Sunday, December 16, 2012

I NEED YOUR HELP

hellow my viewers... i hope you are all okay. as you can see i did not piblish anything to my blog for a long time, this is due to some financial problems. i don't know how to explain this but i realy need your help... anyone who wants to help me please call me on my numbers +255719326553 or +255757926969 or send me an e-mail at ''smkonje@yahoo.com'' thank you

Wednesday, August 15, 2012

China Bans Muslims from Fastingduring Ramadan

Beijing: China has banned Muslims in the northwestern province of Xinjiang from fasting during the month of Ramadan. The government says the move is motivated by health concerns, but others say it is a campaign to secularize the Muslim minority that can spread violence. Guidance posted on several government websites called on Communist Party leaders to restrict Muslim civil servants, students and teachers from observing fast, visiting mosques and performing other relihious activities during the holy month. The statement posted on the Xinjiang government website urged party leaders to bring “gifts” of food to local village leaders to ensure that they were eating during Ramadan. A statement from Zonglang township in Xinjiang’s Kashgar district said that “the county committee has issued comprehensive policies on maintaining social stability during the Ramadan period. “It is forbidden for Communist Party cadres, civil officials (including those who have retired) and students to participate in Ramadan religious activities,” said the statement. There is “a much more public and concerted effort” than in previous years and in some cases Communist Party leaders are delivering food to village elders to try to get them to break their fast, according to Dru Gladney, a professor of anthropology at Pomona College in California and an expert on China’s Muslim minorities. Regional spokeswoman Hou Hanmin was quoted in the state-run Global Times newspaper Friday as saying authorities encourage people to “eat properly for study and work” but don’t force anyone to eat during Ramadan. Xinjiang is home to about nine million Uighurs, largely a Muslim ethnic minority, many of whom accuse China’s leaders of religious and political persecution. Long- simmering resentment among Uighurs over rule by China’s Han majority and an influx of migrants has sporadically erupted into deadly violence that claimed 200 lives in July 2009. World Uyghur Congress, an exiled rights group, warned the policy would force “the Uighur people to resist against the Chinese rule even further.” “By banning fasting during Ramadan, China is using administrative methods to force the Uighur people to eat in an effort to break the fasting,” said Al-Jazeera has quoted group spokesman Dilshat Rexit as saying.

Monday, August 13, 2012

Iran earthquake relief effortsbegin after 250 killed

Relief operations are under way in Iran after two strong earthquakes in the north- west left at least 250 people dead and more than 2,000 injured. The 6.4 and 6.3 quakes struck near Tabriz and Ahar in in East Azerbaijan province on Saturday afternoon, followed by dozens of aftershocks. More than 100 villages suffered damage - thousands of people spent the night in emergency shelters or in the open. Relief agencies are providing survivors with tents, bread and drinking water. The BBC's Mohsen Asgari in the capital Tehran says hundreds of people were rescued overnight, but that the aftershocks had made the operation exhausting. By midday on Sunday, Deputy Interior Minister Hassan Ghadami said that "all those under debris have been rescued and the quake-stricken people are now being provided with their basic needs". Our correspondent says the operation could be completely quickly because villagers knew each other well so knew where to search, and because the houses were small. 'Mass grave' The towns of Haris and Varzaqan were also among those hit and one resident of Tabriz told the BBC: "The quake has created huge panic among the people. Everyone has rushed to the streets." But local officials said all the deaths have been in rural areas, not in the main towns and cities. The official Fars news agency reported that about 110 villages had been damaged. At least were four totally flattened and 60 others sustained extensive damage. "This village is a mass grave," said Alireza Haidaree, who had been searching for survivors in Baje Baj village. "There are so many other villages that have been completely destroyed," he told AFP. Reports said rescuers attempting to contact remote villages had to do so by radio as many phone lines were cut off.

Uraiqat ataka Palestinaitambuliwe rasmi UN

Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeitaka jamii ya kimataifa kuunga mkono uwanachama wa Palestina kama nchi huru katika Umoja wa Mataifa. Saeb Uraiqat kiongozi wa timu ya mazungumzo ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina leo ameitaka jamii ya kimataifa kuunga mkono ombi litakalowasilishwa tena na PLO, la kutaka Palestina iwe nchi mwanachama inayojitegemea katika Umoja wa Mataifa. Huku akiashiria kwamba nchi nyingi za Kiarabu na Kiislamu zinaunga mkono kutambuliwa rasmi Palestina kama nchi huru, Uraiqat amesisitiza kuwa, Mamlaka ya Ndani ya Palestina itaendelea na jitihada zake za kufanikisha suala hilo licha ya mashinikizo mengi yanayoikabili. Mwaka uliopita Mahmoud Abbas Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina alitoa pendelezo la kutambuliwa rasmi nchi huru ya Palestina kwa Ban Ki Moon Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa lakini kutokana na uungaji mkono wa Marekani kwa Israel na ushawishi wa tawala hizo kwenye umoja huo, pendekezo hilo halikupitishwa.

