Tripoli. Despite the NATO-led
mission to protect civilians and
enforce a no-fly zone over the
country, the civil war between
rebels and forces loyal to Gaddafi
continues to rage for more than
six months after the outbreak of
violence.

Monday, August 15, 2011

MAFUTA BEI JUU KWA 5%

BEI ya bidhaa ya petroli
imepanda tena kwa zaidi ya Sh
100 kwa lita kuanzia Jumatatu,
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma
ya Nishati na Maji (Ewura)
imetangaza Jumapili.
Kwa tangazo hilo la Ewura, katika
Jiji la Dar es Salaam lita ya petroli
imepanda hadi kufikia Sh 2,114
ambayo ni bei kikomo kutoka Sh
2,004 zilizotangazwa na Ewura
Agosti 3, mwaka huu ambazo
hata hivyo ziligomewa na
wafanyabiashara.
Dizeli kwa bei ya rejareja sasa
itauzwa Sh 2,031 kutoka Sh
1,911 huku mafuta ya taa
yatauzwa kwa Sh 2,005. Kwa
upande wa bei za jumla petroli
itauzwa kwa Sh 2,046.62, dizeli
itauzwa kwa Sh 1,963.81 na
mafuta ya taa yatauzwa kwa Sh
1,937.90.
Wiki mbili zilizopita, Ewura
ilitangaza bei hizo mpya ambazo
ziligomewa na wafanyabiashara
wa mafuta hadi Serikali ikatishia
kuchukua hatua za kisheria dhidi
yao ndipo baadhi yao
wakalegeza msimamo.
Hata hivyo, Kampuni ya BP
Tanzania iliendelea na msimamo
wa kutouza mafuta kwa bei hiyo
ya Serikali na kwa ukaidi huo
tayari kampuni hiyo imefungiwa
na Ewura kutojihusisha na
biashara ya petroli, dizeli na
mafuta ya taa kwa miezi mitatu.
Hatua hii ya Ewura kupandisha
bei tena ya mafuta ni wazi kuwa
itazua manung’uniko kwa
wananchi ambao walitarajia
kuwa ile ahadi ya Serikali iliyoitoa
wakati wa bajeti ya kushusha bei
za bidhaa hiyo ingedumu kwa
muda mrefu.
Meneja Biashara ya Petroli wa
Ewura, Godwin Samwel alitetea
uamuzi wa kupandisha bei ya
mafuta kuwa umetokana na
kushuka kwa thamani ya Shilingi
dhidi ya Dola ya Marekani pamoja
na kupanda kwa kwa bei ya
mafuta katika soko la dunia.
Samwel alisema viwango vya bei
zilizotumika katika soko la dunia
zimepanda kwa wastani wa
asilimia 5.42 na thamani ya
Shilingi ya Tanzania imeshuka
kwa shilingi 47.12 kwa Dola
moja ya Marekani.
Ewura pia imezidi kujitetea kuwa
kanuni mpya ya kukokotoa bei za
bidhaa hiyo bado inafanya
mafuta kuuzwa kwa bei ya chini
ukilinganisha na kanuni ya
zamani. Samwel alitoa mfano
kuwa iwapo Ewura ingetumia
kanuni ya zamani ya kukokotoa
bei mpya, petroli ingeuzwa kwa
Sh 2,298.33, dizeli ingeuzwa Sh
2,213.36 wakati mafuta ya taa
yangeuzwa kwa Sh 2,188.89.
“Bei za rejareja na za jumla
zingepanda zaidi endapo
furmula ya zamani ingeendelea
kutumika,” alisema Meneja
Biashara ya Petroli wa Ewura.
Aliongeza kuwa kwa mujibu wa
Sheria ya Mafuta ya Ewura ya
mwaka 2008, bei za bidhaa ya
petroli zitaendelea kupangwa na
soko na akaongeza kuwa
mamlaka yake itaendelea
kuhamasisha ushindani kwa
kutoa taarifa za bei za bidhaa za
mafuta.
Hata hivyo, Samwel alitoa
matumaini kwa Watanzania
kuwa kuna uwezekano mkubwa
baada ya wiki mbili bidhaa ya
petroli ikapungua bei kutokana
na bei katika soko la dunia
kuanza kushuka.
“Bei itashuka iwapo Shilingi
haitaporomoka zaidi, ila
ikiendelea kuporomoka bei
haitashuka sana,” alisema ofisa
huyo wa Ewura. Akielezea hali ya
biashara ya mafuta kwenye soko
la ndani, alisema upatikanaji wa
mafuta unaendelea vizuri kwani
Ijumaa jumla ya lita milioni 9.5
zimeingizwa kwenye soko la
ndani na juzi Jumamosi lita
milioni 4.9 za bidhaa hizo
ziliingizwa kwenye soko.
Alisema meli za mafuta
zinaendelea kuingia nchini na
zingine ziko bahari zikisubiri
kupakua shehena hiyo. “Hivyo
nawahakikishia kuwa
upatikanaji wa mafuta
utaendelea kuwa mzuri,” alisema.
Kuhusu baadhi ya vituo vya
Kampuni ya Total na Orxy
kuendelea kutotoa huduma kwa
wananchi, Ewura imeahidi kutoa
tamko leo.

