Saturday, December 19, 2015

Zari amchunia X wake

Ilikuwa ni alhamis tulivu jijini kampala ambapo headliness zilikuwa ni party ya Zari. Watu wengi walijitojeza kwa kujua kwamba Diamond nae lazma atakuwepo bila kujua kuwa zari na diamond wametumia akili ya kibiashara ili kufanya show zao zote zijaze watu. Katika moja ya "sapraiz" ni kutokea kwa Ivan katika party hiyo. Mwanadada zari hakuoneshwa kushangazwa na kuwepo kwa ivan mjengoni na kuendelea kula bata huku akiwapa mgongo rich gangs..! Hizo hapo chini ni baadhi ya pics za yaliyojiri kwenye party hiyo. Kwa picha zaidi watafute zari na ivan instagram.

Thursday, December 17, 2015

Ben Pal afunguka

Msanii Ben Pol, King Of Rnb amewataka mashabiki zake waachane na habari za mitandao na kuwataka wawe wavumilivu mpaka pale atakapofunguka live leo usiku kupitia EATv  ambapo ataweka wazi mambo yake mengi pamoja na
kufuzungumzia jambo ambalo limefanya mashabiki wengi kuwa na sintofahamu juu yake na msanii Ali Kiba.
Jana kupitia mtandao wa twitter Ben Pol alimuuliza msanii Kiba swali hili "Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?" Alihoji Ben Pol
Lakini swali hili kwa baadhi ya mashabiki lilichukuliwa tofauti na baadhi ya mashabiki wa Alikiba walianza kumjia juu msanii huyo kwa maneno lakini leo Ben Pol atakuwepo katika Friday Night Live ya EATV ambapo atafunguka mengi juu ya muziki wake,.

Tuesday, December 15, 2015

DIAMOND PLATNUMZ KUACHIA MZIGO MWINGINE XMASS?

Baada ya Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania @diamondplatnumz kutoa single yake mpya ambayo inahit katika soko la mziki duniani anatarajia tena kudondosha single nyingine kama zawadi ya kufunga mwaka kwa mashabiki wake. Source yetu ambayo ipo karibu na platnumz imetutaarifu kuwa superstar huyo amepanga kuiachia zawadi hiyo katika tamasha la funga mwaka litakalofanyika tarehe 25 mwezi huu.
Diamond kwa sasa yupo hapa Afrika ya kusini nashoot video aliyoshirikishwa na Mafikizolo.

Monday, December 14, 2015

Kim Kradashian on Africa

Kim Kardashian is known for her voluptuous b00ty. That’s all. That is what brought about all her money and fame.

It all started with her releasing a s3xtape with American hip hop tycoon Raj J. The tape gave the two the publicity of their lifetime.
Many supported the tape but equally it received a lot of criticism, especially for Kim.

But the two did not care what people say. They took and used the positive one’s to their advantage and ignored the negative.

But as Africans there are things that we cannot ignore. Especially someone referring to our continent as ‘untidy zone for s3xy model’.

That is what Kim said about SA last week. She was approached by a liquor manufacturing company to officiate the launch of the drink in Johannesburg.

She turned down the offer through her marketing manager but later on decided to personally pass the hateful message. She says that her skin is too s3xy to be on African soil.

Tuesday, September 22, 2015

Free State police search for victims of genital mutilation

Acting on a tip-off, the Hawks have arrested a 58-year-old Danish citizen at his home in Bloemfontein.

But it is what they found in the man's fridge that has shocked even the most hardened detectives.

The garden outside his home wouldn't look out of place in any of Bloemfontein's suburban townhouse complexes. Slightly unkempt, with children's toys strewn about.

However, these typical suburban scenes belie the gruesome discovery made, when police raided this Langenhovenpark home last week.

Several neatly labelled bags, containing amputated female genitalia, vial upon vial of sedatives (for use on both humans and animals), and a collection of medical equipment were found in the house and refrigerator. The amount of surgical equipment, some of which is still neatly sealed, would leave doctors at the province's struggling hospitals green with envy.

But it's the picture and video collections that really shocked detectives. They say both a cellphone and a camera were used to carefully document the process during which the labia and clitorises of several women were removed.

The women were in varying states of consciousness, leading detectives to believe that some may have been drugged for the procedures.

"It's definitely female genital mutilation that we have discovered. And maybe child pornography. We are investigating that as well," says Investigating Officer Linda Steyn.

Steyn believes that at least one of the women seen exposing herself to the camera could be under age.

Steyn now faces the task of determining exactly how many victims there were, if they are all still alive, and whether they voluntarily submitted to the procedures.

"We've got one lady, but at this moment we're asking the community to please, if they have been a victim of the accused, come forward and give us the relevant statements."

The man responsible for it all is a 58 year old Bloemfontein businessman. Originally from Denmark, the suspect was reportedly perplexed at the police confiscating his "trophies" and medical equipment.

"He really believed that what he was doing is okay," says a police officer who was present at his arrest.

Court 20 at the Bloemfontein magistrate's court was packed with curious onlookers, hoping to catch a glimpse of the suspect, during his appearance. Many of them clutched a copy of local newspapers, on which the find is the headline.