Tanzania Vs Malawi

MGOGORO wa siku nyingi wa mpaka katika Ziwa Nyasa baina ya Serikali ya Tanzania na Malawi umeibuka kwa kasi baada ya kuwa umetulia kwa muda mrefu. Akiwa Bungeni hivi karibuni kuwasilisha hotuba ya wizara yake kwa mwaka wa fedha wa 2012/13, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Bw. Bernard Membe, aliionya nchi ya Malawi kusitisha shughuli za utafiti wa mafuta na gesi katika ziwa hilo. "Serikali iko tayari kulinda mipaka kwa gharama yoyote ile na inaitahadharisha Serikali ya Malawi kuondoka mara moja na kusitisha shughuli zozote zile za utafiti ndani ya Ziwa Nyasa ndani ya nyuzi 11 hadi 9, kwani sehemu hiyo ni mali ya Tanzania," alisema Bw. Membe. Bw.Membe aliongeza kuwa Tanzania itakuwa tayari kutumia gharama zozote kulinda mipaka yake na kuitaka Malawi kuacha mara moja kuendelea kutoa vibali kwa kampuni zinazofanya utafiti wa mafuta na gesi. Eneo hilo la mwambao wa Ziwa Nyasa, Bw. Membe alisema, linatumiwa na wakazi zaidi 600,000, ambao maisha yao ya kila siku yanategemea ziwa hilo, hivyo kamwe Serikali haitakubali kuona wananchi wake wakinyanyasika. Kwa upande wake, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, Jaji Frederick Werema alinukuliwa na 'Daily Times' la Malawi akimjibu Mbunge wa Mbeya (Vitu Maalum), Bi. Hilda Ngoye, akisema, ÒHatutaki Watanzania waombe ruhusa kutoka Malawi kuchota maji au kuvua Ziwa Nyasa. Kama hatufikii makubaliano tunalipeleka suala hili kwenye sheria za kimataifa.Ó Bi. Ngoye alidai kwamba watalii wa Malawi na boti za uvuvi zimekuwa zikiingia kwenye eneo la maji ya Tanzania kadri wanavyotaka. âÓWatanzania wanaoishi kuzunguka Ziwa Nyasa wanahaki ya kuvua na kufanya shughuli nyingine za uzalishaji katika ziwa hilo, bila kupewa vitisho,Ó Bi. Ngowe aliliambia Bunge la Tanzania, akitaka maelezo kutoka Serikalini kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi. Kwa upande wake, mwandishi Bw. Cedrick Ngalande wa gazeti la 'Malawi Times' la Agosti 6,2012 aliandika katika maoni yake akidai kwamba wakati wa Uhuru watu wachache nchini Tanzania walitaka kumega sehemu kubwa ya Ziwa Malawi (Ziwa Nyasa) kama wanavyoliita wenyewe. Alisema wakati wa enzi za utawala wa Dkt Kamuzu Banda, Tanzania haikuwahi kuzungumzia wazo la kuligawa ziwa na suala hilo lilikuwa karibu limesahaulika kabisa wakati wa utawala wa Dkt. Bakili Muluzi na hata baadaye. Aliendelea kuhabarisha kwamba marehemu Dkt. Bingu wa Mutharika aliipa jukumu kampuni moja kuanza kazi ya utafutaji mafuta katika ziwa hilo na Tanzania haukusema lolote wakati huo na ndicho chanzo cha kuibuka mgogoro huo. "Sasa tuna Rais mpya na ghafla Watanzania wanataka kwamba Serikali iache kufanya shughuli zote za utafutaji mafuta katika ziwa hili mpaka masuala yote yanayohusiana na mipaka yametolewa ufafanuzi. Kwa nini iwe sasa? Alihoji Bw. Ngalande. Bw. Ngalande alisema wakati Bi. Joyce Banda alipotwaa madaraka ya urais, ilionekana kwamba Malawi sasa itatekeleza kila kitu anachoagizwa kufanya Bi. Banda na Jumuiya ya Nchi Hisani. Mwandishi huyo alisema baadhi ya magazeti ya Uingereza yalishangazwa sana na hali hiyo kiasi cha kuwaita watu wa Malawi ÓTaifa linaloogopa wafadhiliÓ. Alisema Rais Joyce Banda aliwahi kwenda London na hata kumpigia magoti Malkia Elizabeth, ambayo ni ishara ya ajabu sana na ukitilia maanani wote wawili ni wakuu wa nchi. "Sawa, maneno yote haya na matendo ukiyajumuisha pamoja yanatoa picha ya uongozi dhaifu wa Malawi. Dunia imenusa harufu ya damu. Sasa Tanzania imeamua ni wakati wa kuligawa ziwa. Kumbuka kwamba hawakulileta wazo hili wakati Bw. Muluzi au Bw. Mutharika walipokuwa madarakani," alisema Bw. Ngalande. "Kama tutaipa Tanzania heshima kusikiliza ombi lake, mtu atashangaa ni kitu gani kitakachofuata baadaye. Je, sasa watadai Chitipa (wilaya ya kaskazini mwa Malawi)? Je, Msumbiji nayo itadai Mlima Mulanje ni wa kwake? Bw. Ngalande aliendelea kuhoji. "Serikali ni lazima iweke wazi kwamba hakuna sehemu yoyote ya Malawi ifanyiwe mjadala Òkwisha!Ó Sasa ni wakati wa kuonesha uwezo wetu. Iambie Tanzania kwamba Ziwa Malawi siku zote lilikuwa, limekuwa na litakuwa la Malawi," aliandika katika maoni yake. "Cha kushangaza, baada ya maelezo yote haya ya kiburi cha Serikali ya Tanzania, jibu la Serikali yetu (Malawi) limekuwa hafifu. Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje (Malawi) ametoa kauli akisema suala hilo litatatuliwa ÓkirafikiÓ. "Kweli, Mhe. Waziri? Nini maana ya maelezo ya kirafiki? Je, unapanga kuligawa ziwa na kuipa heshima Tanzania kwa matakwa yasiyokuwa na msingi? Utawezaje kuwa na utatuzi wa amani kwa madai yasiyokuwa ya msingi? Alihoji zaidi Bw. Ngalande. Kwa upande wake, Bw. Patrick Kabambe, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Malawi alinukuliwa na gazeti la 'Daily Times' la Malawi. Bw. Kabambe alitoa kauli ya ajabu akisema, ÒMadai yetu yako wazi juu ya suala hili. Kwa mujibu wa makubalinano ya ecoland 1890 kati ya Serikali ya Uingereza na Ujerumani, mpaka baina ya Malawi na Tanzania ni kuanzia mwanzo wa maji ya Ziwa Malawi upande wa Tanzania. Kwa hiyo, tunalifahamu fika na tutaendelea kuihusisha Tanzania kama majirani zetu wema.Ó Mgogoro ni kuhusu nani anastahili hasa kumiliki Ziwa Malawi kama linavyojulikana na Wamalawi wengi na Lake Nyasa kama linavyojulikana na Watanzania wengi. Kwa mujibu wa Malawi, hili sio suala la kufanyiwa mjadala. Malawi wakidai wanamiliki asimia 100 ya Ziwa Malawi na kama wataenda kwa mtazamo wa baba yao wa taifa, Dkt. Hastings Kamuzu Banda, Malawi kama ilivyokuwa ikijulikana, Maravi Kingdom, inaweza kutanuka mpaka baadhi ya maeneo ya Tanzania na hata Msumbiji. Kwa mujibu wa Tanzania kwa upande mwingine, ziwa hilo linatumiwa kwa pamoja na mpaka wa nchi hizi mbili unapaswa kufuata mstari wa 'median' katika Ziwa Nyasa. Huu ndio umekuwa msimamo wa Serikali ya Tanzania na shughuli yoyote itakayofanywa na Malawi kupita mstari huu itachukuliwa kama Òkuingia eneo lisilo lakeÓ. Kihistoria mgogoro huu unaanzia Mkutano wa Berlin na tatizo lipo kwenye Sheria ya Bunge la Berlin ya 1885, iliyosainiwa na mataifa 13 yenye nguvu ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo wa Kuigawa Afrika. Kinyang'anyiro cha kuigawa Afrika Kwa mujibu wa hati za kugawa mpaka kuzunguka Ziwa Nyasa na kusimamiwa na mkataba wa nchi zinazozungumza lugha ya Kiingereza na Ujerumani tarehe 1, Julai, 1890, Dkt Banda mwaka 1962 aliwahi kudai kwamba sehemu moja ya Msumbiji ilipaswa kuwa ya Malawi, wakati huo ikiitwa Nyasaland. Tanzania nayo inaweza kuonesha ramani zinazoonesha mstari wa 'median' kama mpaka na ramani hizo hazijawahi kwenda kinyume na yaliyomo katika mkataba huo. Mgogoro wa Ziwa Nyasa utakuwa vigumu kufutika siku yoyote hivi karibuni kwa pande zote mbili za Tanzania na Malawi na kabla hata ya Uhuru. Mtu anaweza kushangaa kama Watanzania ni wendawazimu kudai nusu ya ukubwa wa ziwa ambapo waliotengeneza ramani hizo wanaonesha mstari wa 'median' kama mpaka. Kuna baadhi ya mikataba ya kimataifa inayoshughulika na haki zinazohusiana na maji. Kutokana na maelezo ya Bw. Patrick Kabambe, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Malawi, ufumbuzi wa suala hili bado ni mgumu. ÒBila shaka, tulifanya majadiliano ya mpaka na tukawaambia Watanzania kwamba kwa jinsi tunavyoelewa, ziwa lote ni mali ya MalawiÓ alisema Bw. Kabambe. Ushauri umetolewa kwamba pande zote mbili za mgogoro huo zinapaswa kukutana na kufikia makubaliano kwa amani. Dkt. Hastings Kamuzu Banda aliwahi kusema, Òsisi sote ni ndugu ramani na mipaka tuliwekewa na wakoloni, kwa hiyo, sisi sote (Wamalawi na Watanzania) tuvue samaki na kuogelea pamoja katika ziwa zuri la Nyasa." Tanzania imekuwa na uzoefu mkubwa ukilinganisha na Malawi katika medani za kivita. Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeshiriki mapigano mengi kwa mafanikio makubwa ikiwemo oparesheni dhidi ya wakoloni wa Kireno 1960 nchini Msumbiji. Kama hiyo haitoshi, JWTZ iliwahi kupigana dhidi ya majeshi ya Rhodesia na Afrika ya Kusini (1975-1980) na dhidi ya magaidi wa RENAMO wa Msumbiji 1986-1988. JWTZ iliwahi pia kutoa kipigo kitakatifu katika vita ya Kagera 1978 dhidi ya majeshi ya nduli Iddi Amin wa Uganda, ambapo nduli huyo aliweza kuitoroka nchi yake na kuishi uhamishoni mpaka mauti yalipomkuta. JWTZ pia imeshiriki usimamizi wa kulinda amani pamoja na Majeshi ya Umoja wa Mataifa nchini Liberia, eneo la Darfur nchini Sudan na nchi ya Lebanon.

Sunday, August 12, 2012

ULIMBOKA AREJEA NCHINI AKIWA FITI

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Steven Ulimboka amerejea nchini jana akitokea Afrika Kusini alikopelekwa kwa matibabu na kusema amepona kabisa. Ulimboka, ambaye alikuwa anaratibu migomo ya madaktari iliyofanyika mara mbili mfululizo, alitekwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Jumatano ya Juni 27, mwaka huu na kupelekwa katika msitu wa Pande, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, ambako aliteswa na kujeruhiwa vibaya. Katika tukio hilo, daktari huyo aling’olewa meno mawili na kucha za mkono mmoja na baadaye kulazwa katika Kitengo cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU) katika Taasisi ya Mifupa (MOI) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Baada ya hali yake kuzidi kuwa mbaya, Juni 30, mwaka huu, alisafirishwa kwenda Afrika Kusini kwa ajili ya vipimo na matibabu. Dk Ulimboka aliwasili jana saa nane mchana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akitembea mwenyewe na kulakiwa na mamia ya wananchi wa Jiji la Dar es Salaam, wakiwamo madaktari wenzake pamoja na wanaharakati. Huku akibubujikwa na machozi pamoja na ndugu zake, madaktari na wanaharakati nao walimpokea kwa machozi kisha walimkinga kiasi ambacho kulitokea vurugu za kila mmoja kutaka kumwona. Akizungumza kwa ujasiri huku akizongwa na madaktari pamoja na wanahabari, Ulimbona alianza kwa kuwashukuru wote waliofika kumpokea na pia kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kufikisha katika hali aliyonayo sasa pamoja na Chama cha Madaktari waliosaidia kupata fedha za matibabu. Alisema kwa sasa afya yake imeimarika na amepona kabisa na yuko tayari kufanya jambo lolote bila utata na kuruhusu maswali kwa wanahabari, lakini madaktari wenzake walikataa na kumtaka aende kwenye gari ili aondoke kwenda kupumzika. Alitii agizo hilo na kuondoka kwenda kwenye gari. Awali, kabla Dk Ulimboka hajawasili JNIA, nje ya uwanja wa ndege madaktari pamoja na wanaharakati walisikika wakiimba nyimbo mbalimbali zikiwamo za ‘Tanzania Nakupenda, ‘Kama siyo juhudi zako Nyerere’ pamoja na kuhamasishana kuwa Solidarity Forever (Mshikamano Daima). Baada ya kutembea hatua chache na kufika lilipokuwa gari lililombeba, Dk Ulimboka alisimama na kutaka kuzungumza jambo na wanahabari, lakini madaktari na nduguze walimkataza tena na kudai wamuache ili aende kupumzika. Katibu wa Jumuiya hiyo ya Madaktari, Dk Edwin Chitage akizungumzia gharama za matibabu ya Dk Ulimboka, alisema wanazikusanya na kujumlisha na watazieleza hivi karibuni kwa vyombo vya habari. Wanaharakati waliokuwapo uwanjani hapo, walizungumzia kurejea kwa Dk Ulimboka na kudai mapambano yameanza upya, kwani kilichomfanya daktari huyo kupigwa ni kupigania maslahi ya Watanzania wote. Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA), Ananilea Nkya alisema umefika wakati wa Watanzania kusimama na kuacha woga na unafiki katika kupigania haki za afya zao. Nkya alisisitiza kuwa mapambano aliyoyaanzisha Dk Ulimboka yanaendelea. Jambo lililoungwa mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP, Usu Malya alisema mapambano ya Dk Ulimboka ni ya Watanzania wote, hivyo kila mmoja anatakiwa kumuunga mkono. Dk Ulimboka alitekwa na kuumizwa vibaya wakati mgomo wa madaktari nchini ukiwa unaendelea, na tangu wakati huo baadhi ya wanasiasa hasa wa upinzani, na wanaharakati wamekuwa wakiituhumu Serikali kuhusika katika kutekwa na kupigwa kwa daktari huyo. Hata hivyo, Serikali kupitia kwa Rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, mara kadhaa baada ya tukio hilo, imesisitiza kuwa haihusiki na unyama huo, na wala haikuwa na sababu ya kufanya hivyo. Tayari raia wa Kenya, Joshua Mulundi (21) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, akituhumiwa kumteka na kufanya jaribio la kumwua Dk Ulimboka.

