Saturday, December 19, 2015

Zari amchunia X wake

Ilikuwa ni alhamis tulivu jijini kampala ambapo headliness zilikuwa ni party ya Zari. Watu wengi walijitojeza kwa kujua kwamba Diamond nae lazma atakuwepo bila kujua kuwa zari na diamond wametumia akili ya kibiashara ili kufanya show zao zote zijaze watu. Katika moja ya "sapraiz" ni kutokea kwa Ivan katika party hiyo. Mwanadada zari hakuoneshwa kushangazwa na kuwepo kwa ivan mjengoni na kuendelea kula bata huku akiwapa mgongo rich gangs..! Hizo hapo chini ni baadhi ya pics za yaliyojiri kwenye party hiyo. Kwa picha zaidi watafute zari na ivan instagram.

Thursday, December 17, 2015

Ben Pal afunguka

Msanii Ben Pol, King Of Rnb amewataka mashabiki zake waachane na habari za mitandao na kuwataka wawe wavumilivu mpaka pale atakapofunguka live leo usiku kupitia EATv  ambapo ataweka wazi mambo yake mengi pamoja na
kufuzungumzia jambo ambalo limefanya mashabiki wengi kuwa na sintofahamu juu yake na msanii Ali Kiba.
Jana kupitia mtandao wa twitter Ben Pol alimuuliza msanii Kiba swali hili "Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?" Alihoji Ben Pol
Lakini swali hili kwa baadhi ya mashabiki lilichukuliwa tofauti na baadhi ya mashabiki wa Alikiba walianza kumjia juu msanii huyo kwa maneno lakini leo Ben Pol atakuwepo katika Friday Night Live ya EATV ambapo atafunguka mengi juu ya muziki wake,.

Tuesday, December 15, 2015

DIAMOND PLATNUMZ KUACHIA MZIGO MWINGINE XMASS?

Baada ya Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania @diamondplatnumz kutoa single yake mpya ambayo inahit katika soko la mziki duniani anatarajia tena kudondosha single nyingine kama zawadi ya kufunga mwaka kwa mashabiki wake. Source yetu ambayo ipo karibu na platnumz imetutaarifu kuwa superstar huyo amepanga kuiachia zawadi hiyo katika tamasha la funga mwaka litakalofanyika tarehe 25 mwezi huu.
Diamond kwa sasa yupo hapa Afrika ya kusini nashoot video aliyoshirikishwa na Mafikizolo.

Monday, December 14, 2015

Kim Kradashian on Africa

Kim Kardashian is known for her voluptuous b00ty. That’s all. That is what brought about all her money and fame.

It all started with her releasing a s3xtape with American hip hop tycoon Raj J. The tape gave the two the publicity of their lifetime.
Many supported the tape but equally it received a lot of criticism, especially for Kim.

But the two did not care what people say. They took and used the positive one’s to their advantage and ignored the negative.

But as Africans there are things that we cannot ignore. Especially someone referring to our continent as ‘untidy zone for s3xy model’.

That is what Kim said about SA last week. She was approached by a liquor manufacturing company to officiate the launch of the drink in Johannesburg.

She turned down the offer through her marketing manager but later on decided to personally pass the hateful message. She says that her skin is too s3xy to be on African soil.