South African police fired rubber bullets on Tuesday at scores of protesters outside the Democratic Republic of Congo embassy (DRC) in Pretoria demanding President Joseph Kabila step down, a spokesman said.
Several protesters were wounded and seven were arrested for public order offences, provincial police spokesman Kay Makhubela said. Kabila's mandate as DRC president expired at midnight, with no elected successor in place.
Tuesday, December 20, 2016
South African police fire Rubber bullets at Congo Embassy protesters
Tuesday, December 13, 2016
Majambazi waiba dhahabu ya kilo 70 Ufaransa
Majambazi waliokuwa na silaha wameiba dhahabu ya kilo 70 nchini Ufaransa na kutoroka.
Majambazi hao wanne waliokuwa wameabiri magari mawili walishambulia gari la usalama lililokuwa likisafirisha dhahabu hiyo karibu na mji wa Lyon.
Walitumia gari moja kuziba barabara.
Kisha, walichukua dhahabu hiyo inayokadiriwa kwua ya thamani ya €1.5m ($1.6m; £1.3m), na kuipakia kwenye gari moja lao ambalo walikuwa wamepanga kulitumia kutoroka.
Baada ya hapo, waliwafungia walinzi wawili waliokuwa wanasafirisha dhahabu hiyo nyuma ya gari lao kabla ya kuteketeza gari ambalo walikuwa wamelitumia kufunga barabara.
Walinzi hao waliokolewa na maafisa wa polisi baada ya mtu aliyeshuhudia tukio hilo kuwapasha habari.
Wezi hao walitoroka upesi na kuacha moto uliokuwa kwenye gari waliloliwasha moto ukienea na kufikia magari mengine yaliyokuwa karibu ingawa muda mfupi baadaye wazima moto walifika na kuuzima.
Kisa hicho kilitokea katika barabara ya A6 inayounganisha Lyon na Paris.
Polisi wanawasaka wahusika.
Monday, December 12, 2016
MZEE WA UPAKO:Wanaoniandika vibaya kufariki kabla ya mwezi wa tatu
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo, maarufu kwa jina la Mzee wa Upako jana amesema waandishi wote wa habari wanaoandika habari za kumchafua, watakufa kabla ya kufika Machi 2017.
Kauli hiyo ameitoa ikiwa ni mwendelezo wa mahubiri yake ya nne katika wiki ya tatu mfululizo, akijibu yale yaliyoandikwa katika vyombo vya habari kuhusu kumfanyia fujo jirani yake na kulewa.
“Kila mwandishi aliyeniandika vibaya, ikifika mwezi wa tatu akiwa hai, mimi naacha kuhubiri, nafunga virago nakwenda kuuza gongo, sasa Mungu ndiye ataamua kwamba ama niache kuhubiri mimi au wewe ufe …najua hata leo mko humu mmekuja na mnasikiliza tu,”alisema.
“Akisema Mungu uishi wewe basi, nakuwa sina namna, lakini sijawahi kumtumikia Mungu ambaye ananyamaza. Nilishakubaliana mimi na Mungu, mpango wa Mungu ndiyo mpango wangu, sasa wajiandae, mimi siyo Sheikh Yahaya, mmeingia choo cha kike, nasema ‘Mama yangu mzazi’ nitaacha kuhubiri, nitaacha kuhubiri ….mimi nina nguvu saaana,”alisema.
Hata hivyo baadaye mchungaji huo alishuka na kusema anamuachia Mungu wake ambaye atawahukumu kwa wakati wake.
“Lakini Mungu anasema tusihukumu, namuachia Mungu atawahukumu kwa wakati wake, haleluya, haleluya, Mungu awabariki sana."
Novemba 24, mitandao ya kijamii ilikuwa na picha zinazomuonyesha Mzee wa Upako akirushiana maneno makali na jirani huyo ambaye anasikika sauti.
Taarifa za kukamatwa kwa kiongozi huyo wa kiroho zilisambaa baada ya mwandishi wa habari, Happiness Katabazi aliyeshuhudia tukio hilo, kuandika kwa urefu kisa hicho na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii.
Novemba 26, Mzee wa Upako kwa mara ya kwanza alisita kuzungumzia sakata hilo na badala yake akasema wanaomtuhumu waendelee kusema: “Sisemi, lakini siogopi kwenda jela mimi na kwa taarifa yao watashindana sana, lakini hawatashinda. Hii ni kama kumpiga chura teke.”
Novemba 28, pia Mchungaji huyo akajibu akisema maneno aliyotumia ambayo ni mshenzi, mpumbavu na mjinga siyo matusi kwani yameandikwa kwenye biblia na kwamba watu hao ndiyo walianza kumtukana yeye baada ya kuwauliza wanatafuta nini eneo la getini kwake.