MJUSI ALIYEPELEKWA UJERUMANI KUREJESHWA NCHINI

SERIKALI ina mpango wa kumrudisha nchini mjusi maarufu aina ya Dinosaur aliyechukuliwa mkoani Lindi zaidi ya miaka 100 iliyopita na kupelekwa Ujerumani anakokadiriwa kuiingizia nchi hiyo zaidi ya Dola za Marekani bilioni tatu kwa mwaka, sawa na karibu Sh trilioni tano. Hayo yalisemwa bungeni juzi na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu alipozungumzia mikakati ya serikali katika kukuza utalii nchini. Nyalandu alisema Serikali itazungumza na Serikali ya Ujerumani juu ya suala hilo na kwamba, kama atarudishwa, atapelekwa mkoani Lindi. Aidha, alisema kama hilo litashindikana wataangalia pia uwezekano wa kupata asilimia fulani ya fedha inayotokana na watalii wanaomiminika kumuona mjusi huyo. “Katika mambo ya Kale, kuna hili la Mjusi wetu maarufu kama Dinasour ambaye taarifa tulizonazo anaipatia Ujerumani dola bilioni tatu kwa mwaka… huyu alichukuliwa Lindi na wakoloni wa Ujerumani akapelekwa iliyokuwa Berlin Mashariki… tunataka tumrudishe nchini, tutazungumza na Ujerumani… “Lakini niwahakikishie wabunge na Watanzania, tutawashirikisha wadau ili tujue sera na mtazamo wetu kama taifa kuona tutakavyoamua kuzungumza na Ujerumani tuamue kuomba mjusi wetu arudi tumweke Lindi au abaki huko huko, lakini tugawane mapato,” alisema. Masalia ya mifupa ya mjusi huyo, yalipatikana mwaka 1912 huko Tendaguru, Kata ya Mipango katika Jimbo la Mchinga, mkoani Lindi. Amehifadhiwa katika Makumbusho ya Humbolt huko Ujerumani. Nyalandu alikiri kuwapo kwa changamoto nyingi katika kukuza utalii, lakini Serikali imejipanga kufanya kazi kwa kasi ili kuhakikisha yanafanyika mapinduzi makubwa katika sekta ya utalii ili ulinufaishe taifa. Alisema “Hali ya utalii nchini hairidhishi na wizara yangu imeazimia kufanya mabadiliko makubwa. Nchi yetu inapata watalii wachache tofauti na fursa tulizonazo. Dhamira ya Serikali ni kuona nchi inapata watalii milioni mbili kwa mwaka ifikapo mwaka 2015. Kwa sasa, watalii hawafiki milioni moja kwa mwaka.” Alisema mikakati hiyo itakwenda sambamba na kuongeza kasi ya ujenzi wa hoteli na nyumba za kulala wageni ili kuwa na uhakika wageni watakaokuja nchini hawakosi makazi. Nyalandu alisema mikakati pia inafanywa kuboresha mazingira ya viwanja vya ndege, akitolea mfano Uwanja wa Ndege wa Mwanza utapandishwa hadhi na mpango wa kuufanya kuwa wa kimataifa zaidi, utabadilishwa jina na kuitwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Serengeti.

Waislamu wa Myanmar wazidikuteseka

Ripoti mbalimbali kutoka Myanmar zinasema kuwa maafa makubwa yanatokea katika kambi ya wakimbizi wa Kiislamu katika jimbo la Rakhine. Kanali ya televisheni ya Press imeripoti kuwa watu karibu 20 wakiwemo watoto wadogo wamefariki dunia katika kambi hiyo ya Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Myanmar kutokana na ukosefu wa dawa na chakula. Ripoti hiyo inasema vijiji kadhaa vya Waislamu wa kaskazini magharibi mwa Myanmar vimeteketezwa kwa moto na Mabudha wanaosaidiwa na jeshi la polisi, na wakazi wa vijiji hivyo wamelazimika kuwa wakimbizi. Mabudha hao wenye misimamo mikali pia wamechoma moto misikiti kadhaa. Umoja wa Mataifa umesema kuwa ukatili wanaofanyiwa Waislamu wa Myanmar ndiyo mkubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa duniani katika siku za hivi karibuni. Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema kuwa jeshi la Myanmar limetenda jinai nyingi dhidi ya Waislamu wa Rohingya walio wachache. Ripoti hiyo imefafanua kuwa miongoni mwa jinai hizo ni kubakwa wanawake wa jamii hiyo ya Waislamu kaskazini mwa Myanmar.

Wakenya 13 wafariki dunia katika ajali ya mabasi ilotokea tanzania

Idadi ya watu walofariki katika ajali ya mabasi mawili karibu na mji wa Tanga Tanzania Ijuma asubuhi imefikia 13. Watu 42 wamejeruhiwa miongoni mwao 14 wako katika hali tabani, watu 29 hawakujeruhiwa. Walofariki ni miongoni mwa kundi la wanawake wa Kenya kutoka kanisa la Presbyterian Church of East Africa - PCEA kutoka Thika walokuwa wanasafiri kuelekea Dar es Salaam kwa sherehe za kidini Tanzania. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Pwani Tanzania, Ernest Mangu ameiambia sauti ya Amerika kwamba serikali ya Kenya inashirikiana kwa karibu sana na Tanzania na imepeleka ndege maalum kuwasafirisha nyumbani walonusurika.

MISRI YATUMA VIKOSI VYAKE SINAI

Misri imetumia Helicopter kufanya mashambulizi ya mizinga dhidi ya wakereketwa wenye imani kali walio katika eneo la Sinai tangu mwaka 1973 katika kile jeshi la Misri lililochotaja kama shambulio la kurejesha utulivu. Matumizi ya anga ni ishara ya mabadiliko ya vita vya Misri dhidi ya wakereketwa wa Kiislam ambao wamezidisha shughuli zao katika eneo lenye milima na jangwa lenye mpaka na Israili na Gaza. Mapema wiki hii wapiganaji wakereketwa waliishangaza Misri kwa ujasiri wao kwa shambulizi ambamo askari 16 waliuawa, magari ya jeshi yakaibwa na kuelekea Israel kwa lengo la kujaribu kufanya shambulio jingine. Katika taarifa iliyosomwa kwenye televisheni ya taifa jeshi limesema kua limeanzisha operesheni ya mchanganyiko wa vikosi kwa kutaka kurejesha utulivu huko Sinai, majeshi yakiungwa mkono na Jeshi la anga. Shambulio la siku ya jumapili ndio baya kuwahi kufanywa huko Sinai kwa miaka mingi na hatari kuliko yote dhidi ya vikosi vya Misri ikiashiria ongezeko la vitendo vinavyokiukaq sheria katika eneo hilo. Katika tukio la hivi karibuni, watu wenye silaha waliwafyatulia risasi walinzi kwenye vizuizi huko El -arish, mji mkuu wa Wilaya ya Sinai, mji ulio umballi wa kilomota 50 kutoka mpaka wa Gaza na Israili. Ghasia kwenye mpaka wa Israel na Misri inaweza kutishia mkataba wa amani baina ya nchi hizi mbili. Hio ndio sababu Israel imeiambia Misri ichukue hatua za kusuluhisha vurugu badala yake kupeleka vikosi vyake. Israel imekubali kuondoa baadhi ya masharti yanayozuwia shughuli za kijeshi katika Sinai ili Wa Misri waweze kuingiza vikosi zaidi. Lakini uvamizi wa Misri dhidi ya kile walichokiita magaidi hautobadili lolote katika sehemu ya Sinai inayokaliwa na makabilia ya Wa Bedwini wenye fikra huria. Ni eneo linalovutia kwa makundi ambayo yangependa kutumia sehemu isiyokua na utaratibu wowote wa uongozi kwa aijili ya kuifika Israili.Rais wa Misri Mohammad Mursi aliahidi kwamba atadhibiti eneo la Sinai kwa ukamilifu.