Among them is a Danish newspaper team, here to send news home on their compatriot's alleged crimes. They are less hesitant to share their opinion on the crimes than one of the local reporters.

"He is a sick bastard. Why did he have to come here and do this to our women? I'm sure we're going to find bodies soon," she muses.

The suspect appeared on charges of sexual assault, intimidation, and contravention of the South African Health Act on Monday.

Covering his head with a towel, he attempted to hide his face, until an AP cameraman grabbed it, leading to a brief exchange of words and glares.

His appearance was brief, as police applied for a remand, for further investigation. They also mentioned that they are investigating the possibility of two outstanding warrants for the suspect's arrest. One in Lesotho, and another in his native Denmark.

He will remain in custody till at least 28 September, when his bail application will be heard.

Monday, September 21, 2015

Thousands to protest against Pharrell Williams and Woolworths

Members of pro-Palestinian group Boycott, Divestment and Sanctions (BDS) have been involved in a year-long dispute with Woolworths.

They have demanded that  Woolworths refrain from stocking Israeli products and have promised to demonstrate against the singer's partnership with the retail group.

On Friday, BDS won a morale-boosting victory when the Western Cape High Court reversed the City of Cape Town's restriction on the number of protesters allowed at the Pharrell Williams concert.

The court found the restriction to be unconstitutional, and gave the go-ahead for 16,000 people to protest until 4pm.

The City of Cape Town was ordered to pay all legal costs.

In a press statement, BDS said they expected Pharrell Williams to face “the largest protest any artist would have faced since the end of Apartheid”.

Sunday, September 6, 2015

MAMBO 10 MUHIMU ILI SHERIA YA MAKOSA YA KIMTANDAO YASIKUKAMATE.

Sheria hii imeanza kutumika tarehe 1 septemba 2015.. Ukizingatia haya ya fuatayo utakuwa salama

1. Epuka Kusambaza ujumbe wa uchochezi ama ushawishi wa kisiasa unaoweza kuleta athari kwa jamii yetu kupitia mitandao

2. Epuka Kusambaza au kutunga ujumbe unaoleta uchochezi wa kidini unaoweza kupelekea kuvuruga amani na maelewano kwa jamii kupitia mitandao

3. Epuka Kusambaza picha ama video za utupu ama zilizokosa maadili kwa jamii kupitia mitandao mbalimbali ( Whatsapp, Facebook, YouTube, Instagram n.k)

4. Epuka Kusambaza picha ama video za uchochezi wa kidini ama kisiasa kupitia makundi mbalimbali ama mitandao ya kijamii

5. Epuka Kushiriki kusambaza chochote kati ya vilivyotajwa hapo juu (kutuma kama ulivyopokea ) itakugharimu

6. Epuka Wizi kupitia mitandao mbalimbali na mitandao ya simu utakugharimu

7. Epuka Kumpatia mtu line yako ya simu na kutumika kufanyia wizi ama utapeli itakugharimu

8. Epuka Kushiriki kumchafua mtu,taasisi,kikundi cha watu kwa namna yoyote kupitia mitandao pia itakugharimu

9. Epuka Kupoteza simu bila kutoa taarifa na kufunga mawasiliano hayo yanaweza kupelekea kutumika kufanya uhalifu na ukaangukia hatarini

10. Epuka Kutumia mtandao kwa utapeli kupitia 'brand' ama jina la mtu itakugharimu

Hukumu
Ni kifungo cha miaka kadhaa gerezani ama faini ya fedha isiyopungua milioni 5 kulingana na kosa lililofanyika (au vyote!)

Tuesday, September 1, 2015

VMA 2015: Nicki Minaj called out Miley Cyrus live on the VMA stage

While accepting the award for Best Hip-Hop Video at tonight's MTV Video Music Awards, Nicki Minaj held host Miley Cyrus accountable for comments she made in an interview with The New York Times on Thursday. Cyrus was asked about Minaj's Twitter spat with Taylor Swift in July over this year's crop of nominees. "What I read sounded very Nicki Minaj, which, if you know Nicki Minaj is not too kind," said Cyrus. "It’s not very polite. I think there’s a way you speak to people with openness and love. You don’t have to start this pop star against pop star war... I know you can make it seem like, Oh I just don’t understand because I’m a white pop star. I know the statistics. I know what’s going on in the world. But to be honest, I don’t think MTV did that on purpose."

When challenged, Cyrus blamed standard media misinterpretation for the quote before noting that she'd lost VMAs without complaining in the past. The whole exchange could've been choreographed — Minaj did bring Swift on stage with her a few minutes earlier, after all — but there was a definite, palpable spark there, and it's good that Cyrus was forced to defend a quote that wasn't particularly insightful or accurate in its description of Minaj's behavior.