Jana, mchungaji huyo aliwahakikishia waumini wake akisema waandishi walioandika kwa lengo la kumchafua watakufa kabla ya kufika Machi mwakani.
Katika mahubiri yake yaliyojengwa na msingi wa Biblia kutoka kitabu cha Samweli wa kwanza, sura ya 16, mstari wa saba, Mzee wa Upako aliyekaribishwa kwa nyimbo kadhaa ikiwamo ‘kusanya kusanya’ alisema yeye siyo mchungaji anayejikweza, lakini baadhi ya wachungaji wakubwa kutoka nje wamekuwa wakienda kuomba upako.
Pia, alisema hata Rais John Magufuli hakumuita yeye bali aliona kitu ndani yake na kubarikiwa kabla ya kumtembelea.
Saturday, December 19, 2015
Zari amchunia X wake
Ilikuwa ni alhamis tulivu jijini kampala ambapo headliness zilikuwa ni party ya Zari. Watu wengi walijitojeza kwa kujua kwamba Diamond nae lazma atakuwepo bila kujua kuwa zari na diamond wametumia akili ya kibiashara ili kufanya show zao zote zijaze watu. Katika moja ya "sapraiz" ni kutokea kwa Ivan katika party hiyo. Mwanadada zari hakuoneshwa kushangazwa na kuwepo kwa ivan mjengoni na kuendelea kula bata huku akiwapa mgongo rich gangs..! Hizo hapo chini ni baadhi ya pics za yaliyojiri kwenye party hiyo. Kwa picha zaidi watafute zari na ivan instagram.
Thursday, December 17, 2015
Ben Pal afunguka
Msanii Ben Pol, King Of Rnb amewataka mashabiki zake waachane na habari za mitandao na kuwataka wawe wavumilivu mpaka pale atakapofunguka live leo usiku kupitia EATv ambapo ataweka wazi mambo yake mengi pamoja na
kufuzungumzia jambo ambalo limefanya mashabiki wengi kuwa na sintofahamu juu yake na msanii Ali Kiba.
Jana kupitia mtandao wa twitter Ben Pol alimuuliza msanii Kiba swali hili "Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?" Alihoji Ben Pol
Lakini swali hili kwa baadhi ya mashabiki lilichukuliwa tofauti na baadhi ya mashabiki wa Alikiba walianza kumjia juu msanii huyo kwa maneno lakini leo Ben Pol atakuwepo katika Friday Night Live ya EATV ambapo atafunguka mengi juu ya muziki wake,.
Tuesday, December 15, 2015
DIAMOND PLATNUMZ KUACHIA MZIGO MWINGINE XMASS?
Baada ya Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania @diamondplatnumz kutoa single yake mpya ambayo inahit katika soko la mziki duniani anatarajia tena kudondosha single nyingine kama zawadi ya kufunga mwaka kwa mashabiki wake. Source yetu ambayo ipo karibu na platnumz imetutaarifu kuwa superstar huyo amepanga kuiachia zawadi hiyo katika tamasha la funga mwaka litakalofanyika tarehe 25 mwezi huu.
Diamond kwa sasa yupo hapa Afrika ya kusini nashoot video aliyoshirikishwa na Mafikizolo.
Monday, December 14, 2015
Kim Kradashian on Africa
Kim Kardashian is known for her voluptuous b00ty. That’s all. That is what brought about all her money and fame.
It all started with her releasing a s3xtape with American hip hop tycoon Raj J. The tape gave the two the publicity of their lifetime.
Many supported the tape but equally it received a lot of criticism, especially for Kim.
But the two did not care what people say. They took and used the positive one’s to their advantage and ignored the negative.
But as Africans there are things that we cannot ignore. Especially someone referring to our continent as ‘untidy zone for s3xy model’.
That is what Kim said about SA last week. She was approached by a liquor manufacturing company to officiate the launch of the drink in Johannesburg.
She turned down the offer through her marketing manager but later on decided to personally pass the hateful message. She says that her skin is too s3xy to be on African soil.
Tuesday, September 22, 2015
Free State police search for victims of genital mutilation
Acting on a tip-off, the Hawks have arrested a 58-year-old Danish citizen at his home in Bloemfontein.
But it is what they found in the man's fridge that has shocked even the most hardened detectives.
The garden outside his home wouldn't look out of place in any of Bloemfontein's suburban townhouse complexes. Slightly unkempt, with children's toys strewn about.
However, these typical suburban scenes belie the gruesome discovery made, when police raided this Langenhovenpark home last week.