Wednesday, August 8, 2012

Amnesty Internationallazionya pande zinazopiganakwenye mji wa Aleppo nchiniSyria kuacha kutumia silahanzito dhidi ya raia

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu duniani la Amnesty International limeonya dhidi ya kuendelea kutumika kwa silaha nzito kwenye mji wa Aleppo kati ya wanajeshi wa Serikali na waasi wa jeshi huru la Syria. Picha mpya za satelite zimeonesha kuongezeka kwa matumizi makubwa ya silaha nzito kwenye mji wa Aleppo na kuendelea kuzusha hofu kuhusu hali ya usalama wa wananchi ambao wamenaswa kwenye mji huo. Wanaharakati nchini humo wamedai kuwa wamegundua zaidi ya mashimo makubwa 600 yanayoonekana kwenye mji wa Aleppo yamesababishwa na kutumika kwa silaha nzito kwenye makazi. Shirika la Amnesty International limesema kuwa pande zote mbili zinazopigana kwenye mji huo zinawajibika kutokana na kile kinachoshuhudiwa na matatizo ambayo wananchi wanakumbana nayo wakati mapigano hayo yakiendelea. Hapo jana waangalizi wa Umoja wa Mataifa UN waliamua kuondoka kwenye mji huo kwasababu za kiusalama baada ya kuongezeka kwa mashambulizi ya anga yanayofanywa na majeshi ya Syria. Juma hili ujumbe maalumu wa Iran umesafiri hadi mjini Damascus kukutana na rais Bashar al-Asad, ujumbe ulioongozwa na mpatanishi wake Saeed Jalili ambaye anakutana kwa mara ya pili na utawala wa Syria. Ujumbe huo uko nchini Syria kujaribu kushawishi kundi ambalo linawashikilia raia wake zaidi ya 48 ambao liliwateka jumapili iliyopita wakiwa njiani kuelekea uwanja wa ndege. Waasi wa Syria wamekuwa wakiituhumu Serikali ya Iran kwa kuendelea kuiunga mkono serikali ya Asad ambayo wamedai ni haramu na katili kwa kuendelea kuwaua wananchi wasio na hatia. Hii leo waziri wa mambo ya nchi za nje wa Iran Ali Akbar Salehi amesema miongoni mwa raia wake waliotekwa mmoja kati yao ni mwanajeshi mstaafu wa jeshi la nchi hiyo.

Marekani yataka Rwanda kusitisha Msaada kwa Waasi wa M23

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton ameitaka serikali ya Rwanda kuisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kuwanyang'anya silaha waasi wa M23 na kusitisha msaada kwa Kundi hilo kwa lengo la kupata suluhu ya mgogoro wa Mashariki mwa nchi hiyo. Clinton amesema wanataka kuona nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR zinashiriki kikamilifu katika kurejesha usalama nchini DRC na kulisambaratisha Kundi la Waasi la M23 ambalo linatekeleza mashambulizi Mashariki mwa nchi hiyo. Kauli hii inakuja kipindi hiki ambacho Viongozi kutoka nchi kumi na moja za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR wakiwa kwenye mkutano wa siku mbili nchini Uganda kujadili usalama wa DRC ili kulimaliza Kundi la M23. Clinton ametaka Viongozi hao wa Ukanda wa Maziwa Makuu kutathimini kwa kina namna ya kuweza kushughulikia mgogoro huo na hatimaye kurejesha utulivu ambao umepotea Mashariki mwa DRC. Mkutano wa Viongozi wa Nchi za Maziwa Makuu ICGLR umeingia siku ya pili ambapo Rais wa DRC Joseph Kabila Kabange hatukutana tena na Rais wa Rwanda Paul Kagame kama ambavyo ilipangwa awali na badala yake wataandaliwa kikao chao pekee. Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Oriem Okello amesema Viongozi hao wawili hatokutana na badala yake Rais Yoweri Kaguta Museveni ataandaa mkutano baina yao na kwa sasa wamejiegemeza kujadili kupata Jeshi litakalolinda amani mpaka mwa DRC. Viongozi wa Nchi za Maziwa Makuu ICGLR wataamua Kikosi ambacho kitaenda kulinda mipaka ya DRC na kukabiliana na uasi ambao unafanywa na Kundi la Waasi la M23 ili kusaidia juhudi za amani. DRC yenyewe imeshaainisha haitaki nchi ya Rwanda ishirikishwe kwenye Jeshi hilo kutokana na kudaiwa kuwafadhili Waasi wa M23 huku Kigali yenyewe ikishinikiza inataka kushiriki kwenye mpango wa kurejesga amani. Katika hatua nyingine Mkuu wa Shirika la Misaada ya Kibinadamu la Umoja wa Mataifa OCHA Valerie Amos anaendelea na ziara yake kuangalia madhara ya mashambulizi ya Kundi la M23 nchini DRC. Amos amesema hali ni mbaya Jimboni Kivu kitu ambacho kama hakijadhibitiwa kinaweza kuzua maafa zaidi kwa wananchi wa eneo hilo kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara ambayo yamekuwa yakifanywa na Kundi la Waasi la M23. Kundi la Waasi la M23 limeendelea kujigamba kupiga hatua kwenye mapambano yake na Jeshi la Serikali hasa katika maeneo ya Rutchuru na sasa wanaendelea kusaka uungwaji mkono kutoka kwa wananchi.

Tuesday, August 7, 2012

MALAWI Vs TANGANYIKA( TANZANIA BARA )

Malawi imekataa kuitikia wito wa Tanzania kutaka isimamishe shughuli za kutafuta mafuta na gesi ziwa Malawi, wakati suluhu ya mvutano wa mpaka ikisubiriwa. Mvutano wa maneno umezuka kati ya nchi hizo mbili baada ya Malawi kuipa leseni Kampuni ya Uingereza kufanya utafiti katika eneo hilo. Maafisa nchini Tanzania wanasema mvutano huo uliodumu kwa miaka 50 sasa unaweza kuwa mkubwa iwapo ugunduzi wa mafuta na gesi utatokea kwenye ziwa hilo linalojulikana kama Ziwa Nyasa nchini Tanzania. Tanzania inasema inaendelea kufanya mazungumzo na Malawi na iko Tayari kulipeleka suala hilo kwenye vyombo vya upatanishi. "Hili ni suala nyeti sana na tungependa litatuliwe kwa maelewano, tutaendelea na mazungumzo," Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania alisema. Membe wiki iliyopita alviambia vyombo vya habari nchini humo kuwa "shughuli za uchimbaji katika eneo la kaskazini mashariki mwa ziwa hazina budi kusitishwa kupisha mazungumzo kutatua mzozo huo yafanyike." Malawi, koloni la zamani la Uingereza, kwa upande wake iliapa kuendelea na chughuli za utafiti wa hewa gesi mkaa (hydrocarbons). Tanzania,lililotawaliwa na Ujerumani na baadaye Uingereza, inadai kuwa sehemu ya kilometa za mraba 29,600 sawa na maili 11,400 za ziwa, wakati Malawi inarejea makubaliano ya mwaka 1890 yanaonyesha kuwa mpaka kati ya nchi hizo mbili uko kwenye ufukwe upande wa Tanzania. Msumbiji pia inadai ina sehemu yake katika ziwa hilo la tatu kwa ukubwa barani Afrika.Mwezi Septemba mwaka jana serikali ya marehemu Bingu wa iliipa leseni kampuni ya Surestream Petroleum, kutafiti mafuta na gesi ziwani. Mataifa hayo mawili yatafanya mazungumzo juu ya mpaka kaskazini mwa Malawi katika mji wa Mzuzu Agosti 20 mwaka huu.

Iran Says Test of Upgraded Short-RangeMissile Was a Success

TEHRAN (AP) - Iran said Saturday that it had successfully test-fired an upgraded version of a short-range ballistic missile with improved accuracy, increasing its capacity to strike land and naval targets. Iran's defense minister, Brig. Gen. Ahmad Vahidi, said the solid-fueled Fateh-110 missile had a range of 185 miles. He also said the weapon could strike with pinpoint precision, making it the most accurate weapon of its kind in Iran's arsenal. "By reaching this generation of the Fateh-110, a new capability has been added to our armed forces in striking sea and land targets," state television quoted General Vahidi as saying. Iran's military leaders have said they believe that future wars will be air- and sea-based, and Tehran has sought to upgrade its air defense systems and naval power in anticipation of such a possibility.

TETESI: MEMBE AKALIA 200BN/= ZA ZANZIBAR

Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya nchi za Nje na “Ushirikiano wa Kimataifa” amekalia pesa za Zanzibar zipatazo 200bn/= zilizotolewa na wafadhili kwa ajili ya kuipa Zanzibar kuendeleza/kufufua specifically zile EPZ, maeneo huru ya kiuchumi Zanzibar. Waliotoa pesa hizi wakiwemo UAE/Rasil Khemah – ambao viongozi wetu wote watatu (Shein, Seif-1 na Seif-2) wamekuwa kiguu na njia kutafuta misaada. Imepatikana Membe – laatul laah amezuia, just kutia saini tu ili pesa ziwe released. Kipengelea kimoja kinachomfanya Membe ndiye atiwe saini/pesa za misaada, mikopo, zawadi n.k zinapoingia katika foreign currency au misaada kama hiyo – Zanzibar hairuhusiwi kusaini, kwa sababu ‘si nchi’ inatakaiwa TZ ndio imwage wino. Huu ni mwezi wa pili, Membe amekalia barua yetu na pesa zetu, halali yetu. Baadaye wanakuja Zanzibar eti kujiliza baada ya meli kuzama. Hiyo ndio TZ, na huo ndio Muungano wetu uliodumu miaka 48 kwa Bara kuidhulumu Zanzibar. * Plus, jana tu Abubakar alikuwa anasema ndani ya BLW kuwa hao hao akina Membe wameinyima Zanzibar fursa ya kuhudhuria vikao muhimu vya kimataifa kwa kuwanyima wajumbe wake visa, just kwa sababu wao watanganyika hawakwenda au hawakutakiwa kuwemo. Ushauri wangu: MAMBO YA NCHI Z ANJE IONDOSHWE KABISA KATIKA LIST YA MUUNGANO (GET ME RIGHT PLEASE, SIO SUALA LA KUGAWANA MABALOZI, LA HASHA). ONDOA FOREIGN AFFAIRS KATIKA LIST HIYO FOR GOOD. Mbaya zaiid katika sakata hili la Membe kuzuia pesa zetu, naibu wake anaitwa Mahadhi Juma Maalim – mzanzibari wa Muyuni/na Mungoni (huyu ni kambi ya NO vote katika referendum, na ndiye group la akina Samia, Haroun, Shamsi, Perera Ame Silima – wanachochea watu wa kusini wasema NO serikali tatu au muungano wa mkataba). Mahadhi, Kazi ya uzinzi haifai na kutafuta wanawake kuowa. Kuwa na akili wewe, nchi yako inazamishwa. Hizi habari za Membe kukalia 200bn/= zimeigusa BLW na cabinet ya Zanzibar – ni habari zilizoleta ghazab sana, maana hili si la mwaka 1968 au 1980s au 1970s – it’s only two months ago or less (jana na leo). Source mzalendo.net