Saturday, August 15, 2015

Friday, August 7, 2015

JUSA: TUNAHESHIMU MAAMUZ YA LIPUMBA

Chama cha wananchi CUF kimetoa kauli juu ya kujiuzulu kwa alie kua mwenyekiti wa CUF taifa prof Ibrahim haruna Lipumba.
Kauli hiyo imetolewa na kaimu mkurugenzi wa habari,uenezi,na mawasiliano na Umma Mhe Ismail jussa ladhu,Imesema kwamba CUF imepokea taarifa hiyo na inaheshimu maamuzi yake pamoja na kuwahiidi wanachama kua CUF haitayumba
"Tunapenda kuwahakikishia wanachama na wapenzi wa CUF na wananchi wa Tanzania kwa ujumla kwamba chama hichi hakitayumba"
alisema Ismail jussa
Mhe ismail jussa amesema CUF itaendelea kumheshimu kwa utumishi wake mkumbwa ndani ya chama pamoja na kuthamini mchango wake katika ujenzi wa demkrasia katika nchi yetu.
Kuondoka kwa proffessa lipumba katika Safu ya uongozi wa Cuf kutaacha pengo kubwa hasa kipindi hichi ambacho tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu.
Proff lipumba ni miongoni mwa waazilishi wa umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA) ambao utamsimamisha waziri mkuu wa zamani Mhe Edward lowassa kama mgombea wake.

Thursday, August 6, 2015

Ukawa, Ccm zagawanyika

Wakati sintofahamu ya nini hatma ya dk wilbroad slaa bado haijafahamika ndani ya chadema,leo umoja wa katiba ya wananchi wamepata pigo jingine baada ya Mmoja kati ya nguzo muhimu ya ukawa kujiengua. Profesor Ibrahim lipumba ambaye alikuwa mwenyekiti wa CUF kwa takriban miaka 10 na zaidi ameamua kujiondoa katika nafasi hiyo katika chama chake na kusema kuwa atabaki kuwa mwanachama wa kawaida kwasababu kadi yake ya chama inakwisha muda wake mwaka 2020. Akiongea na waandishi mjini Dar es salaam profesa amesema kuwa amejiondoa nafas yake kwasababu ya cjadema kukiuka misingi ya makubaliano yao na hapendi kuwa miongoni mwa watu watakaoshiriki dhambi ya kuwadhulumu watanzania. Jaya yanatokea siku kadhaa baada ya chadema kumtangaza Edward lowasa kuwa mgombea wake na wa ukawa.

Wednesday, July 29, 2015

UKAWA WANACHEZEA AKILI ZA WATANZANIA

Wiki tatu zilizopita ndugu lowasa alikuwa ni mmoja kari ya watangaza nia ya kugombea urais kupitia ccm. Kutangaza kwake nia kuliwapa wasanii nguvu ya kuweza kujitangazia ushindi endapo lowasa angechaguliwa kuwa mgombea wa ccm kwa maana Lowasa ana kashfa ya ufisadi na watanzania hawatokuwa tayari kumchagua fisadi. Leo hii huyo lowasa anapigiwa debe na wale wale waliosema kuwa ni fisadi papa kwa kumpa jina la kamanda na kudai eti tuhuma zile alisingiziwa. Watanzania sio wendawazimu wamesikia na wameona . Tukutane oktoba

Sunday, March 8, 2015

Unamjua padri feki?


