Tuesday, August 7, 2012

WAUMINI WA KIISLAMU VISIWANIZANZIBAR WAAMUA KUMUACHIA M/MUNGU ATOE HUKUMU KWA WALEWOTE AMBAO HAWAITAKII MEMAZANZIBAR

Maelfu ya waislamu nchini zanzibar wameamua kujikusanya katika msikiti Afraa ulioko kidongo chekundu kwa ajili ya kumshtakia M/mungu juu ya suala zima la kukashiwa na kufanyiwa vitendo vya uonevu na wale ambao hawaitaki mema nchi ya zanzibar. Mkusanyiko huo ulikua na lengo la kuomba Dua maalum ambayo imeeandaliwa na jumuiya ya muamsho zanzibar kwa lengo la kuwaunganisha waislamu ili wawe kitu kimoja katika kudai na kutetea maslahi ya nchi yao,vile kumuomba mungu awanusuru viongozi wa harakati za kuitakia mema zanzibar na shari za maadui zao, katika dua hiyo kuliambatana na uchinjaji wa wanyama tofati kwa ajili ya sadaka ambayo walipewa mayatima na wanawake. Akibainisha idadi ya vichinjwa hivo amir wa jumuiya hiyo SH FARID HADI amesema jumla ya ngombe saba, mbuzi 33, kondoo 3, kuku 22, bata 1 na njiwa 1 wamekabidhiwa na wamewachinja wote. Kwa upande wao viongozi wa jumuiya ya muamsho wameweza kujichinjia wanyama kwa mikono yao kwa kushirikiana na waumini wengine ambao walibahatika kuwepo katika viwanja vya uchinjaji. Amesema dua hii imeamuliwa kuwekwa mwezi 17 Ramadhan kwasababu tarehe hii ina historia kubwa katika ushindi wa waislamu. kwani siku kama hii ndio siku ambayo Allah aliwanusuru waislamu katika vita vya badri. Aliongeza kwa kusema waisalmu wanatakiwa wawe na umoja wa ukweli ukweli ili kuweza kuwashinda maadui zao na kupata ushindi kwa yale wanayoyahitaji. Nae kwa upande wake sh MSELEM bin ALLY AMEWAOMBA waislamu waendelee na msimamo wao ule ule wa kutokushiriki suala zima la sensa ambayo inategemewa kufanyika hvi karibuni. Source mzalendo.net

3 comments:

  1. Hi there, I found your website by way of Google while
    looking for a comparable matter, your website got here up, it looks good.
    I've bookmarked it in my google bookmarks.
    Hello there, just changed into aware of your blog thru Google, and found that it's truly informative.
    I am going to watch out for brussels. I'll appreciate if you proceed this in future. Lots of folks might be benefited out of your writing. Cheers!

    My homepage; apidhene

    ReplyDelete
  2. Establish your style(s)Are you more contemporary or traditional.

    And if you want to create pew decorations for you ceremony, consider some
    orange pomanders and sprays of greenery. You'll love the way the balloons look as decorations and you'll love that you could
    save money to use on other things.

    my webpage; vintage rustic wedding decor

    ReplyDelete
  3. This can look very dramatic, and provide a vibrant look to this part of your room - the part where daylight comes in.
    If your retail interior design matches or complements your business cards, which in turn match your shopping bags,
    your website, your staff. Similarly, they would like their workspaces to be
    as attractive in order to inspire them and make them more creative and innovative.


    my web blog; house interior decor ideas

    ReplyDelete