WAUMINI WA KIISLAMU VISIWANIZANZIBAR WAAMUA KUMUACHIA M/MUNGU ATOE HUKUMU KWA WALEWOTE AMBAO HAWAITAKII MEMAZANZIBAR

Maelfu ya waislamu nchini zanzibar wameamua kujikusanya katika msikiti Afraa ulioko kidongo chekundu kwa ajili ya kumshtakia M/mungu juu ya suala zima la kukashiwa na kufanyiwa vitendo vya uonevu na wale ambao hawaitaki mema nchi ya zanzibar. Mkusanyiko huo ulikua na lengo la kuomba Dua maalum ambayo imeeandaliwa na jumuiya ya muamsho zanzibar kwa lengo la kuwaunganisha waislamu ili wawe kitu kimoja katika kudai na kutetea maslahi ya nchi yao,vile kumuomba mungu awanusuru viongozi wa harakati za kuitakia mema zanzibar na shari za maadui zao, katika dua hiyo kuliambatana na uchinjaji wa wanyama tofati kwa ajili ya sadaka ambayo walipewa mayatima na wanawake. Akibainisha idadi ya vichinjwa hivo amir wa jumuiya hiyo SH FARID HADI amesema jumla ya ngombe saba, mbuzi 33, kondoo 3, kuku 22, bata 1 na njiwa 1 wamekabidhiwa na wamewachinja wote. Kwa upande wao viongozi wa jumuiya ya muamsho wameweza kujichinjia wanyama kwa mikono yao kwa kushirikiana na waumini wengine ambao walibahatika kuwepo katika viwanja vya uchinjaji. Amesema dua hii imeamuliwa kuwekwa mwezi 17 Ramadhan kwasababu tarehe hii ina historia kubwa katika ushindi wa waislamu. kwani siku kama hii ndio siku ambayo Allah aliwanusuru waislamu katika vita vya badri. Aliongeza kwa kusema waisalmu wanatakiwa wawe na umoja wa ukweli ukweli ili kuweza kuwashinda maadui zao na kupata ushindi kwa yale wanayoyahitaji. Nae kwa upande wake sh MSELEM bin ALLY AMEWAOMBA waislamu waendelee na msimamo wao ule ule wa kutokushiriki suala zima la sensa ambayo inategemewa kufanyika hvi karibuni. Source mzalendo.net

Wednesday, August 1, 2012

Monday, July 2, 2012

july15

PALO ALTO, CA –Mark Zuckerberg announced that Facebook will be shut down in July of 2012. Managing the site has become too stressful. “Facebook has gotten out of control,” reportedly said Zuckerberg in a press conference outside his Palo Alto office, “and the stress of managing this company has ruined my life. I need to put an end to all the madness.” Zuckerberg reportedly went on to explain that starting July 15th, users will no longer be able to access their Facebook accounts. That gives users (and Facebook addicts) a year to adjust to life without Facebook. “After July 15th, 2012 the whole website shuts down,” said Avrat Humarthi, Vice President of Technical Affairs at Facebook. “So if you ever want to see your pictures again, I recommend you take them off the internet. You won’t be able to get them back after Facebook goes out of business.” Zuckerberg said the decision to shut down Facebook was difficult, but that he does not think people will be upset. “I personally don’t think it’s a big deal,” he said in a private phone interview to a source close to a friend. “And to be honest, I think it’s for the better. Without Facebook, people will have to go outside and make real friends. That’s always a good thing.”,.... for more details visit http://weeklyworldnews.com/ headlines/27321/facebook-will-end-on- july-15th/

Thursday, June 28, 2012

pinda akwepa kujiuzulu

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema hawezi kujiuzulu kwa madai kuwa ameshindwa kutatua matatizo ya madaktari. Pinda amelieleza Bunge kuwa, hadhani kama ni busara kujiuzulu kwa sababu ya matatizo ya madaktari na kwamba suala hilo ni la muda mrefu na ni changamoto. Waziri Mkuu ametoa msimamo huo wakati anajibu swali la Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) ambaye alisema, kwa kuwa matatizo ya madaktari ni ya muda mrefu, na Pinda ameshindwa kuyamaliza, kwa nini asijiuzulu. Waziri Mkuu amelieleza Bunge kuwa, amefanya kila aliloweza kumaliza mgogoro kati ya Serikali na madaktari. Lissu alimuuliza Pinda kuwa, kama amefanya kila aliloweza kumaliza tatizo hilo na ameshindwa kwa nini asijiuzulu. Waziri Mkuu amemjibu kwamba, anamuheshimu sana, na hadhani kama hiyo ni namna nzuri ya kumuuliza. Spika wa Bunge, Anne Makinda, amefunga mjadala kuhusu mgogoro wa Serikali na madaktari kwa kuwa Mahakama imelalamika kwa kuwa, suala hilo lipo mahakamani lakini wabunge wameendelea kuuliza, kudadisi na kutoa taarifa. Kutokana na msimamo huo wa Bunge, Serikali leo haitatoa msimamo wake kuhusu mgomo wa madaktari unaoendelea katika hospitali nyijngi nchini zikiwemo hospitali za rufaa. Makinda ametoa msimamo huo wakati anatoa mwongozo alioomba Mbunge wa Ubungo, John Mnyika ambaye alimuomba aagize Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii itoe taarifa bungeni kuhusu waliyoyaona walipotembelea hospitali na kuzungumza Serikali, madaktari, na wadau wakati wa mgomo uliopita wa madaktari. Makinda amewaeleza wabunge kuwa, yeye ndiye aliyeituma kamati kufanya kazi hiyo, na ilitoa taarifa kwenye Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi hivyo taarifa hiyo haitawasilishwa bungeni. “Sasa suala hili lipo mahakamani na huo mjadala umefungwa”amesema Makinda.

Silencing the Trolls: Twitterconsiders ‘hate speech’censorship

Is Twitter allowing too much freedom? What helped move revolutions along in the Middle East, has a flip side of cyberbullying and abuse, especially of those in the spotlight. Now Twitter is taking its first step towards censorship. The news was broken by Twitter’s Dick Costolo who was speaking to the Financial Times. As the FT put it, the site’s chief executive “became visibly emotional” as he described his frustration in tackling the problem of ‘horrifying’ abuse, while maintaining the company’s mantra that ‘tweets must flow’. Anonymous and unpunished, irresponsible twitter-users find the site ideal for expressing all kinds of extremist, racist and sexistopinions. Celebrities are among those most vulnerable, with curses and bullying clogging up their ‘@connect’ section, offending many and disrupting conversations, often turning them into hate-fights. To stop the ‘hate speech’ anarchy, Twitter is considering starting off by blocking the very possibility of replies from so-called ‘non- authoritative’ users, marked out by the absence of a profile picture, followers or bio information, as FT.com reports. This is the first step, but there might be more to come. However, the company’s management is concerned that by installing any kinds of ‘selective’ measures, they may put an end to the unique Twitter-style ‘freedom of tweets’ that has helped Arab revolutions. Anonymity was the key factor that allowed so many users there to join and have their say. “The reason we want to allow pseudonyms is there are lots of places in the world where it's the only way you'd be able to speak freely," FT quotes Dick Costolo as saying. Twitter is basically the ‘last harbor’ of anonymity, as it does not have to be linked with such powerful database platforms as Facebook and Google. Silencing trolls may hit those ‘revolutionary’ users as well. The reality is that Twitter’s move may be coming at the right time, as websites that allow comments and replies may soon be forced to identify online bullies, or ‘trolls’, under different legislative moves. In the UK, for example, the Defamation Bill is now passing through the House of Commons, which will allow direct legal action against online offenders. Justified or not, ‘troll’ censorship will surely open a new page in Twitter history.

Dr.Shein kutetea muungano kinyume namatakwa ya wananchi ?