SIRI ya mafanikio ya Padri feki, Josephat Asenga, aliyekamatwa mkoani Morogoro, katika kuongoza Misa ya Kanisa Katoliki kwa kufuata taratibu zote maalumu bila kutiliwa shaka, imebainika. Asenga aliyetumia vitambulisho feki, alipojitambulisha kwa uongozi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maria Madeko mkoani Morogoro, alipopewa fursa ya kuongoza Misa, alitekeleza wajibu huo wa kipadri bila kuacha shaka. *Alivyojitambulisha Akizungumza na gazeti hili jana, kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki (jina limehifadhiwa), alithibitisha kuwa Asenga alipofika Parokiani hapo kati ya Mei na Juni mwaka jana, hakutiliwa shaka hata kidogo kuwa si Padri. Kwa mujibu wa kiongozi huyo, Asenga alifika kanisani hapo akiwa amevaa mavazi ya kipadri na kujitambulisha kuwa yupo nchini kwa mapumziko, akitokea nchini Marekani, alikodai ndipo anakofanyia shughuli zake za upadri katika Jimbo Kuu la New York. Mbali na kuvalia mavazi ya kipadri, Asenga pia alionesha kitambulisho na kusababisha uongozi uamini kuwa ni Padri na kumpa makaribisho ya Padri mwenzao. “Alipoonesha kitambulisho tulimwamini na jinsi alivyokuja na mavazi ya upadri na muonekano wake alionao, haikuwa rahisi kumtilia shaka,” alisema kiongozi huyo. *Kuongoza Misa Baada ya kupata makaribisho ya kipadri, Asenga kwa mujibu wa kiongozi huyo, aliomba apangiwe zamu ya kuongoza misa ya Jumapili iliyofuata na kukubaliwa. Kiongozi huyo alithibitisha kuwa Asenga aliongoza vyema misa hiyo, kwa kufuata taratibu zote za kanisa hilo kama zinavyofuatwa na mapadri wengine. Taratibu Kwa kawaida Misa katika Kanisa la Katoliki, huanzia Sakestia, sehemu ambayo mapadri na waministranti, ambao ni wasaidizi wao, huvaa majoho na kusali kabla ya kuingia kanisani wakisindikizwa na nyimbo. Baada ya kuingia madhabahuni, Padri hubusu madhabahu kabla ya kualika waumini katika Misa. Mualiko huo hufuatiwa na maelezo kidogo na kuanza Ibada ya Kitubio, ambayo waumini hutubu dhambi zao na kujiweka tayari kusikiliza neno la Mungu. Ibada ya kusomwa neno, kwa kawaida masomo matatu kutoka vitabu vya Agano la Kale na Jipya katika kitabu cha Bibilia Takatifu, Padri huanza kutoa mahubiri. Mahubiri yakiisha, Misa huendelea kwa sadaka na baadaye, Padri huongoza waumini kuanza kukumbuka maelezo ya siku ambayo Yesu Kristo alitoa Sakramenti katika Chakula cha Mwisho kwa wanafunzi wake akitaka wamkumbuke. Kwa kawaida, eneo hilo ndipo Padri kwa mamlaka aliyopewa, hufanya mageuzi ya sakramenti kuwa Hostia Takatifu, kwa maneno mengine hubariki mkate kuwa Mwili wa Kristo na divai kuwa Damu ya Kristo. Kwa Wakatoliki, eneo la mageuzi ni eneo muhimu na ndio waumini hutuma maombi kimya kimya, wakiamini ndio Kristo anashuka mwenyewe. Baada ya kutumikia Kanisa na kukubalika, Asenga aliaga kuwa anarudi nchini Marekani kwa kuwa muda wake wa mapumziko, umekwisha na kuagwa na Kanisa. Taarifa tata Wakati uongozi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maria Madeko, ukiwa na imani kuwa Asenga ni Padri na amerejea New York, kuendelea na Utume, walipata taarifa za kushangaza kutoka kwa baadhi ya waumini, wakidai wamekutana na Asenga mitaani. Mbali na taarifa hiyo ya kukutwa mitaani na waumini wake, taarifa zaidi zilieleza kuwa amekuwa akiishi na mwanamke katika eneo la Ujenzi, kinyume na desturi za mapadri wa Kanisa Katoliki duniani, ambao hawaruhusiwi kuoa. *Mtego 1 Baada ya taarifa hizo, kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, Asenga aliwekewa mtego na Paroko wa Parokia hiyo ya Mtakatifu Maria Madeko, Malt Dyfrig Joseph. Paroko huyo inadaiwa aliwaomba waumini wamshawishi Asenga afike parokiani hapo na baada ya kufika, alihojiwa na Paroko huyo na kudai kuwa alipata upadirisho katika Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Kamanda huyo, baada ya Paroko huyo kupata maelezo hayo, alifanya mawasiliano na Katibu wa Jimbo hilo la Dar es Salaam na kujibiwa kuwa hakuna jina la Padri huyo. Kukamatwa, akiri Mtego wa pili kwa mujibu wa Kamanda Paulo, ulifuata kwa Paroko huyo kutoa taarifa Polisi kuhusu uwepo wa Padri feki, ambaye aliaminiwa kwa kiwango cha kuruhusiwa kuongoza Misa. Taarifa hizo zinasema Alhamisi ya wiki hii, saa 10:30 jioni, Asenga alimpigia simu Paroko huyo na kuomba ampangie kazi ya kuendesha Misa Jumapili ya leo parokiani hapo, na kukubaliwa ambapo Paroko huyo alimtaka afike kanisani. Baada ya kufika, taratibu za kujulisha Polisi zilifanywa na askari walipofika kanisani hapo, walimkamata mtuhumiwa huyo. Kwa mujibu wa Kamanda Paulo, baada ya kufanya mahojiano na Asenga, alikiri kuwa yeye si Padri na walipokwenda nyumbani kwake kufanya upekuzi, walimkuta akiwa na majoho saba ya upadri. Mikoani, mafunzo Taarifa zaidi zilizofikia gazeti hili jana, zilibainisha kuwa Asenga huenda kwa kutumia mbinu hizo hizo, alishaaminiwa kuongoza Misa katika mkoa wa Kilimanjaro katika maeneo ya Uru na Moshi na mkoani Singida. Mbali na kukubalika katika mikoa hiyo, lakini taarifa zaidi zilibainisha kuwa Asenga alifanikiwa kote huko kuongoza Misa na kuaminiwa, kutokana na mafunzo ambayo aliwahi kupata huko nyuma. Inadaiwa Asenga alianza kupata mafunzo katika Seminari ya Kanisa Katoliki ya Uru, ambako alipata mafunzo ya elimu ya sekondari. Baada ya kumaliza kwa mafanikio masomo yake katika seminari hiyo, alichaguliwa kujiunga na Seminari ya Kibosho, ambayo inatajwa kuwa maalumu kwa ajili ya kutoa elimu ya falsafa kwa wanafunzi na wengi ni wanaotarajiwa kuwa mapadri. Mafanikio aliyoyapata katika masomo ya falsafa katika Seminari ya Kibosho, yalimwezesha kujiunga na Seminari ya Kipalapala, ambako inaelezwa ndiko kunakotolewa mafunzo ya Liturgia, ambayo nayo ni sehemu ya mafunzo wapewayo wanafunzi wanaotarajiwa kuwa mapadri. Waumini Ingawa taarifa za mafunzo aliyopata zinatiliwa shaka, lakini namna alivyoongoza Misa bila kutiliwa shaka, imesababisha baadhi ya waumini kuanza kumjadili, ili kufahamu hasa nia yake ilikuwa ipi. Kutokana na taaluma nyingine aliyonayo ya uhasibu, amesababisha baadhi ya waumini kuunganisha matukio na uwezo wake na kuamini kuwa huenda hakuwa akitafuta sadaka. Mmoja wa waumini aliyezungumza na gazeti hili kwa sharti la kutotajwa jina, alidai kuwa huenda Asenga alikuwa na njama za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafadhili mbalimbali. Kwa mujibu wa madai ya muumini huyo, watu wa aina ya Asenga, ambaye ana taaluma na uwezo wa kipadri, wana njia nyingi za kujipatia kipato, hivyo inawezekana alidanganya wafadhili wake kuwa yeye ni Padri ili apate ufadhili huo. Muumini huyo alikwenda mbali na kudai huenda masharti ya ufadhili huo, ni kupata picha au sauti yake akiongoza Misa kanisani. “Inawezekana kuna mahali aliomba ufadhili kwa ajili ya kitu fulani na aliwadanganya kuwa yeye ni Padri, ndio maana akaamua kuomba zamu ya kuongoza Misa. “Utapeli umeingia mpaka kwenye nyumba za ibada kweli? Wanadamu tumekosa hofu ya Mungu!” Alihoji muumini huyo na kuasa jamii kuwa macho, kwa kuwa hivi sasa matapeli ni wengi na kila siku wanatoka na mbinu mpya. Credit:Habari Leo