.
[chanzo Habari Leo]

Friday, August 12, 2011

ANONYMOUS AREFO DESTROY FACEBOOK- FOR PRIVACY'S SAKE

The hacktivist group Anonymous
has issued a YouTube video in
English, Spanish and German
announcing plans to destroy the
world’s biggest social network,
Facebook.
The hackers offer anyone
concerned with the spread of
personal information on the web
to join the cause and “kill
Facebook for the sake of your
own privacy” in the action that
“will go down in history,” setting
the date for November 5, 2011.
“Facebook has been selling
information to government
agencies and giving clandestine
access to information security
firms so that they can spy on
people from around the world,”
the video statement, recorded in
a typical digitally-altered voice
says.
Anonymous insists the service is
free for users for the sole reason
that their personal information is
on-sold and says the system
remembers all the changes in
user profiles, enabling the
owners of the social network to
recover any information put into
the system at any time and
recover deleted profiles.
“Facebook knows more about
you than your family,” their
message says.
November 5 is Guy Fawkes’ Night
in the UK. Fawkes was the
mastermind of the Gunpowder
Plot: in the 17th century, who
planned to assassinate King
James I by exploding the House
of Lords building with large
quantities of gunpowder. The
plot, in fact, backfired.

Thursday, August 11, 2011

Paka akiondoka PANYA hutawala

Mjumbe maalum wa Umoja wa
Mataifa kwa Somalia Balozi
Augustine Mahiga, anasema
kundi la wanamgambo wa al-
Shabaab lenye ushirika na
mtandao wa kigaidi wa al-Qaida
limeondoka Somalia, lakini
anatahadharisha kuwa huenda
kukaibuka makundi ya kujazia
pengo lililoachwa na al-Shabaab.
Mahojiano na Balozi Mahiga
Akizungumza na Sauti ya
Amerika leo Alhamis, akiwa mjini
Kampala ambapo alitazamiwa
kukutana na Rais Yoweri
Museveni, Balozi Mahiga alisema
ameliomba Baraza la Usalama la
Umoja wa Mataifa pamoja na
Umoja wa Afrika kuongeza
juhudi na mchango wao wa
kijeshi kusaidia serikali ya
Somalia ili iweze kujenga mfumo
thabiti wa utawala na taasisi za
kutegemewa kwa raia wa
Somalia.
Aidha Balozi Mahiga, alisema
mkusanyiko wa maswala kadha
huenda ulipelekea kuvunjwa
nguvu kwa kundi hilo la al-
Shabaab, ikiwemo ukosefu wa
fedha, kukosa uongozi thabiti na
hata matatizo ya njaa na ukame.
Lakini alisitiza kuwa kulikuwa na
mapambano makali baina ya al-
Shabaab na vikosi vya serikali ya
Somalia vikisaidiwa na majeshi
ya Umoja wa Afrika-AMISOM kwa
siku 10 hivi, kabla ya kundi hilo
kusalim amri.
Kuhusu ukame na njaa
iliyokumba Somalia, Balozi
Mahiga alisema alianza kuonya
juu ya uwezekano wa kuibuka
janga kubwa la njaa tangu
mwezi Oktoba mwaka jana, kwa
kutoa taarifa kwa katibu Mkuu
wa Umoja wa Mataifa. Anasema
endapo jamii ya kimataifa
ingeliingilia kati tangu wakati
huo, maafa na picha za
kuhuzunisha zinazoshuhudiwa
na dunia nzima kuhusu njaa
nchini Somalia yangeepukika.
Mjumbe huyo maalum wa Umoja
wa Mataifa kwa Somalia pia,
alisema yupo tayari kuhamia
Mogadishu, na anahimiza jamii
ya kimataifa ichangie kuhamishia
makao ya ofisi yake mjini humo
badala ya Nairobi ili kuweza
kutoa huduma zaidi na kwa
wakati ufaao, kusaidia kuleta
uthabiti wa kiutawala nchini
Somalia.