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amesema ataendelea kuutetea Muungano na hakuna atakaemlaghai wala kumchezea katika uongozi wake. Kauli hiyo ameitowa jana katika mkutano wa Jumuiya ya Wastaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika Bwawani mjini Unguja. Dk Shein amesema kwamba yeye ndie rais wa Zanzibar na ndie mwenye mamlaka na hatomuogopa mtu wala kusita kuwachukulia hatua kwa wale wote ambao watakwenda kinyume na matakwa ya kikatiba. Alisema kuwa dhamana ya nchi hii pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano imo mikononi mwao kati yake na Rais Jakaya Kikwete na ndio maana wakawa wanashirikiana na kushauriana kwa yale yote ambayo yana maslahi na nchi. “katika kuiongoza Zanzibar mimi ndie rais simuogopi mtu yeyote”, alisema kwa kujiamini Dk Shein. Dk Shein alisema Zanzibar ni nchi ya kidemokrasia inayotoa uhuru wa maoni kwa kila mtu, lakini kwa upande wake pia yeyé ndio mwenye dhamana kubwa ya kuendesha nchi kwa mujibu wa katiba iliyopo. “Mimi ndio rais siogopi mtu katika kuendesha nchi, siko tayari kuirudisha nchi katika misukosuko na kuirejesha Zanzibar kule ilipotoka wakati iko katika hali ya amani hivi sasa,” alisema katika mkutano huo. Hata hivyo alisema kuwa Muungano upo na utaendelea kuwepo na kwani yeye ndiye rais ambaye anatokana na chama cha mapinduzi na pia ameingia madarakani chini ya ilani ya chama chake hivyo lazima afuate ilani ya chama chake ambapo alisema changamoto zilizomo zinahitaji kujadiliwa ili kuweza kuziondoa na sio kuvunja muungano. “Hakuna mtu asiyejua kuwa kuna kero za Muungano hivyo ni vizuri tukajitokeza kwa wingi katika kutoa maoni yetu juu ya katiba na sio kukaa pembeni yanazungumzwa mengi kuhusu mimi lakini yote nimeyapokea kwa kuwa ukubwa ni jaa”, alisema Dk Shein bila ya kutaja jina lakini alikuwa akijibu hoja zilizokuwa zimeibuka kuwa hana uwezo wa kuchukua maamuzi magumu katika suala la uongozi. Aliwaeleza wastaafu hao kwamba Muungano una kero, zinazojadiliwa na ndio maana njia nyingi, ikiwemo ya mawasiliano baina ya Rais wa Zanzibar na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zimeanzishwa ili kuzitafutia ufumbuzi ambapo alisema njia hizo zitaendelea kutatua mambo ya muungano. Aidha Dk Shein alisema kazi hiyo anaifanya kwa umakini ili kuhakikisha kuwa Muungano upo na unazidi kuwepo na kwamba wasioutaka wasubiri tume ikija ndio watoe maoni yao na sio kuanza kutoa maoni hivi sasa kabla ya wakati hufika. “Hakuna asiyejua katika Muungano kuna kero,… wananchi wazijadili kupitia tume ya mabadiliko ya katiba, na kwa nini tunaanza kusema sema… subirini tume mkatoe maoni yenu” alisema. Katika hatua nyengine Dk Shein alisema kwa sababu hiyo anaagiza kutokufanyika kwa maandamano ya aina yoyote kuhusiana na suala hilo na kuwataka wazanzibari kutoshiriki hadi pale wanaotaka kufanya hivyo wanaporuhusiwa kuandamana na jeshi la polisi kwa kufuata taratibu za kisheria. “Naagiza maandamano yasifanyike,… wakiruhusiwa kufanya basi msiende kushiriki,” alisisitiza Dk Dk Shein alikuwa akizungumza na zaidi ya watu 500, waliohudhuria katika mkutano huo, ambao ni wastaafu wa taasisi za Muungano waliopo Zanzibar. Katika waliohudhuria katika mkutano huo ni taasisi mbali mbali pamoja na Bunge, Ulinzi na Uslama, Mambo ya Nje, Mamlaka ya hali ya hewa (TMA), Mamlaka ya Kodi na mapato (TRA), Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Idara ya Uhamiaji, Shirika la Posta na Simu, na taasisi za masuala ya elimu na ufundi. Sambamba na hayo aliwataka vijana kuthami ni jitihada, michango na maelekezo ya wastaafu kwa kutambua kuwa uzoefu wao katika maisha ni sehemu muhimu kwa maendeleo yao. “Sote hatuna budi kuelewa kuwa iko siku tutakuwa wastaafu hivyo ni muhimu kujitayarisha hasa kwa kujenga tabia ya kujiwekea akiba na matayarisho mengine ya lazima kwa maisha ya wastaafu”, alisema. Akizungumza katika mkutano huo Mwenyekiti wa jumuiya hiyo , Mohamed Ali Maalim, alisema miongoni mwa majukumu ya jumuiya hiyo ni kudumisha Muungano kwa sababhu unalinda maslahi ya wastaafu wote nchini. Katika risala yao wastaafu hao wamesema kwamba wanakabiliwa na changamoto mbali mbali ndani ya Jumuiya yao ikiwemo uwezo mdogo wa uendeshaji na usimamizi wa ofisi ikiwemo ukosefu wa ofisi ya kutosheleza mahitaji. Katibu mkuu wa Jumuiya hiyo Rashid Ali alitaja changamoto nyengine ni kukosekana kwa wataalamu na waratibu wa kusimamia utekelezaji wa mipango ya Jumuiya, ukosefu wa vitendea kazi, ukkatika kutekeleza malengo yao. Jumuiya ya wastaafu Zanzibar imeanzishwa mwaka 2009 ina wanachama 537 ambapo 486 kati ya hao ni wastaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Source mzalendo.net

Ni ipi siri ya Muungano,Watanganyikawanaogopa nini ?