Unamjua padri feki?


SIRI ya mafanikio ya Padri feki, Josephat Asenga, aliyekamatwa mkoani Morogoro, katika kuongoza Misa ya Kanisa Katoliki kwa kufuata taratibu zote maalumu bila kutiliwa shaka, imebainika. Asenga aliyetumia vitambulisho feki, alipojitambulisha kwa uongozi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maria Madeko mkoani Morogoro, alipopewa fursa ya kuongoza Misa, alitekeleza wajibu huo wa kipadri bila kuacha shaka. *Alivyojitambulisha Akizungumza na gazeti hili jana, kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki (jina limehifadhiwa), alithibitisha kuwa Asenga alipofika Parokiani hapo kati ya Mei na Juni mwaka jana, hakutiliwa shaka hata kidogo kuwa si Padri. Kwa mujibu wa kiongozi huyo, Asenga alifika kanisani hapo akiwa amevaa mavazi ya kipadri na kujitambulisha kuwa yupo nchini kwa mapumziko, akitokea nchini Marekani, alikodai ndipo anakofanyia shughuli zake za upadri katika Jimbo Kuu la New York. Mbali na kuvalia mavazi ya kipadri, Asenga pia alionesha kitambulisho na kusababisha uongozi uamini kuwa ni Padri na kumpa makaribisho ya Padri mwenzao. “Alipoonesha kitambulisho tulimwamini na jinsi alivyokuja na mavazi ya upadri na muonekano wake alionao, haikuwa rahisi kumtilia shaka,” alisema kiongozi huyo. *Kuongoza Misa Baada ya kupata makaribisho ya kipadri, Asenga kwa mujibu wa kiongozi huyo, aliomba apangiwe zamu ya kuongoza misa ya Jumapili iliyofuata na kukubaliwa. Kiongozi huyo alithibitisha kuwa Asenga aliongoza vyema misa hiyo, kwa kufuata taratibu zote za kanisa hilo kama zinavyofuatwa na mapadri wengine. Taratibu Kwa kawaida Misa katika Kanisa la Katoliki, huanzia Sakestia, sehemu ambayo mapadri na waministranti, ambao ni wasaidizi wao, huvaa majoho na kusali kabla ya kuingia kanisani wakisindikizwa na nyimbo. Baada ya kuingia madhabahuni, Padri hubusu madhabahu kabla ya kualika waumini katika Misa. Mualiko huo hufuatiwa na maelezo kidogo na kuanza Ibada ya Kitubio, ambayo waumini hutubu dhambi zao na kujiweka tayari kusikiliza neno la Mungu. Ibada ya kusomwa neno, kwa kawaida masomo matatu kutoka vitabu vya Agano la Kale na Jipya katika kitabu cha Bibilia Takatifu, Padri huanza kutoa mahubiri. Mahubiri yakiisha, Misa huendelea kwa sadaka na baadaye, Padri huongoza waumini kuanza kukumbuka maelezo ya siku ambayo Yesu Kristo alitoa Sakramenti katika Chakula cha Mwisho kwa wanafunzi wake akitaka wamkumbuke. Kwa kawaida, eneo hilo ndipo Padri kwa mamlaka aliyopewa, hufanya mageuzi ya sakramenti kuwa Hostia Takatifu, kwa maneno mengine hubariki mkate kuwa Mwili wa Kristo na divai kuwa Damu ya Kristo. Kwa Wakatoliki, eneo la mageuzi ni eneo muhimu na ndio waumini hutuma maombi kimya kimya, wakiamini ndio Kristo anashuka mwenyewe. Baada ya kutumikia Kanisa na kukubalika, Asenga aliaga kuwa anarudi nchini Marekani kwa kuwa muda wake wa mapumziko, umekwisha na kuagwa na Kanisa. Taarifa tata Wakati uongozi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maria Madeko, ukiwa na imani kuwa Asenga ni Padri na amerejea New York, kuendelea na Utume, walipata taarifa za kushangaza kutoka kwa baadhi ya waumini, wakidai wamekutana na Asenga mitaani. Mbali na taarifa hiyo ya kukutwa mitaani na waumini wake, taarifa zaidi zilieleza kuwa amekuwa akiishi na mwanamke katika eneo la Ujenzi, kinyume na desturi za mapadri wa Kanisa Katoliki duniani, ambao hawaruhusiwi kuoa. *Mtego 1 Baada ya taarifa hizo, kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, Asenga aliwekewa mtego na Paroko wa Parokia