Several neatly labelled bags, containing amputated female genitalia, vial upon vial of sedatives (for use on both humans and animals), and a collection of medical equipment were found in the house and refrigerator. The amount of surgical equipment, some of which is still neatly sealed, would leave doctors at the province's struggling hospitals green with envy.
But it's the picture and video collections that really shocked detectives. They say both a cellphone and a camera were used to carefully document the process during which the labia and clitorises of several women were removed.
The women were in varying states of consciousness, leading detectives to believe that some may have been drugged for the procedures.
"It's definitely female genital mutilation that we have discovered. And maybe child pornography. We are investigating that as well," says Investigating Officer Linda Steyn.
Steyn believes that at least one of the women seen exposing herself to the camera could be under age.
Steyn now faces the task of determining exactly how many victims there were, if they are all still alive, and whether they voluntarily submitted to the procedures.
"We've got one lady, but at this moment we're asking the community to please, if they have been a victim of the accused, come forward and give us the relevant statements."
The man responsible for it all is a 58 year old Bloemfontein businessman. Originally from Denmark, the suspect was reportedly perplexed at the police confiscating his "trophies" and medical equipment.
"He really believed that what he was doing is okay," says a police officer who was present at his arrest.
Court 20 at the Bloemfontein magistrate's court was packed with curious onlookers, hoping to catch a glimpse of the suspect, during his appearance. Many of them clutched a copy of local newspapers, on which the find is the headline.
Among them is a Danish newspaper team, here to send news home on their compatriot's alleged crimes. They are less hesitant to share their opinion on the crimes than one of the local reporters.
"He is a sick bastard. Why did he have to come here and do this to our women? I'm sure we're going to find bodies soon," she muses.
The suspect appeared on charges of sexual assault, intimidation, and contravention of the South African Health Act on Monday.
Covering his head with a towel, he attempted to hide his face, until an AP cameraman grabbed it, leading to a brief exchange of words and glares.
His appearance was brief, as police applied for a remand, for further investigation. They also mentioned that they are investigating the possibility of two outstanding warrants for the suspect's arrest. One in Lesotho, and another in his native Denmark.
He will remain in custody till at least 28 September, when his bail application will be heard.
Monday, September 21, 2015
Thousands to protest against Pharrell Williams and Woolworths
Members of pro-Palestinian group Boycott, Divestment and Sanctions (BDS) have been involved in a year-long dispute with Woolworths.
They have demanded that Woolworths refrain from stocking Israeli products and have promised to demonstrate against the singer's partnership with the retail group.
On Friday, BDS won a morale-boosting victory when the Western Cape High Court reversed the City of Cape Town's restriction on the number of protesters allowed at the Pharrell Williams concert.
The court found the restriction to be unconstitutional, and gave the go-ahead for 16,000 people to protest until 4pm.
The City of Cape Town was ordered to pay all legal costs.
In a press statement, BDS said they expected Pharrell Williams to face “the largest protest any artist would have faced since the end of Apartheid”.
Sunday, September 6, 2015
MAMBO 10 MUHIMU ILI SHERIA YA MAKOSA YA KIMTANDAO YASIKUKAMATE.
Sheria hii imeanza kutumika tarehe 1 septemba 2015.. Ukizingatia haya ya fuatayo utakuwa salama
1. Epuka Kusambaza ujumbe wa uchochezi ama ushawishi wa kisiasa unaoweza kuleta athari kwa jamii yetu kupitia mitandao
2. Epuka Kusambaza au kutunga ujumbe unaoleta uchochezi wa kidini unaoweza kupelekea kuvuruga amani na maelewano kwa jamii kupitia mitandao
3. Epuka Kusambaza picha ama video za utupu ama zilizokosa maadili kwa jamii kupitia mitandao mbalimbali ( Whatsapp, Facebook, YouTube, Instagram n.k)
4. Epuka Kusambaza picha ama video za uchochezi wa kidini ama kisiasa kupitia makundi mbalimbali ama mitandao ya kijamii
5. Epuka Kushiriki kusambaza chochote kati ya vilivyotajwa hapo juu (kutuma kama ulivyopokea ) itakugharimu
6. Epuka Wizi kupitia mitandao mbalimbali na mitandao ya simu utakugharimu
7. Epuka Kumpatia mtu line yako ya simu na kutumika kufanyia wizi ama utapeli itakugharimu
8. Epuka Kushiriki kumchafua mtu,taasisi,kikundi cha watu kwa namna yoyote kupitia mitandao pia itakugharimu
9. Epuka Kupoteza simu bila kutoa taarifa na kufunga mawasiliano hayo yanaweza kupelekea kutumika kufanya uhalifu na ukaangukia hatarini
10. Epuka Kutumia mtandao kwa utapeli kupitia 'brand' ama jina la mtu itakugharimu
Hukumu
Ni kifungo cha miaka kadhaa gerezani ama faini ya fedha isiyopungua milioni 5 kulingana na kosa lililofanyika (au vyote!)