Leo ni takriban miaka 48 ya Muungano kati ya Jamhuri ya watu wa Zanzibar na Tanganyika tokea kuasisiwa kwake baada ya Mapinduzi,lakini kwa walio wengi hususani Wazanzibar wameshindwa hasa kujua ni ipi hasa siri ya Muungano huu.Kumekuwa na madai mengi na fikra tofauti kuhusu Muungano huu kutoka kwa watu na taasisi mbali mbali ndani na nje ya nchi. Ni dhahiri kwamba mwisho wa yote Muungano huu utamalizika au utaendelea mbele ukiwa na uhasama mkubwa kuliko udugu,upendo,maelewano na maendeleo kama wanavyodai wale wote wenye hoja ambazo wanautetea Muungano huu wenye hila na siri nzito, hususani Viongozi wa Serikali walioko madarakani wale wa Bara na baadhi ya wale Wahafidhina wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,ambao hutumiwa kama chambo zidi ya Wazanzibar wenzao. Katika Muungano huu tokea siku ya mwanzo , kumekuwa na tuhuma nyingi kiasi ambacho kwa mwenye akili timamu hatosita kuelewa kwamba ndani yake kuna siri nzito zidi ya Taifa moja. Kwa walio wengi wanakumbuka kwamba unapolitaja neno Muungano hapo zamani ilikuwa ni kosa la jinai na adhabu yake kwa wakati huo ilikuwa kifo.Wako Wazanzibar wengi ambao walikuwa Wasomi,wanafalsafa,wanasiasa,madokta pamoja na Wananchi wa kawaida walipoteza maisha yao kwa kupinga au kuhoji Muungano huu,lakini kama haya hayatoshi hadi hii leo bado Wazanzibar wanaonekana kama ni maadui pale tu wanapoligusia suala zima la kudai haki yao ndani ya Muungano. Tuangalie kama vile jumuia ya Uamsho ambayo imejitolea kwa ridhaa yao kuwaelimisha Wananchi juu ya haki zao za msingi kudai Nchi yao huku wakifuata sheria za Nchi,hapa pana kuna kosa gani kwa Mwananchi kujielewa na kujua haki zake za msingi? Nilifikiria ya kwamba Serikali zote mbili zitawapongeza kwa vile Jumuiya hiyo imejitolea kihali na mali kutoa elimu kwa Wazanzibar, jambo ambalo Serikali zote mbili zimeshindwa kulifanya kwa Wananchi wake. Kichekesho ni kuona Muungano huu wa Nchi mbili huru, mara zote wanaolalamika kuonewa ni upande mmoja wa Muunganoyaani Zanzibar, lakini zaidi wanaopiga kelele kwa kuumia ni wananchi wanyonge walio wengi na si Viongozi wa Serikali zote mbili.Pia la ajabu ni kwamba Watanganyika wamerizika na wala Wananchi wake hawana madai kwamba wanaonewa na zaidi wanapendelea Muungano huu uzidi kuimarika. Hapa tutapata picha halisi kwamba ni dhahiri Watanganyika wanafaidika sana na hali hii iliopo hivi sasa.Isitoshe Watanganyika mara zote hutoa vitisho kwamba pindipo Muungano ukivunjika basi Zanzibar na hasa Wapemba ndio watakaoumia kwa vile wamejiimarisha sana huko wamejenga magorofa, hii inaonesha kwamba kuna lengo la kuwafukuza Wazanzibar Tanganyika kama kuwapa adhabu, watu wanasahau historia kwani Zanzibar baada ya Mapinduzi baadhi ya watu walinyang’anywa majumba yao, mashamba na vyenginevyo na hadi sasa watu wanaishi. Sasa huo udugu unaozungumziwa na Watanganyika ndio huo ? Jee wale Wazanzibar au Watanganyika wanaoishi United kingdom,Canada,Marekani,Falme za kiarabu nao pia warejeshwe maanake hawa wote hawakuungana na Nchi hizo, nako huko pia wamejiimarisha hizo ni propaganda za kijinga na ulimbukeni. Nashindwa kuelewa kuona Watu ambao wanajiita Wasomi wa Watanzania wakiwemo , Marais,Mawaziri,Wabunge,Wawakilishi na Waandishi wa habari wanashindwa kufahamu maana ya Nchi kuwa huru,haki za binaadamu,uhuru wa kuabudu,demokrasia ya kweli,usawa kwa wote, lakini pia dhana ya Muuungano kwa Nchi husika ni nini. Naamini wangalifahamu dhana hizi basi wangeliondokana na zile kasumba na fikra za ukandamizaji zilizoletwa na Wakoloni weupe na baadae kurithishwa kwa Wakoloni weusi kama vile Mwalimu Nyerere na baadhi ya Viongozi wa Afrika ambao kwao wao mabadiliko ya kidemokrasia ni mwiko. Sisi kama kizazi kipya tunaenda kwa misingi ya mabadiliko ya ulimwengu na teknolojia,sasa yale mawazo ya vijiji vya ujamaa watu kuishi maporini na Azimio la Arusha yamepitiwa na wakati lazima Serikali walielewe hilo. Nimekuwa nikishangaa sana kuona Serikali ya Tanganyika inajaribu kufanya kila inavyowezekana kujaribu kuzuia na kuzima wimbi la Wazanzibar kupasua bahari na kuelekea Nchi kavu,kuna haja ya kujiuliza kulikoni ? Jee hii ni haki kwa nchi mbili zenye haki sawa na zilizoungana kwa hiari ?Mbona inaonekana zaidi kwamba Taifa moja linalitawala jengine. Muungano huu umekuwa ni ndoana kwa Wazanzibar na tusifikirie kwamba ndoana hii kwa vile tumeshaimeza tutakuwa salama hata tukiitoa basi lazima tushikamane. Watanzania lazima tukubali kwamba mabadiliko katika Muungano huu ni jambo la lazima kama kufa na mwanaadamu,tukidharau basi tukubali kwamba madhara yake yatakuwa makubwa kuliko faida yake. Wazanzibar wamechoka na utashi wa watu binafsi kujiona kwamba Zanzibar ni miliki ya kikundi fulani,watu fulani, chama fulani,fikra kama hizo zitatufikisha pabaya. Leo hii imekuwa ni mazoea kwa Serikali ya Tanganyika kuwanyanyasa Wazanzibar kwa kutumia vitimba kwiri na Wahafidhina wa Kizanzibar waliopandikizwa kuzima madai ya Wazanzibar kuhoji uhalali wa Muungano.Imekuwa kama desturi kwa Viongozi wa bara hasa wastaafu akina, Ali Hassan Mwinyi,Benjamini mkapa kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar lakini pia kuzidisha hasama miongoni mwa Wazanzibar, hali hii tutaenda nayo mpaka lini.Sio kweli kwamba wanawapenda Wazanzibar bali wanayafanya hayo kulinda maslahi yao binafsi.Wakati umefika kuachiwa Wazanzibar wajiamulie mambo yao wenyewe, na kuwa Taifa huru,hivi Watanganyika wanaogopa nini ? Muungano huu umekuwa kama ni chaka ambalo limeficha siri nzito,linalindwa kwa nguvu zote za dola lakini kubwa zaidi ni kuona hata waandishi wa habari kule bara wanashirikiana vizuri na Serikali yao ili kuisadia kuwakandamiza Wazanzibar kudai haki yao. Nimekuwepo Zanzibar kwa muda mrefu sasa, nimeona na kushuhudia mengi yanayotokea hapa Zanzibar lakini takribani waandishi wote wa habari wanashirikiana na vyombo vya dola kuficha ukweli na kuzidi kuwaona Wazanzibar kama vile ni maadui pale wanapodai haki yao ya msingi ndani ya Muungano.Nilifikiria kuona kama vyombo vya habari vitakuwa mstari wa mbele kufichua uovu katika jamii yetu kinyume chake ndio wao wanaoikandamiza Jamii yetu kwa fitna,uongo na ubabaishaji wa habari na matukio ya kweli.Fahari ya vyombo vya habari pamoja na waandishi waTanzania ni kutangaza propaganda za Serikali na jinsi ya kuwadhibiti Wananchi ili waone kwamba umaskini tulionao ndio maumbile yetu ,sasa hio demokrasi inayozungumziwa na katiba mpya inayotegemewa ipo wapi. Ukweli unafichwa na propaganda ndizo nyimbo za Waandishi wa habari na baadhi yao tayari wanafanya kazi ya serikali ya Tanganyika kupotosha wananchi na ulimwengu kwa jumla ukweli na uhalisia wake.Sasa taaluma hii ya uandishi ina maana gani kwa Watanzania,ikiwa yale maovu yaliotawala kwenye jamii yanashindwa kufichuliwa.Hii ni kutokana na serikali ya Tanganyika kuwarubuni kwa nia ya kuendeleza sera ambazo kwa ulimwengu huu tunaokwenda nao hazikubaliki tena. Ingawaje Serikali ya Tanganyika imejipanga vizuri kwa kupenyeza vibaraka wake ndani ya Zanzibar ambao huwalai kwa madaraka baadhi ya Viongozi ili iwe rahisi kwao kuwathibiti Wazanzibar ni vyema baadhi viongozi hawa wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakaelewa kwamba hivi sasa maji yameshamwagika,Wazanzibar wameshikamana kudai haki yao na hapana budi kuungana nao ili malengo ya Wazanzibar yafanikiwe kwa usalama na amani bila ya kumwaga damu.Ule wakati wa kugombea vyeo umeshapitiwa na wakati,huu nu wakati wakuona Kwamba Jamhuri ya watu Wazanzibar kwanza,baadae ndio tuangalie utawala na mstakabali wetu kwa pamoja. ZANZIBA KWANZA: source mzalendo.net

Tuesday, June 26, 2012

Mbunge ataka vigogo wauziwemashangingi

MBUNGE wa Viti Maalum, Martha Mlata (CCM) amesema, magari ya Serikali yanatumiwa vibaya hivyo yauzwe kwa watumishi wa umma ili kupunguza matumizi yasiyo na tija. Mbunge huyo amesema, Serikali itumie waraka uliotolewa wakati wa Serikali ya Awamu ya Pili kuyauza magari hayo kwa watumishi, na kwamba, kila anayestahili apewe gari kulingana na kazi anazofanya na wadhifa wake. “Nilikuwa najiuliza, waraka ule ulifutwa au umepitwa na wakati? “ ameuliza Mbunge huyo bungeni mjini Dodoma wakati anachangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Kwa mujibu wa Mbunge huyo, licha ya Serikali kutoa waraka huo, magari ya Serikali yalitumika kufanya kazi binafsi za watumishi wa umma, na zikaandaliwa bajeti za kununua magari mengine ya Serikali. Mlata amesema, itakuwa busara kama Serikali itayauza magari hayo kupunguza matumizi ya Serikali na amedai kuwa Tanzania ni nchi pekee Afrika Mashariki inayotumia magari isivyostahili. Mbunge huyo ameliembia Bunge kuwa, huwa anasikia aibu wakati wa sherehe za kitaifa, kwa kuwa mabalozi wa nchi wahisani huwa wanakwenda uwanjani wakiwa kwenye gari la pamoja lakini viongozi Watanzania huwa wanashindana kwa magari. Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (Chadema) amesema, uamuzi wa Serikali, kuweka ukomo wa ukubwa wa injini za magari yanayoweza kununuliwa na Serikali Kuu, taasisi zake na mamlaka za Serikali za Mitaa hautakuwa na tija kama magari ya kifahari yaliyopo sasa hayatauzwa. “Haya yangeuzwa halafu tukanunua mengine” amesema Nyerere bungeni mjini Dodoma wakati anachangia bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametangaza bungeni uamuzi wa Serikali kuweka ukomo huo ili kupunguza matumizi yasiyo na tija. Pinda, amelieleza Bunge kuwa, Serikali inaendelea kupunguza matumizi hayo hasa ununuzi wa magari makubwa na ya kifahari ambayo gharama za ununuzi na uendeshaji ni kubwa sana. Waziri Mkuu amewaeleza wabunge kuwa, kuanzia sasa magari yatakayonunuliwa ni yale yasiyozidi ukubwa wa injini wa CC 3,000 kwa viongozi na watendaji wakuu na yasiyozidi CC 2,000 kwa watumishi wengine wanaostahili kutumia magari ya serikali. Kwa mujibu wa Pinda, ili kupunguza matumizi ya magari kwa viongozi na watendaji wakuu kwa safari za mikoani, Serikali itaanzisha vituo vya kanda vya magari ya serikali yatakayotumika mikoani kwa shughuli za kikazi. “Mwongozo wa utekelezaji utatolewa. Inategemewa kuwa utaratibu huu utapunguza matumizi ya fedha za Serikali kwa kiwango kikubwa” amesema Pinda bungeni mjini Dodoma wakati anasoma mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2012/2013. Mbunge wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (Chadema), amesema, kuna watanzania wanaishi kama wafalme na kuna matumizi yasiyo ya kawaida serikalini. Wenje amehoji, wakuu wa mikoa yote nchini wamekwenda Dodoma kufanya nini? Zimetumika fedha nyingi kuwasafirisha, wanalipwa fedha za safari na wanakaa bungeni ‘kula kiyoyozi’ bila sababu za msingi. Kwa mujibu wa Wenje, wakuu wa mikoa wapo Dodoma tangu Jumamosi iliyopita, na wameacha kazi walipotoka. “Wakuu wa mikoa wamekuja kufanya nini? Wamekuja kutafuta nini, wamekuja kutafuta nini?” amehoji Wenje na kusema, Serikali inapaswa kubadili mbinu za kiutendaji.