hiyo ya Mtakatifu Maria Madeko, Malt Dyfrig Joseph. Paroko huyo inadaiwa aliwaomba waumini wamshawishi Asenga afike parokiani hapo na baada ya kufika, alihojiwa na Paroko huyo na kudai kuwa alipata upadirisho katika Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Kamanda huyo, baada ya Paroko huyo kupata maelezo hayo, alifanya mawasiliano na Katibu wa Jimbo hilo la Dar es Salaam na kujibiwa kuwa hakuna jina la Padri huyo. Kukamatwa, akiri Mtego wa pili kwa mujibu wa Kamanda Paulo, ulifuata kwa Paroko huyo kutoa taarifa Polisi kuhusu uwepo wa Padri feki, ambaye aliaminiwa kwa kiwango cha kuruhusiwa kuongoza Misa. Taarifa hizo zinasema Alhamisi ya wiki hii, saa 10:30 jioni, Asenga alimpigia simu Paroko huyo na kuomba ampangie kazi ya kuendesha Misa Jumapili ya leo parokiani hapo, na kukubaliwa ambapo Paroko huyo alimtaka afike kanisani. Baada ya kufika, taratibu za kujulisha Polisi zilifanywa na askari walipofika kanisani hapo, walimkamata mtuhumiwa huyo. Kwa mujibu wa Kamanda Paulo, baada ya kufanya mahojiano na Asenga, alikiri kuwa yeye si Padri na walipokwenda nyumbani kwake kufanya upekuzi, walimkuta akiwa na majoho saba ya upadri. Mikoani, mafunzo Taarifa zaidi zilizofikia gazeti hili jana, zilibainisha kuwa Asenga huenda kwa kutumia mbinu hizo hizo, alishaaminiwa kuongoza Misa katika mkoa wa Kilimanjaro katika maeneo ya Uru na Moshi na mkoani Singida. Mbali na kukubalika katika mikoa hiyo, lakini taarifa zaidi zilibainisha kuwa Asenga alifanikiwa kote huko kuongoza Misa na kuaminiwa, kutokana na mafunzo ambayo aliwahi kupata huko nyuma. Inadaiwa Asenga alianza kupata mafunzo katika Seminari ya Kanisa Katoliki ya Uru, ambako alipata mafunzo ya elimu ya sekondari. Baada ya kumaliza kwa mafanikio masomo yake katika seminari hiyo, alichaguliwa kujiunga na Seminari ya Kibosho, ambayo inatajwa kuwa maalumu kwa ajili ya kutoa elimu ya falsafa kwa wanafunzi na wengi ni wanaotarajiwa kuwa mapadri. Mafanikio aliyoyapata katika masomo ya falsafa katika Seminari ya Kibosho, yalimwezesha kujiunga na Seminari ya Kipalapala, ambako inaelezwa ndiko kunakotolewa mafunzo ya Liturgia, ambayo nayo ni sehemu ya mafunzo wapewayo wanafunzi wanaotarajiwa kuwa mapadri. Waumini Ingawa taarifa za mafunzo aliyopata zinatiliwa shaka, lakini namna alivyoongoza Misa bila kutiliwa shaka, imesababisha baadhi ya waumini kuanza kumjadili, ili kufahamu hasa nia yake ilikuwa ipi. Kutokana na taaluma nyingine aliyonayo ya uhasibu, amesababisha baadhi ya waumini kuunganisha matukio na uwezo wake na kuamini kuwa huenda hakuwa akitafuta sadaka. Mmoja wa waumini aliyezungumza na gazeti hili kwa sharti la kutotajwa jina, alidai kuwa huenda Asenga alikuwa na njama za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafadhili mbalimbali. Kwa mujibu wa madai ya muumini huyo, watu wa aina ya Asenga, ambaye ana taaluma na uwezo wa kipadri, wana njia nyingi za kujipatia kipato, hivyo inawezekana alidanganya wafadhili wake kuwa yeye ni Padri ili apate ufadhili huo. Muumini huyo alikwenda mbali na kudai huenda masharti ya ufadhili huo, ni kupata picha au sauti yake akiongoza Misa kanisani. “Inawezekana kuna mahali aliomba ufadhili kwa ajili ya kitu fulani na aliwadanganya kuwa yeye ni Padri, ndio maana akaamua kuomba zamu ya kuongoza Misa. “Utapeli umeingia mpaka kwenye nyumba za ibada kweli? Wanadamu tumekosa hofu ya Mungu!” Alihoji muumini huyo na kuasa jamii kuwa macho, kwa kuwa hivi sasa matapeli ni wengi na kila siku wanatoka na mbinu mpya. Credit:Habari Leo