Tuesday, September 1, 2015
VMA 2015: Nicki Minaj called out Miley Cyrus live on the VMA stage
While accepting the award for Best Hip-Hop Video at tonight's MTV Video Music Awards, Nicki Minaj held host Miley Cyrus accountable for comments she made in an interview with The New York Times on Thursday. Cyrus was asked about Minaj's Twitter spat with Taylor Swift in July over this year's crop of nominees. "What I read sounded very Nicki Minaj, which, if you know Nicki Minaj is not too kind," said Cyrus. "It’s not very polite. I think there’s a way you speak to people with openness and love. You don’t have to start this pop star against pop star war... I know you can make it seem like, Oh I just don’t understand because I’m a white pop star. I know the statistics. I know what’s going on in the world. But to be honest, I don’t think MTV did that on purpose."
When challenged, Cyrus blamed standard media misinterpretation for the quote before noting that she'd lost VMAs without complaining in the past. The whole exchange could've been choreographed — Minaj did bring Swift on stage with her a few minutes earlier, after all — but there was a definite, palpable spark there, and it's good that Cyrus was forced to defend a quote that wasn't particularly insightful or accurate in its description of Minaj's behavior.
Saturday, August 15, 2015
Sikiliza mpambano wa karne
Sunday, August 9, 2015
Friday, August 7, 2015
JUSA: TUNAHESHIMU MAAMUZ YA LIPUMBA
Chama cha wananchi CUF kimetoa kauli juu ya kujiuzulu kwa alie kua mwenyekiti wa CUF taifa prof Ibrahim haruna Lipumba.
Kauli hiyo imetolewa na kaimu mkurugenzi wa habari,uenezi,na mawasiliano na Umma Mhe Ismail jussa ladhu,Imesema kwamba CUF imepokea taarifa hiyo na inaheshimu maamuzi yake pamoja na kuwahiidi wanachama kua CUF haitayumba
"Tunapenda kuwahakikishia wanachama na wapenzi wa CUF na wananchi wa Tanzania kwa ujumla kwamba chama hichi hakitayumba"
alisema Ismail jussa
Mhe ismail jussa amesema CUF itaendelea kumheshimu kwa utumishi wake mkumbwa ndani ya chama pamoja na kuthamini mchango wake katika ujenzi wa demkrasia katika nchi yetu.
Kuondoka kwa proffessa lipumba katika Safu ya uongozi wa Cuf kutaacha pengo kubwa hasa kipindi hichi ambacho tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu.
Proff lipumba ni miongoni mwa waazilishi wa umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA) ambao utamsimamisha waziri mkuu wa zamani Mhe Edward lowassa kama mgombea wake.
Thursday, August 6, 2015
Ukawa, Ccm zagawanyika
Wakati sintofahamu ya nini hatma ya dk wilbroad slaa bado haijafahamika ndani ya chadema,leo umoja wa katiba ya wananchi wamepata pigo jingine baada ya Mmoja kati ya nguzo muhimu ya ukawa kujiengua. Profesor Ibrahim lipumba ambaye alikuwa mwenyekiti wa CUF kwa takriban miaka 10 na zaidi ameamua kujiondoa katika nafasi hiyo katika chama chake na kusema kuwa atabaki kuwa mwanachama wa kawaida kwasababu kadi yake ya chama inakwisha muda wake mwaka 2020. Akiongea na waandishi mjini Dar es salaam profesa amesema kuwa amejiondoa nafas yake kwasababu ya cjadema kukiuka misingi ya makubaliano yao na hapendi kuwa miongoni mwa watu watakaoshiriki dhambi ya kuwadhulumu watanzania. Jaya yanatokea siku kadhaa baada ya chadema kumtangaza Edward lowasa kuwa mgombea wake na wa ukawa.
Wednesday, July 29, 2015
UKAWA WANACHEZEA AKILI ZA WATANZANIA
Wiki tatu zilizopita ndugu lowasa alikuwa ni mmoja kari ya watangaza nia ya kugombea urais kupitia ccm. Kutangaza kwake nia kuliwapa wasanii nguvu ya kuweza kujitangazia ushindi endapo lowasa angechaguliwa kuwa mgombea wa ccm kwa maana Lowasa ana kashfa ya ufisadi na watanzania hawatokuwa tayari kumchagua fisadi. Leo hii huyo lowasa anapigiwa debe na wale wale waliosema kuwa ni fisadi papa kwa kumpa jina la kamanda na kudai eti tuhuma zile alisingiziwa. Watanzania sio wendawazimu wamesikia na wameona . Tukutane oktoba