Mbunge ataja majina ya 'wezi' bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Riziki Lulida (CCM) leo ametaja bungeni majina ya watendaji wa Halmashauri nchini wanaodaiwa kuiba mamilioni ya fedha za Serikali. Mbunge huyo amepinga kitendo cha mmoja wa watendaji hao kuhamishiwa mkoani Lindi na amesema, mkoa huo si kichaka cha wezi. Ametaja jina la Joachim Materu, na kudai kuwa, mtumishi huyo wa umma aliiba shilingi milioni 557 za umma na amehamishiwa mkoani Lindi. Amewaeleza wabunge kuwa, kitendo cha kuwahamisha wanaodaiwa kuwa ni wezi kutoka Halmashauri moja kwenda halmashauri nyingine ni njama za kudhoofisha maendeleo ya maeneo wanapopelekwa. Lulida amekataa kuunga mkono bejeti ya Waziri Mkuu hadi Materu ahamishwe Lindi. Mbunge huyo amesema kuwa, kuna maofisa mipango Ofisi ya Waziri Mkuu wanaouhujumu Mkoa wa Lindi. Lulida amedai kuwa maofisa hao ni wachaga, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), akaomba Kiti cha Spika kimuamuru afute kauli yake ya kutaja kabila la wahusika kwa kuwa Kanuni za Bunge haziruhusu, amefuta. “Suala la uchaga halimo lakini nimetaja majina ili uonekane mtandao”amesema Mbunge huyo wakati anachangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Mbunge huyo amemtaja mtendaji mwingine kwa jina la Yunus Maro, na kudai kuwa, ameiba shilingi milioni 262 za umma, na kutaja akaunti yake ni namba 20660017 iliyopo katika benki ya NMB. Ametaja jina lingine moja la Ndaskoi na kudai kuwa mtumishi huyo ameiba fedha za umma wilayani kilosa mkoani Morogoro na amehamishiwa Ngorongoro. Amemtaja mwingine kwa jina la Macha na kudai kuwa, ameiba mamilioni wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, na ametoa vielelezo kwenye kiti cha Spika wa Bunge kuthibitisha anayoyasema. Lulida amedai kuwa kuna mtandao wa wezi katika Halmashauri nchi wanaoihujumu Serikali. Mbunge wa Mchinga, Said Mtanda (CCM) ameunga mkono kauli ya Lulida kwamba kuna mtandao wa wezi katika Halmashauri nchini. “Huu mtandao ndiyo unaodhoofisha Mkoa wa Lindi” amesema Mtanda wakati anachangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Hata hivyo Mtanda amepinga suala la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuonesha kinawajali sana wananchi wa mikoa ya kusini ukiwemo Mkoa wa Lindi. Amesema, ameisoma Ilani ya Uchaguzi ya Chadema, imeutaja mkoa huo mara moja tu, lakini katika Ilani ya CCM mkoa huo umetajwa mara nane. “Hatutaki ndoa za usiku, asubuhi talaka” amesema Mtanda na kuhoji, Chadema walikuwa wapi miaka iliyopita? “Mheshimiwa unapolia hushiki kichwa cha mwenzio, sisi Lindi matatizo yetu tutayamaliza sisi kwa kushirikiana na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi” amesema Mtanda. .... Source Habari leo

Muslim woman barred from school parents' event for wearing veil

A British Muslim woman was asked to leave a school's parents' night in Manchester for wearing the veil. The college cited "safety" and "security" reasons. Maroon Rafique was stopped from entering Manchester College by security staff, who told her that for the security of teachers and pupils, there was a ban on any kind of face covering. Although she offered to sit anywhere in the room where as few people as possible would see her, she was not allowed onto the campus. “I’m born in this country and British. Why should what I wear offend anyone?” she told the British newspaper the Daily Mail. “I didn’t want to make any fuss. All I wanted was to find out the information to help my son go to university.” The 40 year-old has worn the face veil, or niqab, for the last seven years. Rafique eventually had to phone her husband to take her place. A college spokesman defended the policy. “At all times we need to be able to identify all individuals easily in order to maintain safety and security and therefore we ask that faces are clearly visible while indoors. Our dress code is reviewed through our quality improvement group and we will take this situation into account at the next review.” He added that the school took Rafique's concerns “very seriously.” A spokesman for the Muslim Council of Britain told RT that it considers the decision to be authoritarian. “Wearing the face veil is not obligatory, and is a freedom of choice issue. We understand if teachers are forbidden from wearing it as it can sometimes interfere with communication during the lesson. Children may also have to follow a particular dress code, but for a parent to be stopped doesn’t make sense.” In March of this year, a Muslim woman was stopped from sitting on a UK jury in a murder trial because the judge ruled her facial expressions could not be seen. Britain, unlike France, has not yet introduced a nationwide ban on face veils. ... source RT

'Islamic Awakening': Morsi’sEgypt turns to Iran - report

Newly-elected Egyptian President Mohammed Morsi will rekindle dormant ties between Egypt and Iran and re-consider his country’s peace accord with Israel, according to a controversial interview with an Iranian news agency. Tehran’s Fars news agency distributed a set of quotes from an interview taken hours before Morsi was proclaimed victor in the presidential poll after a prolonged vote count. The views expressed by Morsi contradict his official stance that he will adhere to Egypt’s international obligations. Instead, he reportedly promises to radically adjust the country’s international role. A day after the interview was published, Morsi’s spokesman denied that it ever took place. “We must restore normal relations with Iran based on shared interests, and expand areas of political coordination and economic cooperation because this will create a balance of pressure in the region,” Morsi allegedly told Fars. The two countries broke their diplomatic ties in 1980, following the Islamic Revolution in Iran, and Egypt’s recognition of Israel. Whether or not the interview took place, Iran has welcomed the outcome of Egypt's election. The country’s Foreign Ministry called Morsi’s victory over his secularist rival Ahmed Shafik “an Islamic Awakening” and said the country was entering a “new era.” “The historic Egyptian nation, with their responsible participation in the momentous election, have again proved their determination to realize the noble and justice-seeking ideals of the great revolution of Egypt with a splendid vision of democracy,” read an official statement. Shiite Iran and Sunni Egypt are not historic allies, but Iran’s spiritual leaders and Egypt’s Muslim Brotherhood, to which Morsi belongs, are united by their belief that Islam should play a key role in governance, not to mention a common adversary – Israel. Israel alarmed Several news agencies also reported that Mohammed Morsi intends to review the Camp David accords. Camp David was the site for key meetings between Israeli and Egyptian leaders that climaxed in Egypt becoming the first Arab state to recognize Israel’s right to exist in 1979. The Israeli media struck a uniformly funereal tone in response to Egypt’s choice of leader. “From our standpoint, when the presidential palace in Cairo is painted for the first time in Islamic colors, this is a black and dark day,” wrote commentator Smadar Peri in the popular daily Yediot Aharonot. “Israel should be prepared for every eventuality,” wrote analyst Alex Fishman, conjuring the possibility of “an Islamist intelligence minister, a re- examination of the peace accords, a collapse of the economic agreements and lack of security coordination.” Several other commentators in Israel and in Europe sounded more sanguine, however, noting that while Morsi may wish to change his country’s foreign policy vector, he will have to establish legitimacy in his divided and economically-troubled country before asserting himself internationally. "What he wants tio do is one thing, what he is able to do is another" Professor Daoud Khairallah of Georgetown University told YOU And I blogspot

Monday, June 25, 2012

Former US president Jimmy Carter has criticized America’s actions against terrorism, saying that drones attacks and targeted assassination of suspicious people are undermining America’s “role as the global champion of human rights.” In his critical article "A Cruel and Unusual Record" published in the New York Times, Jimmy Carter said that with all the revolutions sweeping around the world, America should “make the world safer.” Instead, however, “America’s violation of international human rights abets our enemies and alienates our friends,” he argues. US’s government counterterrorism policies, Carter says, are now clearly violating at least 10 of the 30 articles written in the Universal Declaration of Human Rights. “Revelations that top officials are targeting people to be assassinated abroad, including American citizens, are only the most recent, disturbing proof of how far our nation’s violation of human rights has extended,” Carter writes. These violations of human rights began after the terrorist attack of 9/11. Having been "sanctioned and escalated by bipartisan executive and legislative actions,” Carter bemoaned a “lack of dissent from the general public". "As a result, our country can no longer speak with moral authority on these critical issues," the 39th president wrote. Carter says that “death of innocent women and children” within drone attacks on those who are said to be “enemy terrorists” are accepted “as inevitable”. However, that is something that “would have been unthinkable in previous times”. “After more than 30 airstrikes on civilian homes in Afghanistan this year, President Hamid Karzai has demanded that such attacks end, but the practice continues in areas of Pakistan, Somalia and Yemen that are not in any war zone,” writes Carter. He adds that it is unknown “how many hundreds of innocent civilians have been killed” in attacks that have all been “approved by the highest authorities in Washington.” “Top intelligence and military officials, as well as rights defenders in targeted areas, affirm that the great escalation in drone attacks has turned aggrieved families toward terrorist organizations, aroused civilian populations against us and permitted repressive governments to cite such actions to justify their own despotic behavior,” writes Carter. Carter’s critical article comes less than a week after the UN’s report on the use of drone strikes by the US to combat terrorism. On June, 21, UN rapporteur, Christof Heyns, said that the US needs to be held legally accountable for the use of armed drones. He requested that the Obama administration publish statistics on the number of civilian deaths caused by strikes on suspected terror leaders in Afghanistan, Pakistan and Yemen. Heyns underlined the fact that recent US drone strikes threatened the rule of international law in that many “targeted killings take place far from areas where it's recognized as being an armed conflict." Speaking about human rights, Carter also mentioned that recent laws allow “unprecedented violations of our rights to privacy through warrantless wiretapping and government mining of our electronic communications”. Jimmy Carter has called for Washington to “reverse course and regain moral leadership".

we will be back very soon

blog yenu ya ukweli ipo karibuni kurudi tena hewani..... Ushirikiano wenu ni muhimu sana kwetu