Milipuko yawaua watu 50 Nigeria


Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu yaliyofuatana siku ya jumamosi kwenye mji wa maiduguri ambo ndio chimbuko la Boko Haram. Milipuko mitano ilitokea ndani ya saa moja kwenye masoko yenye shughuli nyingi pamoja na kwenye kituo cha basi. Serikali ya Nigeria inasema kuwa boko haram wanaendesha mashambulizi hayo kwa sababu inakabiliwa na shinikizo kutoka kwa jeshi. Jeshi la Nigeria likisaidiwa na la Chad , Cameroon na Niger limejaribu kupambana na wanamgambo wa boko haram kuwaondoa kutoka ngome zao kabla ya uchaguzi ambao utafanyika baadaye mwezi huu.

HATIMAYE MOTO UMEZIMWA JIJINI CAPE TOWN


Moto mkubwa ambao uliwaka usiku wa kuamkia jumatatu umezimwa.. moto huo ambao uliwaka kwa muda wa siku6 mfululizo umeteketeza eneo kubwa la msitu uliopo katika milima ya muizinberg na southern peninsula.. eneo hilo la milima lina aina mbali mbali ya viumbe kama vile sokwe,mbwa mwitu,myani na kobe.. mpaka sasa bado halmashauri y jiji la cape town halijasema ni hasara ya kiasi gani imeopatikana kutokana na moto huo.

''JIHAD JOHN'' Chinja chinja wa IS alifukuzwa Tanzania


Mohammed Emwazi ,mtu ambaye alibadilika na kuwa ''chinja chinja'' wa kundi la islamic state kwa jina 'jihad John' Mohammed Emwazi, alifurushwa kutoka nchini Tanzania kwa kuwa mlevi na mtu anayetoa matusi.,afisa moja wa polisi ameiambia BBC. Emwazi anasema alitishiwa na kuhojiwa chini ya maagizo ya shirika la upelelezi la Uingereza MI5 alipoenda nchini humo mwaka 2009 Lakini BBC imeonyeshwa rekodi za kuzuiliwa kwake tangu alipokamatwa. Afisa huyo amesema kuwa Emwazi hakuruhusiwa kuingia nchini Tanzania kwa sababu alikuwa amezua mgogoro katika uwanja wa ndege na kuwa na tabia za mlevi. Emwazi ambaye ana zaidi ya miaka 20 na ambaye anatoka magharibi mwa London ametambuliwa kama mtu aliyeziba uso katika kanda kadhaa za video ambapo mateka wamechinjwa. Emwazi amesema kuwa alikuwa mwanafunzi ambaye alikuwa katika likizo ya safari wakati aliposafiri na kuingia Afrika mashariki kupitia uwanja wa ndege wa Dar-e-salaam kutoka nchini Uholanzi miaka sita iliopita.

Wednesday, March 4, 2015

Kutana na Bilione Kijana Zaidi Afrika


Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji (pichani) kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika. Jarida la Forbes la Marekani limemtaja Dewji (39), katika nafasi ya 24 ya matajiri wa Afrika akiwa na utajiri wa Dola 1.3 bilioni za Marekani (Sh2.34 trilioni) unaotokana na biashara mbalimbali anazozifanya kupitia kampuni yake ya Mohammed Enterprises (Metl Group).“Dewji alibadilisha biashara aliyoanzisha baba yake kutoka uuzaji bidhaa na kuwa na viwanda vya Metl,” inasema sehemu ya habari inayomuhusu bilionea huyo Mtanzania . “Alinunua viwanda vya nguo na mafuta vilivyokuwa vinamilikiwa na Serikali kwa bei ndogo na kuvifanya viwe na faida zaidi kwa kutumia mtindo wa kisasa wa menejimenti,” inaongeza ripoti hiyo. Metl ina viwanda vya kutengeneza nguo na bidhaa nyingine za matumizi ya binadamu vikiwamo vyakula, sabuni na vinywaji. Pia ina mapato yanayozidi Dola 1.4 milioni za Marekani (Sh2.5 trilioni) kwa mwaka. Katika kampuni hiyo, ambayo imekuwa na ushindani dhidi ya kampuni kubwa nyingine kama Said Salim Bakhresa, Dewji anamiliki asilimia 75 ya hisa zote. Kwa mujibu wa tovuti yake, Metl inaendesha shughuli za uagizaji na usafirishaji bidhaa kutoka na kwenda nje, uzalishaji unaohusisha nguo, vinywaji na vyakula, usagaji nafaka, nishati na petroli na utengenezaji baiskeli. Pia inahusika na huduma za simu, fedha, kilimo na pia ina kitengo cha kontena kwenye Bandari ya Dar es Salaam. Dewji anashika nafasi mbili juu zaidi ya kada maarufu wa CCM na aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Igunga, Aziz Rostam (50) aliyewekwa nafasi ya mwisho. Rostam amefungana nafasi ya 26 na mabilionea wa Nigeria, Abdulsamad Rabiu na Femi Otedola wenye utajiri wa Sh1.8 trilioni kila mmoja. Orodha hiyo ya 29 bora inaoongozwa na bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote akiwa na utajiri wa Dola 15.7 bilioni za Marekani (Sh28.2 trilioni), kiwango ambacho ni mara moja na nusu ya bajeti ya Serikali ya Tanzania ya mwaka 2014/15. Forbes linamtaja Rostam kuwa na utajiri wenye thamani ya Dola 1 bilioni za Marekani (Sh1.8 trilioni), kiwango ambacho kimebaki pasi na mabadiliko kutoka orodha ya mwaka jana. Rostam anamiliki asilimia 35 ya hisa katika kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Vodacom.

Monday, March 2, 2015

MOTO MKUBWA CAPE TOWN

Moto mkubwa ulioanza usiku wa kuamkia jumatatu umeenselea kuteketeza sehemu kubwa ya milima ya muizinberg mjini cape tow.. kwa mujibu wa mashuhuda wamedai kuwa imekuwa vigumu kuuzima moto huo kutokana na upepo mkali unaovuma eneo hilo.. mpaka majira ya sa8 mchana zaidi ya askari wa zimamoto 350 ,magari 60 na helikopta 6 zilikuwa katika shughuli nzito ya kuzima moto huo.. taarifa zinasema moto huo hautazimika kiurahisi kutokana na hali ya hewa na unaweza kuchukua siku 7 kuuzima moto huo..

Vikosi vya kuzima moto vyapata wakati mgumu kuzima moto Cape town

Zaidi ya helikopta 8 na magari 40 ya zimamoto na askari wa kikosi cha kuzima moto wapatao 200 wako katika jitihada za kuuzima Moto mkubwa unaowaka katika maeneo ya milima ya Muizinberg mjini Cape town,Moto huo ambao ulianza usiku wa jumapili umekuwa ukiwashinda nguvu kikosi hicho kutokana na upepo mkali unaovuma eneo hilo.! Mashuhuda wanasema kuwa watu wote wanaoishi maeneo yanayozunguka Eneo la moto wamehamishwa na kupelekwa eneo salama.! Mpaka sasa bado hakuna matumaini ya kuuzima moto huo ambapo helikopta za kuzima moto zimeonekana zikinyonya Maji katika Mabwawa ya kuogelea(swimming pools) katika maeneo hayo ili kurahisisha uzimaji wa moto huo..!

Vikosi vya kuzima moto vyapata wakati mgumu kuzima moto Cape town

Zaidi ya helikopta 8 na magari 40 ya zimamoto na askari wa kikosi cha kuzima moto wapatao 200 wako katika jitihada za kuuzima Moto mkubwa unaowaka katika maeneo ya milima ya Muizinberg mjini Cape town,Moto huo ambao ulianza usiku wa jumapili umekuwa ukiwashinda nguvu kikosi hicho kutokana na upepo mkali unaovuma eneo hilo.! Mashuhuda wanasema kuwa watu wote wanaoishi maeneo yanayozunguka Eneo la moto wamehamishwa na kupelekwa eneo salama.! Mpaka sasa bado hakuna matumaini ya kuuzima moto huo ambapo helikopta za kuzima moto zimeonekana zikinyonya Maji katika Mabwawa ya kuogelea(swimming pools) katika maeneo hayo ili kurahisisha uzimaji wa moto huo..!

Sunday, March 1, 2015

Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri

Tume ya uchaguzi ya Misri inasema kuwa inatayarisha ratiba mpya ya uchaguzi wa wabunge ambao ukitarajiwa kufanywa badaae mwezi huu. Hapo awali mahakama kuu ya Misri yaliamua kuwa sehemu ya sheria kuhusu uchaguzi inakwenda kinyume na katiba na hivo kuzusha uwezekano wa kucheleweshwa. Rais Abdul Fattah al-Sisi alijibu hukumu hiyo kwa kuamrisha kuwa sheria mpya kuhusu uchaguzi itayarishwe katika mwezi mmoja. Bunge la Misri lilivunjwa mwaka wa 2012 baada ya kufutwa na mahakama. Na wizara ya mambo ya ndani ya nchi ya Misri imewasamehe na kuwaachilia huru wafungwa 68 kufuatana na msamaha aliotoa rais. Rais Abdul Fattah al-Sisi alitoa amri hiyo mwezi wa Januari kuadhimisha miaka mine baada ya mapinduzi yaliyomtoa madarakani Rais Hosni Mubarak. Wafungwa wengine 72 wamefunguliwa kwa shuruti wasivunje sheria tena. Inafikiriwa kuwa wengi walioachiliwa huru walikuwa wafungwa wa kisiasa. Tangu Rais Sisi kushika madaraka waandamanaji kama 1,400 wameuliwa na askari wa usalama, na kama 40,000 wamekamatwa - wengi wao wanashutumiwa kuwa Waislamu

THE RETURN OF MWALIMU MKONJE ( THE BLOG )

Baada ya kimya cha muda mrefu sasa tunarudi hewani,kwa sasa tumefanikiwa kuwa na staf wanne ambao watahakikisha unapata habri kwa kadri zinavyowafikia